Pre GE2025 Wachina wanafanya nini kwenye Uchaguzi wa CHADEMA?

Pre GE2025 Wachina wanafanya nini kwenye Uchaguzi wa CHADEMA?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Umeona wapi duniani mtu mwenye akili timamu anaenda kuhangaika na uzi ulioanzishwa na chizi?

Kusema kwamba Wewe SIO Mwanachama na ni Mwananchi tu ni aina ya uchizi pia.

Hakikisha unakunywa vidonge vyako vya schizophrenia kabla haujaja ku-comment humu

Asante!
Jitahidi kuficha uchizi wako....haujafikia kiwango cha kukupeleka kule😁
 
Leo ndo Leo Lissu lazima ashinde, vinginevyo tutagawana chama
 
Mpk nanyie CCM mjibu kwanza ndio mlikua wa asisi wa wachina kwenye chama chenu.
Img_2025_01_21_18_39_24.jpeg
 
Back
Top Bottom