Wachungaji kutaka fungu la kumi kwa lazima

Who's 'Yesu Kristu'? Hayo mema ya nchi ni kama yapi?
 
Kutoa zaka ni AMRI, siyo option. According tu maandiko.
 
Mchungaji anataka Zaka naye akanunue gari mpya yenye usajili wa namba E.
Mchungaji anataka kulipa ada za watoto wake.
Mchungaji anataka kula Sato na mchele wa Kyela.
Hayo yote hawezi kuyafanya bila Zaka zenu tafadhali toeni tu ndio makanisa mliyoyachagua pesa mbele kama kuvaa nguo ya. Ndani.
 
Amen
 
Samahani kama nitakuwa nimewakwaza ila FUNGU LA KUMI NI LAZIMA. Ki biblia hyo pesa 10% siyo yako, kwahyo ukiitumia kwasababu zozote zile ambazo kibinadamu ni zinaonekana ni za msingi unakosea, unakuwa kama umeiba (umemuibia muumba wako). FULL STOP!!!
 
Mimi kuna kipindi niliamua kusali makanisa ya kiroho(kilokole), ila kweli nikajiona kama ni kujifunga tu. Yani michango kibao mpaka nikawa nakosa amani.

Mkuu hizi kanisa za kuanzishwa na mchungaji mmoja mmoja ni pasua kichwa bora haya makanisa makubwa.

Mwisho kwenda kanisani ni utumwa
 
Kwani mm nimesema wakale wapi ,wanapaswa kuwa na vyanzo vya mapato vingine nq zaka sio kulazimishana haya ni mambo ya rohoni
Kabisa. Tunaambiwa Mtume Paulo alikuwa mshona mahema, itapendeza wakiwa na kitu kingine cha kuingiza kipato
 
Samahani kama nitakuwa nimewakwaza ila FUNGU LA KUMI NI LAZIMA. Ki biblia hyo pesa 10% siyo yako, kwahyo ukiitumia kwasababu zozote zile ambazo kibinadamu ni zinaonekana ni za msingi unakosea, unakuwa kama umeiba (umemuibia muumba wako). FULL STOP!!!
Kibiblia wapi? Nipe andiko. (Utakuja na andiko la Malaki 3:10 )

Unajua kuwa Malaki 3:10 ni AGIZO LA FUNGU LA KUMI KWA MUJIBU WA TORATI?
 
Usipotoa zaka na sadaka Mchungaji na familia yake wale nini ?
 
Nashukuru kwa ufahamu na mchango wako mkuu amani ya Mungu na iamue ndani yangu barikiwa sana
 
Samahani kama nitakuwa nimewakwaza ila FUNGU LA KUMI NI LAZIMA. Ki biblia hyo pesa 10% siyo yako, kwahyo ukiitumia kwasababu zozote zile ambazo kibinadamu ni zinaonekana ni za msingi unakosea, unakuwa kama umeiba (umemuibia muumba wako). FULL STOP!!!
Lakini unajua lile andiko linalonena ya kuwa yule asiyewajali wa nyumbani mwake ni mbaya kuliko yule asiyeamini ....mambo yamebana option nimeona nikazanie kwanza wa heman mwangu
 
Kwanini ufahamike kanisani? Tuanzie hapo kwanza. Mara nyingi kiherehere ni mbaya
 
Yaani hizi biashara za dini ndio zinazidi kuchangamka. Mimi ni muislam, na uislam unaelekeza zaka zilipwe vipi na kina nani wanufaika. Mojawapo ya wanufaika ni ndugu, wagonjwa, watoto yatima, wajane. So zaka yangu naelekeza huku. Kuna watu sijui ni kutoka sehemu gani, wanapita kila asubuhi hospital nyingi za serikali kuwapa wagonjwa chakula. Unakuta wamebeba michupa mikubwa ya chai na vitafunwa wanapita kila wodi. Na wanafanya hivyo kila siku. Hiyo ndio maana ya sadaka na zaka sio tunawapelekea walioshiba
 
Lakini unajua lile andiko linalonena ya kuwa yule asiyewajali wa nyumbani mwake ni mbaya kuliko yule asiyeamini ....mambo yamebana option nimeona nikazanie kwanza wa heman mwangu
Mimi naishi na watoto wa ndugu zangu, nimeamua kuwasaidia ili waweze kujikwamua kimaisha, hiyo nayo ni sadaka kwangu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…