peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 14,255
- 23,949
Iwapo Askofu wa Dayosisi hupatikana kwa wachungaji wote wa Dayosisi kupiga Kura, basi kuna uwezekano mkubwa Malasusa akistaafu, Kura zikamwangukia Rev. Dr Eliona Kimaro kuupata Nafasi ya kuwa Baba Askofu wa Dayosisi ya Mashariki na Pwani.
Iwapo wachungaji watajipanga vizuri watakuwa wamejikomboa kiimani na kimaisha.
Iwapo wachungaji watajipanga vizuri watakuwa wamejikomboa kiimani na kimaisha.