Wachochezi karibuni tuchochee

Wachochezi karibuni tuchochee

flagship

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2015
Posts
1,641
Reaction score
1,189
Kuni mbichi na muda unazidi kwenda. Baba ametenga sufuria la ugali na ametuahidi anakwenda kutafuta kitoweo lakini mpaka sasa mambo hayajaeleweka.

Njaa inazidi kuwa kali na kila jirani ana uadui na baba na wale waliokuwa naye karibu wote aliwatenga kabla kuni hazijalowa na mvua. Mimi naona tukazane kuchochea ili mzee akirudi na kitoweo akute ugali tayari. Ni aibu kuazima kuni kwa jirani ambaye ni adui wa baba.

IMG_4459.jpg
IMG_4462.jpg
 
Tuna kila sababu ya kupimwa mkojo....
 
SUBIRI NIMWAGE KUNI MWENYE KIBERITI AWASHE.

Serekali awamu YA TANO Ni kigegeu kwanzia RAISI mpaka madiwani.

1/05/2017 (RAISI): ntawaongezea icrement
(Malkia kairuki);tukimaliza kuhakiki vyeti feki tutaongeza mishahara.
Mkutano ALAT (RAIS):sitaongeza mishahara mpaka uzalishaji uongezeke
MKUCHIKA:Tukimaliza kuhakiki umri tutaongeza mishahara.
MSEMAJI WA SEREKALI:raisi alieleweka vibaya tutaongeza mishahara.

KIGEUGEU by JAGUAR.
 
SUBIRI NIMWAGE KUNI MWENYE KIBERITI AWASHE.

Serekali awamu YA TANO Ni kigegeu kwanzia RAISI mpaka madiwani.

1/05/2017 (RAISI): ntawaongezea icrement
(Malkia kairuki);tukimaliza kuhakiki vyeti feki tutaongeza mishahara.
Mkutano ALAT (RAIS):sitaongeza mishahara mpaka uzalishaji uongezeke
MKUCHIKA:Tukimaliza kuhakiki umri tutaongeza mishahara.
MSEMAJI WA SEREKALI:raisi alieleweka vibaya tutaongeza mishahara.

KIGEUGEU by JAGUAR.
Ahahahahaahajhahahaj
 
Back
Top Bottom