Lengo la Bandari ya Bagamoyo ilikuwa ni kuua soko la Dubai, Qatar, Oman Bidhaa zote za huko zinazokuja Africa ziletwe Bagamoyo waje kukunua hapo, ingekuwa ni Bandari kubwa Africa nzima na kampuni kubwa za magari na bidhaa zingine zingewekeza Bagamoyo, Reli kiwanja cha Ndege kingine kingejengwa Bagamoyo , pengine Bagamoyo ingekuja kugeuka kuwa Dubai ya Africa, wamekwamishwa kisa wamegoma kutoa 10% kwa Naibu Rais ndugu Bashite na wenzake, lakini wakiamua kutoa 10 hata mda huu nina hakika Bandari itajengwa kwani Bandari ya Dsm ina kina kifupi na ipo uchochoroni meli kubwa za kimataifa hushindwa kufika.