Wachina wanasubiri Rais Magufuli aondoke kwenye bandari

Wachina wanasubiri Rais Magufuli aondoke kwenye bandari

Ndio maana kina zitto hawampendi Rais Magufuli ameziba ulaji wao
Mungu wangu. Sasa unambie hao ni watanzania ama majambazi yaloingia mkataba kama huo maana yake bandari ilikuwa inaua uchumi wetu. Zitto na Ndugai kuna kitu gani mpaka wanautetea huo mkataba.
 
Chadema ndio wanautetea mkataba wa kifisadi baada ya Rais Magufuli kuufutilia mbali
Kwanini unawalaumu Cdm katika hili sakata ?!. Waliokula rushwa kuingia mikataba mibovu ni hao hao wana Ccm . Na aliyezuia ni hao hao Ccm, sasa Cdm insinhiaJe humu ?! Au usipowataja siku haihesabiki ?! UNAKERA
 
Kuna haja gani kujenga bandari mbili katika umbali mfupi?

Akili za Chadema bwana, mtaishia hivyo hivyo
Huu mradi ulibuniwa na cdm? Mbona unakosa akili hivi? JK na serikali yake ndio waliosaini huu mradi na magufuli akiwa sehemu ya serikali hiyo! Usijotoe ufahamu ukidhani watu hawana kumbukumbu! Kajipange upya namna ya kuutetea ccm chovu!
 
10% ya Bashite na wenzake ndiyo imeshikilia uwepo wa Bandari ya Bagamoyo
 
Wewe mlugaluga ulisoma mashariti ya hiyo bandari ya wachina pale bagamoyo?

Au unabweka km mjinga
Hayo masharti na mkataba yalisetiwa na ccm so, jilaumuni wenyewe kwa kujiita walugaluga! Kwa kifupi mikataba yote ya kifisadi na kinyonyaji iliandaliwa na ccm na ndio maana ccm kinaitwa chama Cha mafisadi Hadi Sasa! Waombeni radhi watanzania kwa kuwaingiza kwenye mikataba ya kifedhuli na kinyonyaji!
 
Wewe kumbe ni giza totoro kichwani! Nyie ndio Chadema mnajiita wasomi!

Unajua kitu hichi kilichobuniwa na china?View attachment 1494413
Wewe mbweha ni kigezo kipi unakitumia kumuona mtu ni giza? Wewe mwenyewe ni kipofu mbumbumbu juha kilaza unawezaje kujua mapungufu yeyote? Huko CCM ndiyo wamekuteua kuwa ndiyo mwenye Akili? Kama CCM wanakuona una Akili hao wengine watakuaje?
 
Mradi wa bandari ya bagamoyo ambao ulikuwa mbaya sana haujafutwa kwa ujumla wake. Kuna watu wengi serikalini wamekaa mkao wa kula wakisubiri Magufuli aondoke ili warudishe mradi kwa manufaa yao binafsi. Kuna watu wengi sana walikuwa wameshawekwa mfukoni.

China watahakikisha wanatumia kila namna kujenga bandari na sio kwa manufaa ya Tanzania lakini ni kwa manufaa yao ya kumiliki bandari muhimu zote Duniani hasa kwenye bahari ya Hindi. Hivyo nia yao sio kutoa mkopo bali ni kumiliki bandari Tanzania. Kwa sasa wanatumia Chama cha Mapinduzi kwa kupitia huko kwa kisingizio cha uhusiano wa Chama lakini wanataka wawaweke sawa hawa viongozi wa ndani ya chama na watu wote wanaomzunguka Magufuli ili iwe rahisi kumchagua mtu wao urais ujao.

Kama Magufuli anataka kweli kuuwa huu mradi ni kugawa ile sehemu kwa wawekezaji wa viwanda, kusema kwa uwazi wote mradi umekufa. Hata kama wakibadilisha maneneo kwenye mkataba wanaweza kuja kuhonga baadae na kubandika maneneo mengine kwenye mkataba.

Kikubwa ni kwamba nia ya China ni kuhakikisha DRC na Zambia vitu vyao wana control kuanzia vinakotoka mpaka China bila kuhojiwa wala kuulizwa. Huu ni kama ukoloni na tusikubali huu mkataba hata kama wakisema mkataba unabadilishwa. Lakini kingine hii bandari haina umuhimu tayari tuna bandari za kutosha.


Is Sri Lanka Really a Victim of China’s ‘Debt Trap’?

Loooo naendelea kuitafakari...
Khaaa
 
We mlugaluga wacha nikuache na ujinga wako
Nchi ya Sirilanka ambayo ni developed country imepokonywa bandari na China kwa kushindwa kulipa mkopo wa ujenzi wa bandari!
Huo mkataba wa china ulikuwa wa kilaghai ni mpuuzi tu angeweza kukubali
Mkataba wa sirlanka haufanani na mkataba wa Bagamoyo acha ufala ujinga unao wewe mshamba wa mikataba, kikwete hakucopy mkataba wa Sirlanka aliandaa mkataba kulingana na mazingira ya Tanzania na ukanda wa Africa, upuuzi unao wewe mkataba wa china ulikuwa mzuri na kama kuna mapungufu ni kidogo ambayo yangeweza kurekebishika, wewe endelea kuvuta Bangi ukiwatengeneza propaganda za kishamba
 
Mwenyewe kipindi cha pili ataomba poa, anapenda sana dola
Magufuli akitaka afanikiwe jambo hili, asilifanye kutafuta kiki ya kisiasa, kama hulka yake ilivyo. Nasema hivyo kwa sababu, rasilimali huwezi kuzilinda hivi hivi, kama hauna demokrasia ya kweli kweli katika jamii unayoiongoza.

Vinginevyo na yeye atataka aone maslahi yake; na akiua upinzani tu tumekwisha. Kuna miradi sugu ni sumu kwenye hivi vi nchi vyetu ndani ya bara la afrika.

Sijaona kiongozi wa kupambana na mabeberu, in Tanzania bado hatujapata brave and smart leader mpaka sasa, waliopo hawayatazami matatizo yetu serious.
 
Lengo la Bandari ya Bagamoyo ilikuwa ni kuua soko la Dubai, Qatar, Oman Bidhaa zote za huko zinazokuja Africa ziletwe Bagamoyo waje kukunua hapo, ingekuwa ni Bandari kubwa Africa nzima na kampuni kubwa za magari na bidhaa zingine zingewekeza Bagamoyo, Reli kiwanja cha Ndege kingine kingejengwa Bagamoyo , pengine Bagamoyo ingekuja kugeuka kuwa Dubai ya Africa, wamekwamishwa kisa wamegoma kutoa 10% kwa Naibu Rais ndugu Bashite na wenzake, lakini wakiamua kutoa 10 hata mda huu nina hakika Bandari itajengwa kwani Bandari ya Dsm ina kina kifupi na ipo uchochoroni meli kubwa za kimataifa hushindwa kufika.
Una faida kiuchumi kuliko tulivotupa pesa Chato.
 
Una faida kiuchumi kuliko tulivotupa pesa Chato.
Pesa inayotumika kuwanunua wabunge madiwani wanachama wa upinzani kudhoofisha chadema gharama za chaguzi za marudio, zile bilion 12 alipiga Ndungai na zile Trilion 1.5 imepigwa na CCM Zingetosha hata kujenga Bandari ya kitalii Lindi meli za kitalii zitie Nanga watembelee mbuga kubwa ya nyerere na Lindi kukua kiuchumi.
 
Ndio maana kina zitto hawampendi Rais Magufuli ameziba ulaji wao
Wewe mbweha CCM walikuokota wapi? au cyprian Musiba na Le mutuz walikuja kukuchukua kijiwe cha Bangi maana hujielewi kabsa, nini kazi ya upinzani? Kazi ya upinzani ni kuikosoa Serikali iliyopo madaktari, sasa unataka Zito ampende mwenyekiti wa CCM ili iweje?
 
Bandari ya Dsm ipo kichochoroni imejibana sana kina cha maji ni kifupi sana, meli kubwa hazifiki hapo na hata zile meli kubwa za wasitani zikija hupanga foleni majini kusubiria kushusha mizigo kuna usumbufu mapungufu mengi kwenye Bandari ya Dsm ndiyo maana mataifa mengi yameikimbia Bandari hiyo na kuhamia mombasa kenya, Beira msumbiji, Namibia, Angola South Africa, kikwete aliona hilo ndipo akaja na wazo la Bandari kubwa ya Bagamoyo lakini wajanja wachache huko CCM wameikwamisha kwa kudai 10%
 
10% toka kwa wajanja wachache huko CCM ndiyo kikwazo cha Bandari ya Bagamoyo
 
Mradi wa bandari ya bagamoyo ambao ulikuwa mbaya sana haujafutwa kwa ujumla wake. Kuna watu wengi serikalini wamekaa mkao wa kula wakisubiri Magufuli aondoke ili warudishe mradi kwa manufaa yao binafsi. Kuna watu wengi sana walikuwa wameshawekwa mfukoni.

China watahakikisha wanatumia kila namna kujenga bandari na sio kwa manufaa ya Tanzania lakini ni kwa manufaa yao ya kumiliki bandari muhimu zote Duniani hasa kwenye bahari ya Hindi. Hivyo nia yao sio kutoa mkopo bali ni kumiliki bandari Tanzania. Kwa sasa wanatumia Chama cha Mapinduzi kwa kupitia huko kwa kisingizio cha uhusiano wa Chama lakini wanataka wawaweke sawa hawa viongozi wa ndani ya chama na watu wote wanaomzunguka Magufuli ili iwe rahisi kumchagua mtu wao urais ujao.

Kama Magufuli anataka kweli kuuwa huu mradi ni kugawa ile sehemu kwa wawekezaji wa viwanda, kusema kwa uwazi wote mradi umekufa. Hata kama wakibadilisha maneneo kwenye mkataba wanaweza kuja kuhonga baadae na kubandika maneneo mengine kwenye mkataba.

Kikubwa ni kwamba nia ya China ni kuhakikisha DRC na Zambia vitu vyao wana control kuanzia vinakotoka mpaka China bila kuhojiwa wala kuulizwa. Huu ni kama ukoloni na tusikubali huu mkataba hata kama wakisema mkataba unabadilishwa. Lakini kingine hii bandari haina umuhimu tayari tuna bandari za kutosha.


Is Sri Lanka Really a Victim of China’s ‘Debt Trap’?
Huu ni Ujinga, hata kama China wakimiliki hiyo Bandari Tatizo liko wapi? Duniani Kote bandari nyingi tu zinamilikiwa na Private Operators, Serikali kazi yake ni kukusanya Kodi Ushuru mbalimbali
 
Mradi wa bandari ya bagamoyo ambao ulikuwa mbaya sana haujafutwa kwa ujumla wake. Kuna watu wengi serikalini wamekaa mkao wa kula wakisubiri Magufuli aondoke ili warudishe mradi kwa manufaa yao binafsi. Kuna watu wengi sana walikuwa wameshawekwa mfukoni.

China watahakikisha wanatumia kila namna kujenga bandari na sio kwa manufaa ya Tanzania lakini ni kwa manufaa yao ya kumiliki bandari muhimu zote Duniani hasa kwenye bahari ya Hindi. Hivyo nia yao sio kutoa mkopo bali ni kumiliki bandari Tanzania. Kwa sasa wanatumia Chama cha Mapinduzi kwa kupitia huko kwa kisingizio cha uhusiano wa Chama lakini wanataka wawaweke sawa hawa viongozi wa ndani ya chama na watu wote wanaomzunguka Magufuli ili iwe rahisi kumchagua mtu wao urais ujao.

Kama Magufuli anataka kweli kuuwa huu mradi ni kugawa ile sehemu kwa wawekezaji wa viwanda, kusema kwa uwazi wote mradi umekufa. Hata kama wakibadilisha maneneo kwenye mkataba wanaweza kuja kuhonga baadae na kubandika maneneo mengine kwenye mkataba.

Kikubwa ni kwamba nia ya China ni kuhakikisha DRC na Zambia vitu vyao wana control kuanzia vinakotoka mpaka China bila kuhojiwa wala kuulizwa. Huu ni kama ukoloni na tusikubali huu mkataba hata kama wakisema mkataba unabadilishwa. Lakini kingine hii bandari haina umuhimu tayari tuna bandari za kutosha.


Is Sri Lanka Really a Victim of China’s ‘Debt Trap’?
Sio China tu anarondoe mtu wa msimamo kama JPM atoke, ila manyang'au wote wakiwemo "watasha".

The New Confessions of an Economic Hit Man by John Perkins - PDF Drive

Ukisoma shuhuda za John Perkins ametoa models kadhaa namna mikopo inakuja na econometrics ili kuwashawishi watawala wa nchi za ulimwengu wa 3 kusaini miradi kama uliotakiwa ufanyike Bagamoyo wakijua una nafasi kubwa ya kushindwa kulipa katika muda wa makubaliano; hivyo wanachukua walichojenga kwa hela zao na kukiendesha kwa muda ambao "wataona" unarejesha hela zao,
 
Back
Top Bottom