Mackanackyyy
JF-Expert Member
- Mar 26, 2019
- 2,338
- 5,271
Akiwemo Jiwe, nakuunga mkono 100%10% toka kwa wajanja wachache huko CCM ndiyo kikwazo cha Bandari ya Bagamoyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akiwemo Jiwe, nakuunga mkono 100%10% toka kwa wajanja wachache huko CCM ndiyo kikwazo cha Bandari ya Bagamoyo
Hakuna nchi yenye demokrasia ya kweli kweli duniani! Mpaka sasa sisi Tanzania tunazidi nchi nyingi kidemokrasia.Magufuli akitaka afanikiwe jambo hili, asilifanye kutafuta kiki ya kisiasa, kama hulka yake ilivyo. Nasema hivyo kwa sababu, rasilimali huwezi kuzilinda hivi hivi, kama hauna demokrasia ya kweli kweli katika jamii unayoiongoza.
Vinginevyo na yeye atataka aone maslahi yake; na akiua upinzani tu tumekwisha. Kuna miradi sugu ni sumu kwenye hivi vi nchi vyetu ndani ya bara la afrika.
Sijaona kiongozi wa kupambana na mabeberu, in Tanzania bado hatujapata brave and smart leader mpaka sasa, waliopo hawayatazami matatizo yetu serious.
ili Bandari ijengwe lazima Naibu Rais na wajanja wachache wapewe 10% kwanza bila hilo hakuna Bandari mpaka siku wakizeeka na kufa ndipo mchakato utaendelea tenaKwakuwa eneo lililotengwa kwa mradi wa bandari ya Bagamoyo ni 'ideal' kwa bandari kubwa ya kisasa, si Jambo la busara kuacha kabisa kuijenga bandari hiyo bali ni kutafuta njia mbadala ya kuanzisha na kuuendeleza ujenzi huo!
NB: Bandari ya Dar imechoka na msongamano wa magari jijini unapunguza 'efficiency' yake!
Tanzania ina rasilimali nyingi ipo vizuri usifananishe Tanzania na sehemu zingine Duniani, hakuna kinachofanya Tanzania ikashindwa kulipia chochoteSio China tu anarondoe mtu wa msimamo kama JPM atoke, ila manyang'au wote wakiwemo "watasha".
The New Confessions of an Economic Hit Man by John Perkins - PDF Drive
Ukisoma shuhuda za John Perkins ametoa models kadhaa namna mikopo inakuja na econometrics ili kuwashawishi watawala wa nchi za ulimwengu wa 3 kusaini miradi kama uliotakiwa ufanyike Bagamoyo wakijua una nafasi kubwa ya kushindwa kulipa katika muda wa makubaliano; hivyo wanachukua walichojenga kwa hela zao na kukiendesha kwa muda ambao "wataona" unarejesha hela zao,
Haina 10% so wapiga dili wameitelekezaBandari ya Dsm ipo kichochoroni imejibana sana kina cha maji ni kifupi sana, meli kubwa hazifiki hapo na hata zile meli kubwa za wasitani zikija hupanga foleni majini kusubiria kushusha mizigo kuna usumbufu mapungufu mengi kwenye Bandari ya Dsm ndiyo maana mataifa mengi yameikimbia Bandari hiyo na kuhamia mombasa kenya, Beira msumbiji, Namibia, Angola South Africa, kikwete aliona hilo ndipo akaja na wazo la Bandari kubwa ya Bagamoyo lakini wajanja wachache huko CCM wameikwamisha kwa kudai 10%
Huu ni Ujinga, hata kama China wakimiliki hiyo Bandari Tatizo liko wapi? Duniani Kote bandari nyingi tu zinamilikiwa na Private Operators, Serikali kazi yake ni kukusanya Kodi Ushuru mbalimbali
Bandari ya Dsm ipo kichochoroni imejibana sana kina cha maji ni kifupi sana, meli kubwa hazifiki hapo na hata zile meli kubwa za wasitani zikija hupanga foleni majini kusubiria kushusha mizigo kuna usumbufu mapungufu mengi kwenye Bandari ya Dsm ndiyo maana mataifa mengi yameikimbia Bandari hiyo na kuhamia mombasa kenya, Beira msumbiji, Namibia, Angola South Africa, kikwete aliona hilo ndipo akaja na wazo la Bandari kubwa ya Bagamoyo lakini wajanja wachache huko CCM wameikwamisha kwa kudai 10%
Hata ukiyatoa maeneo hayo kwa wafanyabiashara tambua kwamba tunahitaji bandari nyingine moja au mbili zenye viwango vya kimataifa. (Bandari ya Tanga na Mtwara)
lakini hazimilikiwi na wachinaSouth Africa zipo Bandari kubwa nyingi East London, Port Elizabeth, captown na Darban zote ni kubwa na kila Bandari ina majukumu yake, Mfano Bandari ya Darban ni ya kimataifa inahudumia mataifa mengi na hizo Bandari zingine ni za kazi zingine ikiwemo meli kiasi za kimataifa pia.
Mradi wa bandari ya bagamoyo ambao ulikuwa mbaya sana haujafutwa kwa ujumla wake. Kuna watu wengi serikalini wamekaa mkao wa kula wakisubiri Magufuli aondoke ili warudishe mradi kwa manufaa yao binafsi. Kuna watu wengi sana walikuwa wameshawekwa mfukoni.
China watahakikisha wanatumia kila namna kujenga bandari na sio kwa manufaa ya Tanzania lakini ni kwa manufaa yao ya kumiliki bandari muhimu zote Duniani hasa kwenye bahari ya Hindi. Hivyo nia yao sio kutoa mkopo bali ni kumiliki bandari Tanzania. Kwa sasa wanatumia Chama cha Mapinduzi kwa kupitia huko kwa kisingizio cha uhusiano wa Chama lakini wanataka wawaweke sawa hawa viongozi wa ndani ya chama na watu wote wanaomzunguka Magufuli ili iwe rahisi kumchagua mtu wao urais ujao.
Kama Magufuli anataka kweli kuuwa huu mradi ni kugawa ile sehemu kwa wawekezaji wa viwanda, kusema kwa uwazi wote mradi umekufa. Hata kama wakibadilisha maneneo kwenye mkataba wanaweza kuja kuhonga baadae na kubandika maneneo mengine kwenye mkataba.
Kikubwa ni kwamba nia ya China ni kuhakikisha DRC na Zambia vitu vyao wana control kuanzia vinakotoka mpaka China bila kuhojiwa wala kuulizwa. Huu ni kama ukoloni na tusikubali huu mkataba hata kama wakisema mkataba unabadilishwa. Lakini kingine hii bandari haina umuhimu tayari tuna bandari za kutosha.
Is Sri Lanka Really a Victim of China’s ‘Debt Trap’?
Endelea kuota mchana, JPM kakuambia yeye huwa haoti mchana, ni USIKU TUUUUU.Endelea kusubiriMagufuli akitaka afanikiwe jambo hili, asilifanye kutafuta kiki ya kisiasa, kama hulka yake ilivyo. Nasema hivyo kwa sababu, rasilimali huwezi kuzilinda hivi hivi, kama hauna demokrasia ya kweli kweli katika jamii unayoiongoza.
Vinginevyo na yeye atataka aone maslahi yake; na akiua upinzani tu tumekwisha. Kuna miradi sugu ni sumu kwenye hivi vi nchi vyetu ndani ya bara la afrika.
Sijaona kiongozi wa kupambana na mabeberu, in Tanzania bado hatujapata brave and smart leader mpaka sasa, waliopo hawayatazami matatizo yetu serious.
Eboo! Wanasubiri mpaka Magufuli aondoke madarakani? awali ya wote Magu yupo mpaka 2035 na mpaka hapo atapatikana Edward Moringe Sokoine II na Mwl Nyerere III(for your information Magu ni NyerereII)!!! - Shirika la Ndege (ATCL) limeshafufuliwa with 11 planes, Reli - Usafiri wa garimoshi Dsm - Arusha umefufukiwa , na mengine mengi!!
Kwakuwa eneo lililotengwa kwa mradi wa bandari ya Bagamoyo ni 'ideal' kwa bandari kubwa ya kisasa, si Jambo la busara kuacha kabisa kuijenga bandari hiyo bali ni kutafuta njia mbadala ya kuanzisha na kuuendeleza ujenzi huo!
NB: Bandari ya Dar imechoka, na msongamano wa magari jijini unapunguza 'efficiency' yake!
Kuna haja gani kujenga bandari mbili katika umbali mfupi?
Akili za Chadema bwana, mtaishia hivyo hivyo