Wachina wanasubiri Rais Magufuli aondoke kwenye bandari

Wachina wanasubiri Rais Magufuli aondoke kwenye bandari

Watanzania ujuaji utatuponza mkali kaondoka sasa wanakuja watu wa fursa na ruhusa madarakani, tumeanza na kuondoa kodi kwa kigezo eti tutumie akili kukusanya kodi ajabu sana.

Siku si nyingi mradi wa bwawa la umeme mwl nyerere nalo litazuiwa kujengwa hoja itakuja ile ile yakuharibu mazingira huko mana mfano tumesha uona tayari kwenye stend ya Magufuli kule mbezi CAG anasema ni chanzo cha foleni .

Anyway, twendeni tu tutajua huko baadae akili zikikaa sawa tukiamka usingizini tutaelewa kuwa ni nani alikuwa na nia njema na nchi hii.
Tunapiga hatua mbili mbele kisha tunarudi nyuma hatua nane.
 
Mradi wa bandari ya bagamoyo ambao ulikuwa mbaya sana haujafutwa kwa ujumla wake. Kuna watu wengi serikalini wamekaa mkao wa kula wakisubiri Magufuli aondoke ili warudishe mradi kwa manufaa yao binafsi. Kuna watu wengi sana walikuwa wameshawekwa mfukoni.

China watahakikisha wanatumia kila namna kujenga bandari na sio kwa manufaa ya Tanzania lakini ni kwa manufaa yao ya kumiliki bandari muhimu zote Duniani hasa kwenye bahari ya Hindi. Hivyo nia yao sio kutoa mkopo bali ni kumiliki bandari Tanzania. Kwa sasa wanatumia Chama cha Mapinduzi kwa kupitia huko kwa kisingizio cha uhusiano wa Chama lakini wanataka wawaweke sawa hawa viongozi wa ndani ya chama na watu wote wanaomzunguka Magufuli ili iwe rahisi kumchagua mtu wao urais ujao.

Kama Magufuli anataka kweli kuuwa huu mradi ni kugawa ile sehemu kwa wawekezaji wa viwanda, kusema kwa uwazi wote mradi umekufa. Hata kama wakibadilisha maneneo kwenye mkataba wanaweza kuja kuhonga baadae na kubandika maneneo mengine kwenye mkataba.

Kikubwa ni kwamba nia ya China ni kuhakikisha DRC na Zambia vitu vyao wana control kuanzia vinakotoka mpaka China bila kuhojiwa wala kuulizwa. Huu ni kama ukoloni na tusikubali huu mkataba hata kama wakisema mkataba unabadilishwa. Lakini kingine hii bandari haina umuhimu tayari tuna bandari za kutosha.


Is Sri Lanka Really a Victim of China’s ‘Debt Trap’?

Tulisha toa onyo mwaka jana!. Tuwe makini na spika tayari yeye, Bushiru na Kikwete wako mifukoni mwa China. China wanataka base ya jeahi pale na wameshasema na ndiyo maana hawataki kuhojiwa wakijenga .
 
Mradi wa bandari ya bagamoyo ambao ulikuwa mbaya sana haujafutwa kwa ujumla wake. Kuna watu wengi serikalini wamekaa mkao wa kula wakisubiri Magufuli aondoke ili warudishe mradi kwa manufaa yao binafsi. Kuna watu wengi sana walikuwa wameshawekwa mfukoni.

China watahakikisha wanatumia kila namna kujenga bandari na sio kwa manufaa ya Tanzania lakini ni kwa manufaa yao ya kumiliki bandari muhimu zote Duniani hasa kwenye bahari ya Hindi. Hivyo nia yao sio kutoa mkopo bali ni kumiliki bandari Tanzania. Kwa sasa wanatumia Chama cha Mapinduzi kwa kupitia huko kwa kisingizio cha uhusiano wa Chama lakini wanataka wawaweke sawa hawa viongozi wa ndani ya chama na watu wote wanaomzunguka Magufuli ili iwe rahisi kumchagua mtu wao urais ujao.

Kama Magufuli anataka kweli kuuwa huu mradi ni kugawa ile sehemu kwa wawekezaji wa viwanda, kusema kwa uwazi wote mradi umekufa. Hata kama wakibadilisha maneneo kwenye mkataba wanaweza kuja kuhonga baadae na kubandika maneneo mengine kwenye mkataba.

Kikubwa ni kwamba nia ya China ni kuhakikisha DRC na Zambia vitu vyao wana control kuanzia vinakotoka mpaka China bila kuhojiwa wala kuulizwa. Huu ni kama ukoloni na tusikubali huu mkataba hata kama wakisema mkataba unabadilishwa. Lakini kingine hii bandari haina umuhimu tayari tuna bandari za kutosha.


Is Sri Lanka Really a Victim of China’s ‘Debt Trap’?
Duh,kuna watu wana maono makali sana...
 
Daah kuna manabii humu, mwishowe yametimia, bandari ya bagamoyo inakwenda kujengwa na wachina sasa. Hii nchi imelogwa tunarudi kulekule!!Nchi ya wanafiki akina ndugai wepesi wa kusahau nashangaa kwa nini hili jamaa walilichagua kuwa spika, ni zero brain kweli
Kweli aisee
 
Huu ni Ujinga, hata kama China wakimiliki hiyo Bandari Tatizo liko wapi? Duniani Kote bandari nyingi tu zinamilikiwa na Private Operators, Serikali kazi yake ni kukusanya Kodi Ushuru mbalimbali
Hata kodi walikuwa hawaruhusu ikusanywe na serekali ya Tz kwa mujibu wa terms
 
Eboo! Wanasubiri mpaka Magufuli aondoke madarakani? awali ya wote Magu yupo mpaka 2035 na mpaka hapo atapatikana Edward Moringe Sokoine II na Mwl Nyerere III(for your information Magu ni NyerereII)!!! - Shirika la Ndege (ATCL) limeshafufuliwa with 11 planes, Reli - Usafiri wa garimoshi Dsm - Arusha umefufukiwa , na mengine mengi!!
Tujifunze kua na Akiba ya maneno!
 
Kama nia yao ni kuwa na bandari hapa Tanzania wameshindwa nini kuicontrol hii iliyopo, kwanini waingie gharama kubwa kujenga nyingine.
 
Magufuli akitaka afanikiwe jambo hili, asilifanye kutafuta kiki ya kisiasa, kama hulka yake ilivyo. Nasema hivyo kwa sababu, rasilimali huwezi kuzilinda hivi hivi, kama hauna demokrasia ya kweli kweli katika jamii unayoiongoza.

Vinginevyo na yeye atataka aone maslahi yake; na akiua upinzani tu tumekwisha. Kuna miradi sugu ni sumu kwenye hivi vi nchi vyetu ndani ya bara la afrika.

Sijaona kiongozi wa kupambana na mabeberu, in Tanzania bado hatujapata brave and smart leader mpaka sasa, waliopo hawayatazami matatizo yetu serious.
Ngoja kwanza, unasema......
 
Mradi wa bandari ya bagamoyo ambao ulikuwa mbaya sana haujafutwa kwa ujumla wake. Kuna watu wengi serikalini wamekaa mkao wa kula wakisubiri Magufuli aondoke ili warudishe mradi kwa manufaa yao binafsi. Kuna watu wengi sana walikuwa wameshawekwa mfukoni.

China watahakikisha wanatumia kila namna kujenga bandari na sio kwa manufaa ya Tanzania lakini ni kwa manufaa yao ya kumiliki bandari muhimu zote Duniani hasa kwenye bahari ya Hindi. Hivyo nia yao sio kutoa mkopo bali ni kumiliki bandari Tanzania. Kwa sasa wanatumia Chama cha Mapinduzi kwa kupitia huko kwa kisingizio cha uhusiano wa Chama lakini wanataka wawaweke sawa hawa viongozi wa ndani ya chama na watu wote wanaomzunguka Magufuli ili iwe rahisi kumchagua mtu wao urais ujao.

Kama Magufuli anataka kweli kuuwa huu mradi ni kugawa ile sehemu kwa wawekezaji wa viwanda, kusema kwa uwazi wote mradi umekufa. Hata kama wakibadilisha maneneo kwenye mkataba wanaweza kuja kuhonga baadae na kubandika maneneo mengine kwenye mkataba.

Kikubwa ni kwamba nia ya China ni kuhakikisha DRC na Zambia vitu vyao wana control kuanzia vinakotoka mpaka China bila kuhojiwa wala kuulizwa. Huu ni kama ukoloni na tusikubali huu mkataba hata kama wakisema mkataba unabadilishwa. Lakini kingine hii bandari haina umuhimu tayari tuna bandari za kutosha.


Is Sri Lanka Really a Victim of China’s ‘Debt Trap’?
Nimeupandisha huu mjadala tena
 
Back
Top Bottom