Wachungaji hadi lini mtavunja ndoa za watu?

Wachungaji hadi lini mtavunja ndoa za watu?

Joseph Moses ambaye ni dereva bodaboda mkazi wa Mbeya anakabiliwa na shtaka la kumtishia kumuua kwa maneno mkewe Irene Mwaikana huku chanzo cha ugomvi huo ni tabia ya mkewe ya kutoa chakula nyumbani na kupeleka kwa mchungaji.

“Mheshimiwa hakimu huyu mwanamke anakera sana, tukichinja kuku, vipaja na vidari vyote anapelekewa mchungaji, alafu mimi ninayetafuta pesa kwa shida napewa vipapatio, Nahisi anatoka naye kimapenzi, kwanza mchungaji hana mke." –Mtuhumiwa Joseph Moses.

Sasa ninachojiuliza kwanini wachungaji wanafanya mazoea na wake za watu? Mchungaji Mmoja wa dhehebu fulani aliambulia kipigo kwa kumtongoza mke wa muumini wake....
Haya mambo hadi lini??View attachment 2332082
Mambo kama haya nao wanawake wanaangalia na mwanaume wa kumfanyia hivyo vituko..

Kiufupi kama mwanamke uliyeoa ni Majanga haya ndio matokeo yake kwa sababu haiwezekani vituko hivi vitokee,na mwanamke aliamua kumrekodi na kumshitaki..
 
Kuna mmoja walikuwa wanapeana zamu ya kumpikia na kumsubiria ale ndio waoshe vyombo.Mwanamke wa zamu yake ikifika anaacha genge lake mpaka saa tatu usiku ndio arudi akalale.
Ndio nasema hivi huwa wanaangalia na mwanaume wa kumfanyia vituko,mimi nakutimua mapema kabisa Bora nikae bila mke.
 
Sasa ninachojiuliza kwanini wachungaji wanafanya mazoea na wake za watu? Mchungaji Mmoja wa dhehebu fulani aliambulia kipigo kwa kumtongoza mke wa muumini wake....
Sasa kuna mchungaji hapo? Kwa hiyo hata sangoma akiamua kufungua kijiwe akawa anadai michanga tya miguu waliyokanyaga adui zako, anazini na wake na mabinti za watu au anakusanya kucha bado atakuwa mchungaji kwa kuwa anavaa kola au joho?

Haya hayatakwisha mpaka watu watakapoanza kumheshimu Mungu na Neno lake. Haiwezekani Neno linamwita tapeli ila wewe bila soni unamwita mchungaji!

Dharau kwa Mungu zina gharama!
 
Joseph Moses ambaye ni dereva bodaboda mkazi wa Mbeya anakabiliwa na shtaka la kumtishia kumuua kwa maneno mkewe Irene Mwaikana huku chanzo cha ugomvi huo ni tabia ya mkewe ya kutoa chakula nyumbani na kupeleka kwa mchungaji.

“Mheshimiwa hakimu huyu mwanamke anakera sana, tukichinja kuku, vipaja na vidari vyote anapelekewa mchungaji, alafu mimi ninayetafuta pesa kwa shida napewa vipapatio, Nahisi anatoka naye kimapenzi, kwanza mchungaji hana mke." –Mtuhumiwa Joseph Moses.

Sasa ninachojiuliza kwanini wachungaji wanafanya mazoea na wake za watu? Mchungaji Mmoja wa dhehebu fulani aliambulia kipigo kwa kumtongoza mke wa muumini wake....
Haya mambo hadi lini??View attachment 2332082
Bora huyo kashtakiwa kwa kutishia kuua, Mi ningekuwa jela kwa kesi ya Mauaji.
 
Joseph Moses ambaye ni dereva bodaboda mkazi wa Mbeya anakabiliwa na shtaka la kumtishia kumuua kwa maneno mkewe Irene Mwaikana huku chanzo cha ugomvi huo ni tabia ya mkewe ya kutoa chakula nyumbani na kupeleka kwa mchungaji.

“Mheshimiwa hakimu huyu mwanamke anakera sana, tukichinja kuku, vipaja na vidari vyote anapelekewa mchungaji, alafu mimi ninayetafuta pesa kwa shida napewa vipapatio, Nahisi anatoka naye kimapenzi, kwanza mchungaji hana mke." –Mtuhumiwa Joseph Moses.

Sasa ninachojiuliza kwanini wachungaji wanafanya mazoea na wake za watu? Mchungaji Mmoja wa dhehebu fulani aliambulia kipigo kwa kumtongoza mke wa muumini wake....
Haya mambo hadi lini??View attachment 2332082
Ogopa sana wachungaji ambao hawapo chini ya taasisi.. wao pia ni binadamu Tamaa zao za mwili hata wakikosea hakuna wakuwakosoa kwenye uongozi wao..!!
 
Back
Top Bottom