Daaa ama kweli wakoloni waliwaweza.
Dini ni upumbavu
Dini ni utapeli
Dini ni kifo cha Roho na akili
Dini ni kificho cha maovu
Dini ni biashara
Dini zote ni uongo mtupu
Dini zote Muanzilishi ni mmoja aliyekuwa na madhumuni tofaut kwa wapumbavu haswa Afrika.
Sadaka ni njama ya wahuni iliyopenyezwa ktk imani haswa ukristo kwa kivuli cha ulazima na Amri ya Mungu kuwa ukitoa unabarikiwa.
Sadaka chanzo chake ni hao waroma waliotunga dini ili kujipatia kodi na kuinua mapato na uchumi wa romani empire, baadaye walihalalisha michango hiyo makanisan na kuiingiza ktk imani na vitabu vya dini ili michango hiyo(sadaka) ionekane ni matakwa ya Mungu kuwataka watu watoe vitu vyao makanisani.
Sadaka hizo zilikuwa kama nyenzo muhimu ys kukuza uchumi wa kanisa na falme inayomilik kanisa.
Baada ya mgawanyiko wa makanisa na mvunjiko wa catholic, vikazaliwa hivyo vijidhehebu vinavyojifanya vinautukufu ilihali vimekopy na kupaste sheria zoote za catholic ikiwepo mafundisho na hata maandiko yenu ya UONGO kutoka ktk BIBLIA.
MUUMBA wa KWELI hana haja ya sadaka na hatowai kuitaka sadaka yako, maana kila kitu ni chake, so how come akudai?
Hata hivyo kwa mujibu wa biblia zenu japo zimechakachuliwa lkn ukwel unabaki kuwa, Maana ya kanisa ni wew mtu mmoja mmoja ama unaitwa hekaru, kwamaana makao ya ROHO MTAKATIFU, hivyo hayo magenge yenu hayana sifa ya kuitwa kanisa, kwakuwa humo ROHO MTAKATIFU hawezi kukaa, na hata hivyo kanisa aliloliacha kristo ilikuwa ni wafuasi wake waliofuata mafundisho yake, na sio madhehebu.
Madhehebu yameibuka juzi tu baada ya uharibifu wa imani yakweli.
Neno sadaka halikutakiwa kuitwa hivyo ktk imani yakweli, labda kama wamaanisha sadaka ktk ushirikina tu,
ktk imani ya kweli kuna MSAADA ambao mtu unautoa kwa hiyari yako tu, napo unautoa kwa watu wahitaji kama vile, wagonjwa, vilema, mayatima, wazee, masikini n.k,
Na kuna sheria kabisa kuwa ukimsaidia mtu kwa uaminifu basi utalipwa kulingana na uaminifu wako haijarishi unaamini uwepo wa Muumba ama, au unashika mafundisho yake, lkn sheria hizi za Kusaidia zina Function bila ubaguzi maana MUUMBA wa kweli hajawai bagua viumbe wake, na sheria zake ni HAKI kwa kila kiumbe.
Hivyo basi utowapo hayo mamichango mnayowapa wachungaji makanisan, juwa kuwa unashiriki ibada za makafara na matambiko ya kishetan kwa kujua ama kutokujua,
Mambo haya hutowai ambiwa na mchungaji yeyote yule, maana yanaharibu biashara zao za kishetani za makanisa.
Mchango kwa wahitaji ni uamuz wa mtu kutoa ama kutotoa, na ukitoa kihalali basi sheria ya GIVE AND RECEIVE itafanya kazi kwako, ndiomaana matajiri wengi wanazidi kutajirika maana wanajua siri ya kutoa kwa masikini vituoni na wagonjwa, na huwezi waona wakiyatolea hayo matapeli yanayojiita wachungaji.
Ukristo na uislam ni imani moja ktk mgawanyo tofauti, haya yote ni makundi yanayofanya kazi ya siri ya kudidimiza maisha ya waafrika, kuwafunga akili na kuwafanya waabudu mashetan badala ya kumuabudu Muumbwa wakweli.
Hama ilo kanisa na achana na mambo ya dini, kazana kuwasaidia masikini FULL STOP.
YEYOTE ATAKAYEFANYIA KAZI MANENO HAYA HAKIKA MATUNDA MAZURI ATAYAONA NA KURUDISHA USHUHUDA HUMU