Pre GE2025 Wachina wanafanya nini kwenye Uchaguzi wa CHADEMA?

Pre GE2025 Wachina wanafanya nini kwenye Uchaguzi wa CHADEMA?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Great thinker shwaaaaaa!.

Kumebaki na takataka tu humu, yaani ukiandika barua za kuwakaribisha majirani zako kwenye sherehe yako, jirani mwenzio anahoji 'huyu kufuata nini hapa?'
Chinese Communist Party ni Wapinga Demokrasia ndio maana wanaisapoti CCM.
 
Chinese Communist Party ni Wapinga Demokrasia ndio maana wanaisapoti CCM.
Wao wanachojali ni maslai yao hawajali kuhusu demokrasia au udikteta wenu.

Wachina hawana huo muda wakujali siasa zenu za ndani
 
Wao wanachojali ni maslai yao hawajali kuhusu demokrasia au udikteta wenu.

Wachina hawana huo muda wakujali siasa zenu za ndani
Wanasapoti Wakomunisti wenzao kuanzia Korea Kaskazini hadi CCM Tanzania.
 
Moja sera ya nje ya China ni kutojihusisha na siasa za nchi husika, wataonekana kwenye picha za vyama ila hutasikia wakitoa maoni yao au matamko hata kama mnachapana.

Na ndio sera ambazo nchi zetu zinapenda.
 
ASKOFU AZUNGUMZIA UWEPO WA POLISI UCHAGUZI WA CHADEMA MLIMANI CITY.

Polisi wamejaa Mlimani City kwenye Uchaguzi wa CHADEMA. Lakini ni Polisi hao hao waliojaa Mahakama Kuu wakimzuia Askofu Mwamakula asiingie kusikiliza Kesi ya Ugaidi ya Mbowe. Ni mawakili Peter Kibatala, Jeremiah Mutobesya, Dickson Matata na wengine waliosisitiza kuwa Kesi haitaendelea bila Askofu kuingia. Kelele za wafuasi wa CHADEMA ziliongeza nguvu na Askofu akaingia mahakamani na aliendelea pia kihuhudhuria kila siku ya Kesi.

Ni Polisi hao hao walizuia magari wa BAVICHA mwaka jana yasifike Mbeya kwenye Mkutano wao na ni Polisi hao hao waliowapiga vijana na viongozi wa CHADEMA kule Mbeya wakiwemo Mnyika na Sugu. Pia walinyanyasa wanawake na kuwapiga bila aibu pia wakamuumiza kijana mmoja. Askofu Mwamakula alikuwa miongoni mwa watu waliopazia sauti jambo hili.

Ni Polisi hao hao waliozuia msafara wa Lissu pale Kibamba/Kiluvya Oktoba 2020 na nusura wamtandike kwa risasi Askofu Mwamakula alipoenda kumuona Lissu akuwa amezingirwa. Mungu hakuruhusu hilo litokee. Ni Polisi hao hao waliotuhumiwa kuua baadhi ya Wagombea wa CHADEMA katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa mwaka 2024 na kuwasaidia Wagombea wa CCM watangazwe washindi hata kama pia hawakushinda. Polisi hao hao ambao walipiga mabomu Mbezi Luis kushinikiza mgombea wa CCM atangazwe, tukio lililomliza mtanganzaji wa kike.

Viongozi, wagombea, wajumbe na wanachama na wafuasi wa CHADEMA wawe makini na Nia ya uwepo wa Polisi wakiwa na silaha za moto katika Uchaguzi wao hapo Mlimani City kwani wasiwasi ni tahadhari nzuri. CHADEMA wasije wakafikiri kuwa Polisi, dola, Serikali na CCM wanajali sana usalama wao hao Mlimani City, bali wajue kuwa kuna maslahi yao wanalinda.

Kwa vyovyote vile, Askofu Mwamakula anatoa ushauri huu: Wajumbe wasiwaruhusu kuingia katika sehemu ya kuhesabia kura. Wajumbe wakipiga kura wasiondoke katika ukumbi hadi mshindi ametangazwa. Wanachama wengine wazunguke eneo lote la Mlimani City wakisubiri matokeo. Wasikubali kutishwa na Polisi au pia watu wengine kuwataka waondoke. Hii ni sauti ya Askofu aliyekuwa yuko karibu na CHADEMA wakati wa shida zao, hivyo inawatahadharisha.

Kama hilo Jeshi la Polisi lilishiriki kuwatangaza kwa nguvu wagombea wa CCM wakati ule wa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024 uwezekano pia upo wa kumtaganza kwa nguvu mgombea wa CHADEMA anayetakiwa na Serikali au CCM! Sisi Askofu tumekwisha kutimiza wajibu wetu wa kuwatahadharisha CHADEMA na umma pia!
Je, nini kimekushangaza? Je, nini maoni yako?

Mwana Kondoo Ameshinda! Tumfuate!
Askofu Emmaus Bandekile Mwamakula
Dar es Salaam, 21 Januari 2025; saa 4:25 asubuhi
1737467635038.jpg
 
Lakini Wachina ambao ni marafiki wa CCM sijaelewa kwanini wapo kwenye mkutano mkuu wa chama.
Wameadvance sana kwenye teknolojia huenda wamekuja kupindua tarakimu kumbuka Mbowe ni rafiki wa hicho chama pia?
 
Wakuu,

Hivi wawakilishi wa mabalozi wa kichina wanafanya nini kwenye mkutano wa mkuu wa CHADEMA?

Tunaweza kuelewa kwanini kuna mabalozi wa Marekani, Uingereza na Sweden kwenye Uchaguzi wa CHADEMA kwa sababu nchi hizo zimekuwa ni supporters wakubwa wa upinzani nchini.

Lakini Wachina ambao ni marafiki wa CCM sijaelewa kwanini wapo kwenye mkutano mkuu wa chama.

Kuna siri gani au Wachina nao wameanza kumwaga hela CHADEMA?
Hao ni donor wamboga mboga wamefikq washuhidie jinsi mnavojatibu kuingilia democrasia ya wengine
 
Wakuu,

Hivi wawakilishi wa mabalozi wa kichina wanafanya nini kwenye mkutano wa mkuu wa CHADEMA?

Tunaweza kuelewa kwanini kuna mabalozi wa Marekani, Uingereza na Sweden kwenye Uchaguzi wa CHADEMA kwa sababu nchi hizo zimekuwa ni supporters wakubwa wa upinzani nchini.

Lakini Wachina ambao ni marafiki wa CCM sijaelewa kwanini wapo kwenye mkutano mkuu wa chama.

Kuna siri gani au Wachina nao wameanza kumwaga hela CHADEMA?
Wachina ni wachakachuaji wakubwa tunaona jinsi wanavyotuchakachulia bidhaa mbalimbali wanazotengeneza. Hawa wameitwa na Mbowe kuja kuchakachua uchaguzi ndani ya CHADEMA kwa maslahi finyu ya Mbowe na genge lake la mafisadi kutoka CCM. Inasemekana pesa ya uchakachuaji watalipwa na CCM kwa kutumia fedha za umma. Huu ujinga utaisha lini kwenye nchi hii?
 
Wakuu,

Hivi wawakilishi wa mabalozi wa kichina wanafanya nini kwenye mkutano wa mkuu wa CHADEMA?

Tunaweza kuelewa kwanini kuna mabalozi wa Marekani, Uingereza na Sweden kwenye Uchaguzi wa CHADEMA kwa sababu nchi hizo zimekuwa ni supporters wakubwa wa upinzani nchini.

Lakini Wachina ambao ni marafiki wa CCM sijaelewa kwanini wapo kwenye mkutano mkuu wa chama.

Kuna siri gani au Wachina nao wameanza kumwaga hela CHADEMA?
Wamealikwa
 
Wakuu,

Hivi wawakilishi wa mabalozi wa kichina wanafanya nini kwenye mkutano wa mkuu wa CHADEMA?

Tunaweza kuelewa kwanini kuna mabalozi wa Marekani, Uingereza na Sweden kwenye Uchaguzi wa CHADEMA kwa sababu nchi hizo zimekuwa ni supporters wakubwa wa upinzani nchini.

Lakini Wachina ambao ni marafiki wa CCM sijaelewa kwanini wapo kwenye mkutano mkuu wa chama.

Kuna siri gani au Wachina nao wameanza kumwaga hela CHADEMA?
Wachina ndio waliojenga ukumbi wa CCM Dodoma ambao ndio huutumia kwa vikao mbalimbali.
 
Wakuu,

Hivi wawakilishi wa mabalozi wa kichina wanafanya nini kwenye mkutano wa mkuu wa CHADEMA?

Tunaweza kuelewa kwanini kuna mabalozi wa Marekani, Uingereza na Sweden kwenye Uchaguzi wa CHADEMA kwa sababu nchi hizo zimekuwa ni supporters wakubwa wa upinzani nchini.

Lakini Wachina ambao ni marafiki wa CCM sijaelewa kwanini wapo kwenye mkutano mkuu wa chama.

Kuna siri gani au Wachina nao wameanza kumwaga hela CHADEMA?
Hujui kama kuna wanachama wa CHADEMA wenye asili ya Uchina?
 
Wakuu,

Hivi wawakilishi wa mabalozi wa kichina wanafanya nini kwenye mkutano wa mkuu wa CHADEMA?

Tunaweza kuelewa kwanini kuna mabalozi wa Marekani, Uingereza na Sweden kwenye Uchaguzi wa CHADEMA kwa sababu nchi hizo zimekuwa ni supporters wakubwa wa upinzani nchini.

Lakini Wachina ambao ni marafiki wa CCM sijaelewa kwanini wapo kwenye mkutano mkuu wa chama.

Kuna siri gani au Wachina nao wameanza kumwaga hela CHADEMA?
Wapelelezi wa CCM hao.
 
Wachina itakuwa wamechola na ukiukwaji wa haki za binadamu ufanywao na ccm
 
Hata Joseph Kusaga yupo ndani! Ujue kwenye nyomi kama hii na ukubwa wa jambo hili si wote waliomo ndani wana lengo linalofanana
 
Back
Top Bottom