Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tulieni kupeleka peleka hovyo! Ikishasajiliwa, ni mali ya aliyesajiliwa kwayo.Ukiendekeza sana chini unakuwa chizi bwana. Mengine mpunguzee
Basi acha tule vinavyolikaAkitubu mbona ataiona asubuhi na mapema sana
Wameshaambiwa "iweni Kama mimi, lakini Kama mkishindwa basi oeni".Joseph Moses ambaye ni dereva bodaboda mkazi wa Mbeya anakabiliwa na shtaka la kumtishia kumuua kwa maneno mkewe Irene Mwaikana huku chanzo cha ugomvi huo ni tabia ya mkewe ya kutoa chakula nyumbani na kupeleka kwa mchungaji.
“Mheshimiwa hakimu huyu mwanamke anakera sana, tukichinja kuku, vipaja na vidari vyote anapelekewa mchungaji, alafu mimi ninayetafuta pesa kwa shida napewa vipapatio, Nahisi anatoka naye kimapenzi, kwanza mchungaji hana mke." –Mtuhumiwa Joseph Moses.
Sasa ninachojiuliza kwanini wachungaji wanafanya mazoea na wake za watu? Mchungaji Mmoja wa dhehebu fulani aliambulia kipigo kwa kumtongoza mke wa muumini wake....
Haya mambo hadi lini??View attachment 2332082
Ni waganga wanaotapeli masikini kupitia jina la Yesu.Kucha na nywele zinawakilishwa kuzimu Ili kuchukua baraka zako na kukufanya msukule we kazi yako ni kuwapelekea pesa .Utaambiwa Wewe pepo, hawa manabii was kusema leteni kucha na nywele wameshakuwa waganga wa kienyeji
Ameshachungulia akaona pepo ni hapa hapa duniani, huko kwingine magumashi.Halafu mchungaji anategemea kuiona pepo
Asisahau kupiga mashine na mkewe ama wahuni wajitwalieAmeshachungulia akaona pepo ni hapa hapa duniani, huko kwingine magumashi.
Akaamua kujilia pepo hapa hapa😅
Joseph Moses ambaye ni dereva bodaboda mkazi wa Mbeya anakabiliwa na shtaka la kumtishia kumuua kwa maneno mkewe Irene Mwaikana huku chanzo cha ugomvi huo ni tabia ya mkewe ya kutoa chakula nyumbani na kupeleka kwa mchungaji.
“Mheshimiwa hakimu huyu mwanamke anakera sana, tukichinja kuku, vipaja na vidari vyote anapelekewa mchungaji, alafu mimi ninayetafuta pesa kwa shida napewa vipapatio, Nahisi anatoka naye kimapenzi, kwanza mchungaji hana mke." –Mtuhumiwa Joseph Moses.
Sasa ninachojiuliza kwanini wachungaji wanafanya mazoea na wake za watu? Mchungaji Mmoja wa dhehebu fulani aliambulia kipigo kwa kumtongoza mke wa muumini wake....
Haya mambo hadi lini??View attachment 2332082
Kuna mke wa Rafika angu amezoeana sana na shekhe mmoja hivi umwambii kitu kuhusu huyo shekhe ,Amejenga hadi Urafiki kwa.familia ya shekhe.Mtaani kwetu... Jamaa Muislam kagombana na mkewe.
Wakawa wanaenda Kwa Sheikh kusuluhisha
Sheikh akawa anamwambia Jamaa .achana na huyo mwanamke, harakisha sana kuvunja Ndoa
Jamaa akatoa Talaka zake zote 3.
Sheikh akamzunguka jamaa, akamuoa Mke wa Jamaa Sasa Sheikh ana wake wawili