Pre GE2025 Wachina wanafanya nini kwenye Uchaguzi wa CHADEMA?

Pre GE2025 Wachina wanafanya nini kwenye Uchaguzi wa CHADEMA?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Wakuu,

Hivi wawakilishi wa mabalozi wa kichina wanafanya nini kwenye mkutano wa mkuu wa CHADEMA?

Tunaweza kuelewa kwanini kuna mabalozi wa Marekani, Uingereza na Sweden kwenye Uchaguzi wa CHADEMA kwa sababu nchi hizo zimekuwa ni supporters wakubwa wa upinzani nchini.

Lakini Wachina ambao ni marafiki wa CCM sijaelewa kwanini wapo kwenye mkutano mkuu wa chama.

Kuna siri gani au Wachina nao wameanza kumwaga hela CHADEMA?
 
Wakuu,

Hivi wawakilishi wa mabalozi wa kichina wanafanya nini kwenye mkutano wa mkuu wa CHADEMA?

Tunaweza kuelewa kwanini kuna mabalozi wa Marekani, Uingereza na Sweden kwenye Uchaguzi wa CHADEMA kwa sababu nchi hizo zimekuwa ni supporters wakubwa wa upinzani nchini.

Lakini Wachina ambao ni marafiki wa CCM sijaelewa kwanini wapo kwenye mkutano mkuu wa chama.

Kuna siri gani au Wachina nao wameanza kumwaga hela CHADEMA?
unaweza ukawakumbusha wadau kifungu cha katiba ya Chadema kilichokiukwa?🐒
 
Wakuu,

Hivi wawakilishi wa mabalozi wa kichina wanafanya nini kwenye mkutano wa mkuu wa CHADEMA?

Tunaweza kuelewa kwanini kuna mabalozi wa Marekani, Uingereza na Sweden kwenye Uchaguzi wa CHADEMA kwa sababu nchi hizo zimekuwa ni supporters wakubwa wa upinzani nchini.

Lakini Wachina ambao ni marafiki wa CCM sijaelewa kwanini wapo kwenye mkutano mkuu wa chama.

Kuna siri gani au Wachina nao wameanza kumwaga hela CHADEMA?
kama wamealikwa mabolozi wote wanao wakilisha nchi zao Tanzania ulitaka Wachina wasije? Hoja ya kijinga sana hii
 
Wakuu,

Hivi wawakilishi wa mabalozi wa kichina wanafanya nini kwenye mkutano wa mkuu wa CHADEMA?

Tunaweza kuelewa kwanini kuna mabalozi wa Marekani, Uingereza na Sweden kwenye Uchaguzi wa CHADEMA kwa sababu nchi hizo zimekuwa ni supporters wakubwa wa upinzani nchini.

Lakini Wachina ambao ni marafiki wa CCM sijaelewa kwanini wapo kwenye mkutano mkuu wa chama.

Kuna siri gani au Wachina nao wameanza kumwaga hela CHADEMA?
Una ujinga mwingi sana wewe
 
Great thinker shwaaaaaa!.

Kumebaki na takataka tu humu, yaani ukiandika barua za kuwakaribisha majirani zako kwenye sherehe yako, jirani mwenzio anahoji 'huyu kufuata nini hapa?'

Mbona nyie mna-comment kwenye mambo ya CCM?

Kuna shida gani kuuliza kitu ambacho kinaonekana ni kigeni machoni pa watu?

Unadhani Mbowe angeulizwa hili swali angejibu kwa matusi kama ulivyofanya?

Una umri gani?
 
Hahaha wameenda kufanya utafiti na kumfahamu Mbowe ni nani.
 
Wakuu,

Hivi wawakilishi wa mabalozi wa kichina wanafanya nini kwenye mkutano wa mkuu wa CHADEMA?

Tunaweza kuelewa kwanini kuna mabalozi wa Marekani, Uingereza na Sweden kwenye Uchaguzi wa CHADEMA kwa sababu nchi hizo zimekuwa ni supporters wakubwa wa upinzani nchini.

Lakini Wachina ambao ni marafiki wa CCM sijaelewa kwanini wapo kwenye mkutano mkuu wa chama.

Kuna siri gani au Wachina nao wameanza kumwaga hela CHADEMA?
Wamekuja kujifunza Demokrasia Chadema
 
kichina wanafanya nini kwenye mkutano wa mkuu wa CHADEMA?

Kuna wachina wazaliwa wa Durban South Africa, wazaliwa wa US, wazaliwa wa Canada, WaRussia, WaAfghanistan, Eskimo wa Denmark wana muonekano wa Wachina lakini siyo raia wa taifa hilo la Mashariki ya Mbali n.k ambao ni raia wa nchi hizo wakiwa pia katika balozi

Ni kama vile mtanzania mwenye muonekano wa Kihindi lakini siyo raia wa India ni mnyiramba wa Singida Mzee Azim Dewji n.k
 
Sijasema katiba imekiukwa nimeuliza tu kwamba Wachina ni Pro CCM

Wanafanya nini kwenye Uchaguzi wa CHADEMA

Kwa hiyo wachina wote duniani ccm imewamiliki na hawana akili ya kuhusiana na watu wengine? Hizi akili za wapi hizi? Utaziona bongolendi tu
 
Ila huu uchaguzi ukiisha heshima ya Lissu itakua imeshuka sana!! Kwa aina hii ya wapambe wake tumejionea mengi 🙌
Unaumia heshima ya mwanaume mwingine tena asiyekuhusu ikishuka?
 
HIyo yote kazi ya Mbowe, ukumbi umejaa wanachama. Mbowe kajitahidi sana kukijenga chama.
Lisu anaenda kukibomoa.
 
Back
Top Bottom