Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,021
- 79,710
Hamna kumuendekeza mduwanzi kama huyo. Yani mimi ni hustle kutafuta kuku halafu anafaidi mchungaji huku pia hela ya matumizi nayoacha wife anabana ili apate sadaka ya kwenda kumnufaisha mchungaji?Hahahahah ni noma sana chalyanguu, apelekeshe ufara
Hapo umeoa familia ya watu. Yani mchungaji na mke wake (ambae unadhani ni mkeo).