Wachungaji hadi lini mtavunja ndoa za watu?

Hahahahah ni noma sana chalyanguu, apelekeshe ufara
Hamna kumuendekeza mduwanzi kama huyo. Yani mimi ni hustle kutafuta kuku halafu anafaidi mchungaji huku pia hela ya matumizi nayoacha wife anabana ili apate sadaka ya kwenda kumnufaisha mchungaji?

Hapo umeoa familia ya watu. Yani mchungaji na mke wake (ambae unadhani ni mkeo).
 
Hiyo inaitwa ukiona cha nini, wenzio wanawaza watakipata lini.
 
Mi staki hizo mbishe, asali ila mambo ya kuzoeana na watumishi hakuna
 
Kuna mmoja walikuwa wanapeana zamu ya kumpikia na kumsubiria ale ndio waoshe vyombo.Mwanamke wa zamu yake ikifika anaacha genge lake mpaka saa tatu usiku ndio arudi akalale.
Dahh kula gani huko hadi saa 3 usiku...
Akirudii hyo saa tatu mwepesiiiiii
 
Tutazivunja mpaka sku hao watu watapoamua kutumia akili zao
 
Mbona wapo wanaume wanaojikontrol
Sasa kama wewe kama kila mwanamke unayemuona unalala naye si huo ufutio utaishaa?
Ufutiongani wew? Hii ni pen isioisha wino🀣🀣🀣🀣
 
Wale wakusanya sadaka, na wanaohudumu pale kanisani ikiwemo usafi.... n.k n.k
Ahaa mke akishapewa cheo kanisani its a main way to kutafunwa, nakumbuka bi mkubwa mmoja alipewa uzee wa kanisa basi siku za mavuno huchelewa sana kurudi eti wanahesabu sadaka πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ akili yangu mbovu nilihisi tu iko namna
 
Ahaa mke akishapewa cheo kanisani its a main way to kutafunwa, nakumbuka bi mkubwa mmoja alipewa uzee wa kanisa basi siku za mavuno huchelewa sana kurudi eti wanahesabu sadaka πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ akili yangu mbovu nilihisi tu iko namna
Sasa cha kujiuliza ni kwamba sadaka iliyokusanywa mchana inahesabiwaje hadi usiku saa 4? Au ndo ile zikishahesabiwa wanapitia mahali kwenda kuzitumbua?
 
Sasa cha kujiuliza ni kwamba sadaka iliyokusanywa mchana inahesabiwaje hadi usiku saa 4? Au ndo ile zikishahesabiwa wanapitia mahali kwenda kuzitumbua?
Unafikiri hata inafika saa 4? Watu wote wanatoka saa 7 mchana ila mtu anarudi saa 11 jioniπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…