Wachukie Wasukuma uwezavyo lakini kaa ukijua wamebarikiwa sana

Wachukie Wasukuma uwezavyo lakini kaa ukijua wamebarikiwa sana

1. Hawa watu Wana uzazi Sana ,. Wasukuma hawahangaiki Kwa waganga kutafuta mimba wao wakigusa mwanamke Tu mimba chap, Usukumani mapacha kila Kona
3. Wasukuma ni wakarimu sana. Pamoja na kuwa na familia kubwa lakin Msukuma kumkirimu mgeni ni Jambo la la
Mimi sio Msukuma ila kwa namba moja naweza toa sababu za kisayansi kwanini wamejaliwa uzazi
1.Wanakula sana vyakula vya asili kuliko minyama miyekundu pamoja na kwamba ni wafugaji.Nitatoa mfano mbegu za maboga na karanga na maziwa mtindi.Mbegu za maboga zenyewe zina madini mengi sana ya Zinc ambayo yana jukumu la kuimarisha katika sell za uzazi sehemu inaitwa mitochondria ambayo mitochondria ina jukumu la kusaidia upumuaji wa cell za uzazi hivyo kitendo cha kula hizo mbegu za maboga mbegu zao za uzazi zinakuwa na nguvu sana ya kurutubisha yai la kike wakati wa wa tendo la ndoa.
3.kwa point kuwa ni wakarimu ni kweli kabisa ukikuta wasukuma wanakula wako kundi vijijini we kaa kula tu hutashikwa mkono baada ya hapo salimia watakuona wa maana sana nenda mkoa flani naujua wakila wanajificha.

Namalizia kwa kusema wasukuma walivyo wengi nchi hii wangekuwa wakorofi kama lile kabila flani nchi hii isingekalika
 
Thread kadhaa huanzishwa hapa jf kuwakandia na kuwasiliba Wasukuma.

Wapo wanaosema mara Wasukuma hawaogi.

Mara Wasukuma ni washirikina.
Mara Wasukuma ni washamba .

Yote hayo inaweza kuwa Sawa lakini kaa ukijua hawa watu wamebarikiwa Sana.

Nimeishi Kanda karibu zote nchi hii hadi Zanzibar Ila Usukumani ni kiboko.

1. Hawa watu Wana uzazi Sana ,. Wasukuma hawahangaiki Kwa waganga kutafuta mimba wao wakigusa mwanamke Tu mimba chap, Usukumani mapacha kila Kona
2. Wasukuma ni wachapakazi Sana , hakuna msamiati uvivu Usukumani.

3. Wasukuma ni wakarimu sana. Pamoja na kuwa na familia kubwa lakin Msukuma kumkirimu mgeni ni Jambo la lazima kwake.

4. Ardhi Yao imebarikiwa,, Wana kila kitu hawa watu,, ardhi yenye rutuba, samaki na madini . Kama unadhan nanasi tam zipo Chalinze basi ukifika Geita utajua hujui.

5. Wasukuma Wana afya za uhakika na miili ya kibantu haswa. Wasukuma si Kama wabena , waha au wangoni kwamba wakikalia kiberiti miguu haifik chin

6. Wasukuma Wana msimamo Sana,,, Msukuma akisema no ni no tena big noo

7. Wasukuma wanaushirikiano Sana. Usukumani Hadi Leo watu wanafanya kazi za kilimo kijamaa.

8. Wasukuma wana vipaji Sana, Kama ulikuwa hujui basi kaa ukijua MRISHO Ngasa ni Msukuma, Marehem Kanumba ni Msukuma, hata hum jf vipaji vya kisukuma ni Moto mfano Mtu Kama Analyse ni mtunzi hatar. Hata UMUGHAKA anaonekana Msukuma Tu japo anadai ni mkurya

Hayo ni machache Tu katika mengi waliyobarikiwa hawa watu.

Itoshe kusema Tu kwamba kelele nyingi za kuwaponda Wasukuma hutokana na wivu tu ,, maana mti wenye matunda........
Miaka ya nyuma tulivyokuwa minadan huko usukuman tulichokuwa tunafanya ni kumkamata yule kiongoz wao tu bas. Utauzia kijiji kizima.
 
Thread kadhaa huanzishwa hapa jf kuwakandia na kuwasiliba Wasukuma.

Wapo wanaosema mara Wasukuma hawaogi.

Mara Wasukuma ni washirikina.
Mara Wasukuma ni washamba .

Yote hayo inaweza kuwa Sawa lakini kaa ukijua hawa watu wamebarikiwa Sana.

Nimeishi Kanda karibu zote nchi hii hadi Zanzibar Ila Usukumani ni kiboko.

1. Hawa watu Wana uzazi Sana ,. Wasukuma hawahangaiki Kwa waganga kutafuta mimba wao wakigusa mwanamke Tu mimba chap, Usukumani mapacha kila Kona
2. Wasukuma ni wachapakazi Sana , hakuna msamiati uvivu Usukumani.

3. Wasukuma ni wakarimu sana. Pamoja na kuwa na familia kubwa lakin Msukuma kumkirimu mgeni ni Jambo la lazima kwake.

4. Ardhi Yao imebarikiwa,, Wana kila kitu hawa watu,, ardhi yenye rutuba, samaki na madini . Kama unadhan nanasi tam zipo Chalinze basi ukifika Geita utajua hujui.

5. Wasukuma Wana afya za uhakika na miili ya kibantu haswa. Wasukuma si Kama wabena , waha au wangoni kwamba wakikalia kiberiti miguu haifik chin

6. Wasukuma Wana msimamo Sana,,, Msukuma akisema no ni no tena big noo

7. Wasukuma wanaushirikiano Sana. Usukumani Hadi Leo watu wanafanya kazi za kilimo kijamaa.

8. Wasukuma wana vipaji Sana, Kama ulikuwa hujui basi kaa ukijua MRISHO Ngasa ni Msukuma, Marehem Kanumba ni Msukuma, hata hum jf vipaji vya kisukuma ni Moto mfano Mtu Kama Analyse ni mtunzi hatar. Hata UMUGHAKA anaonekana Msukuma Tu japo anadai ni mkurya

Hayo ni machache Tu katika mengi waliyobarikiwa hawa watu.

Itoshe kusema Tu kwamba kelele nyingi za kuwaponda Wasukuma hutokana na wivu tu ,, maana mti wenye matunda........

Huna hoja ila mkabila sasa wabena na waha wameingiaje???
huwezi sifia wasukuma hadi ukashfu makabila mengine

Ndo maana tunasema ushamba kwenu mzigo
 
Thread kadhaa huanzishwa hapa jf kuwakandia na kuwasiliba Wasukuma.

Wapo wanaosema mara Wasukuma hawaogi.

Mara Wasukuma ni washirikina.
Mara Wasukuma ni washamba .

Yote hayo inaweza kuwa Sawa lakini kaa ukijua hawa watu wamebarikiwa Sana.

Nimeishi Kanda karibu zote nchi hii hadi Zanzibar Ila Usukumani ni kiboko.

1. Hawa watu Wana uzazi Sana ,. Wasukuma hawahangaiki Kwa waganga kutafuta mimba wao wakigusa mwanamke Tu mimba chap, Usukumani mapacha kila Kona
2. Wasukuma ni wachapakazi Sana , hakuna msamiati uvivu Usukumani.

3. Wasukuma ni wakarimu sana. Pamoja na kuwa na familia kubwa lakin Msukuma kumkirimu mgeni ni Jambo la lazima kwake.

4. Ardhi Yao imebarikiwa,, Wana kila kitu hawa watu,, ardhi yenye rutuba, samaki na madini . Kama unadhan nanasi tam zipo Chalinze basi ukifika Geita utajua hujui.

5. Wasukuma Wana afya za uhakika na miili ya kibantu haswa. Wasukuma si Kama wabena , waha au wangoni kwamba wakikalia kiberiti miguu haifik chin

6. Wasukuma Wana msimamo Sana,,, Msukuma akisema no ni no tena big noo

7. Wasukuma wanaushirikiano Sana. Usukumani Hadi Leo watu wanafanya kazi za kilimo kijamaa.

8. Wasukuma wana vipaji Sana, Kama ulikuwa hujui basi kaa ukijua MRISHO Ngasa ni Msukuma, Marehem Kanumba ni Msukuma, hata hum jf vipaji vya kisukuma ni Moto mfano Mtu Kama Analyse ni mtunzi hatar. Hata UMUGHAKA anaonekana Msukuma Tu japo anadai ni mkurya

Hayo ni machache Tu katika mengi waliyobarikiwa hawa watu.

Itoshe kusema Tu kwamba kelele nyingi za kuwaponda Wasukuma hutokana na wivu tu ,, maana mti wenye matunda........
Katika 8 hapo umekosea, Mrisho Ngassa si mchezaji wa maana, yule ni mchezaji wa redioni tu, Ukiona uchezaji wake utashangaa iweje anasifiwa wakati si mchezaji wa maana, yaani hata nashangaa ilikuwaje alikwenda Yanga kwa mpira ule.
 
Katika 8 hapo umekosea, Mrisho Ngassa si mchezaji wa maana, yule ni mchezaji wa redioni tu, Ukiona uchezaji wake utashangaa iweje anasifiwa wakati si mchezaji wa maana, yaani hata nashangaa ilikuwaje alikwenda Yanga kwa mpira ule.
Dah! Haupo serious,, Ngasa huyu huyu mfungaji Bora taifa stars
 
Dah! Haupo serious,, Ngasa huyu huyu mfungaji Bora taifa stars
Unakumbuka alipokwenda West Ham (Uingereza) kwa majaribio aliambiwa nini na Zola? Tatizo Tanzania tunapenda kuwapa wachezaji ujiko wasio stahili hata kidogo, sikuwahi elewa kwanini Ngassa alichezea Yanga kwa mpira ule. Uchawi mwingine si mzuri unakuta mtu anajidhalilisha hivi hivi, jina kubwa lakini uhalisia finyu.
 
Back
Top Bottom