Wachungaji hadi lini mtavunja ndoa za watu?

Wachungaji hadi lini mtavunja ndoa za watu?

Nakadori

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2011
Posts
8,778
Reaction score
21,010
Joseph Moses ambaye ni dereva bodaboda mkazi wa Mbeya anakabiliwa na shtaka la kumtishia kumuua kwa maneno mkewe Irene Mwaikana huku chanzo cha ugomvi huo ni tabia ya mkewe ya kutoa chakula nyumbani na kupeleka kwa mchungaji.

“Mheshimiwa hakimu huyu mwanamke anakera sana, tukichinja kuku, vipaja na vidari vyote anapelekewa mchungaji, alafu mimi ninayetafuta pesa kwa shida napewa vipapatio, Nahisi anatoka naye kimapenzi, kwanza mchungaji hana mke." –Mtuhumiwa Joseph Moses.

Sasa ninachojiuliza kwanini wachungaji wanafanya mazoea na wake za watu? Mchungaji Mmoja wa dhehebu fulani aliambulia kipigo kwa kumtongoza mke wa muumini wake....
Haya mambo hadi lini??
FB_IMG_1661236156817.jpg
 
Mtaani kwetu... Jamaa Muislam kagombana na mkewe.

Wakawa wanaenda Kwa Sheikh kusuluhisha

Sheikh akawa anamwambia Jamaa .achana na huyo mwanamke, harakisha sana kuvunja Ndoa


Jamaa akatoa Talaka zake zote 3.


Sheikh akamzunguka jamaa, akamuoa Mke wa Jamaa Sasa Sheikh ana wake wawili
 
ukiona mwanamke anampa kuku mwanaume ujue kwisha habari yake.....

Jamaa kupelekwa mahakamani ni janja ya pasteri ili afungwe na mke ataishi bila mume wala talaka mchungaji awe anajitafunia tu kwa raha zake
 
Joseph Moses ambaye ni dereva bodaboda mkazi wa Mbeya anakabiliwa na shtaka la kumtishia kumuua kwa maneno mkewe Irene Mwaikana huku chanzo cha ugomvi huo ni tabia ya mkewe ya kutoa chakula nyumbani na kupeleka kwa mchungaji.

“Mheshimiwa hakimu huyu mwanamke anakera sana, tukichinja kuku, vipaja na vidari vyote anapelekewa mchungaji, alafu mimi ninayetafuta pesa kwa shida napewa vipapatio, Nahisi anatoka naye kimapenzi, kwanza mchungaji hana mke." –Mtuhumiwa Joseph Moses.

Sasa ninachojiuliza kwanini wachungaji wanafanya mazoea na wake za watu? Mchungaji Mmoja wa dhehebu fulani aliambulia kipigo kwa kumtongoza mke wa muumini wake....
Haya mambo hadi lini??View attachment 2332082
Joseph Moses ambaye ni dereva bodaboda mkazi wa Mbeya anakabiliwa na shtaka la kumtishia kumuua kwa maneno mkewe Irene Mwaikana huku chanzo cha ugomvi huo ni tabia ya mkewe ya kutoa chakula nyumbani na kupeleka kwa mchungaji.

“Mheshimiwa hakimu huyu mwanamke anakera sana, tukichinja kuku, vipaja na vidari vyote anapelekewa mchungaji, alafu mimi ninayetafuta pesa kwa shida napewa vipapatio, Nahisi anatoka naye kimapenzi, kwanza mchungaji hana mke." –Mtuhumiwa Joseph Moses.

Sasa ninachojiuliza kwanini wachungaji wanafanya mazoea na wake za watu? Mchungaji Mmoja wa dhehebu fulani aliambulia kipigo kwa kumtongoza mke wa muumini wake....
Haya mambo hadi lini??
Wachungaji wengi wanawagonga kirahisi sana wake zetu
 
Kuna mmoja walikuwa wanapeana zamu ya kumpikia na kumsubiria ale ndio waoshe vyombo.Mwanamke wa zamu yake ikifika anaacha genge lake mpaka saa tatu usiku ndio arudi akalale.
 
Mitego kikuu ya wachungaji makanisani ni kuishinda tamaa ya ngono na pesa, wakivishinda hivi pepo wataiona.
 
Back
Top Bottom