Umeona wapi duniani mtu mwenye akili timamu anaenda kuhangaika na uzi ulioanzishwa na chizi?
Kusema kwamba Wewe SIO Mwanachama na ni Mwananchi tu ni aina ya uchizi pia.
Hakikisha unakunywa vidonge vyako vya schizophrenia kabla haujaja ku-comment humu
Asante!