Wachungaji/Maaskofu/Manabii 10 matajiri sana Tanzania

Wachungaji/Maaskofu/Manabii 10 matajiri sana Tanzania

Hivi hizo nguvu za giza wanazotumia kanisani hao manabii na mitume wa uongo hazina madhara kwao kwa baadae?

Hawawezi kufilisika baada ya kuacha hizo huduma kanisani?
Hizo nguvu za ushirikina wanazotumia..tukikuomba utoe ushahidi utatoa au unaropoka tu.

#MaendeleoHayanaChama
 
Ninaishi jirani na kakobe, hana nyumba yenye thamani ya bil 4, kwa uzoefu wangu haifiki 150M.
Usifanye mchezo na bil 4 kwa nyumba ya kuishi
Hapa hakuna utafiti wowote ni makisio tu yakiongozwa na utashi wa Mleta uzi.
 
1. Josephat mwingira
Utajiri wake unakadiriwa kufikia ts 20 bilions
Anamiliki
Mashamba zaidi ya hekari 20000 huko katavi
Kiwanda cha maji kibaha
Mashule
Na bank
Nyumba yake inakadiriwa kuwa na thamani ya tsh 2.5bilion

2.geo darvie
Anamiliki magari ya kifahari
Nyumba ya thamani ya 1.8 bilion
Anamashamba makubwa na vitalu vya uwindaji arusha utajiri wake unakadiriwa kufika 15bilion

3.askofu Kakobe
Anapesa nyingi alizoziweka kwenye akaunti zake nje ya nchi
Anajumba la kifahari zaidi ya 4bilion anamagari ya kisasa na ardhi ya kutosha tu huko kwao
Anakadiriwa kuwa na utajiriwa 10bilion

4. Dr vernon fernandes
Huyu inakadiriwa kuwa na utajiri
Wa bilion 8 pamoja nakumiliki magari na kampuni yake ya decoda

5. Athony lusekelo
Utajiri wa bilion 6

6.josephat gwajima
Utajiri wa bilion 5.7

7.boniface mwamposya
Utajiriwa bilion 5

8 sylvester gamanywa
Utajiri wa bilion 5

9. Mtume mtalemwa
Bilion 3

10. Mchungaji Mwakasege
Utajiri wa bilioni 2.7

Source gazeti la sanifu
Yaani wewe ni mwongo Josephat gwajima umemuweka mara mbili
 
Wivu tu..wanawazui vipi wakati wanawahubiria habari njema.

#MaendeleoHayanaChama
We popoma mlafi mla sadaka za maskini,wajane,vilema na yatima !!! Hivi unadhani Mungu hawajui ninyi ??

Mnawadanganya waumini sadaka wawape ninyi mbwa badala ya kuwaambia wakawape yatima,masikini, wasafiri wenye shida,wakimbizi na wajane . Mna mikono na miguu ya kufanya kazi na bado kutokana na ulafi wenu mnaendelea kula sadaka na wala sadaka hizo hamuwapelekei wahitaji .Mnajilimbikizia mali ili muwe matajiri na mnawaacha wanyonge wakitangatanga.

Nawashauri ikiwa mtu unataka kubarikiwa na Mungu hapa duniani regardless wewe ni dini gani au hauna dini basi sadaka zako hakikisha unaenda kuwasaidia masikini, mayatima, walioharibikiwa na safari, wagonjwa,wakimbizi, wajane na wahitaji wengine ila usiende kuwapa hao mbwa wanaobweka madhabahuni, wanaojilimbikizia mali,walafi....!!

Ww mtu unamiliki zaidi ya Bilioni na ushee na bado unaendelea kufakamia sadaka za masikini!! Mungu gani anaekubali huo udhalimu?
 
We popoma mlafi mla sadaka za maskini,wajane,vilema na yatima !!! Hivi unadhani Mungu hawajui ninyi ??

Mnawadanganya waumini sadaka wawape ninyi mbwa badala ya kuwaambia wakawape yatima,masikini, wasafiri wenye shida,wakimbizi na wajane . Mna mikono na miguu ya kufanya kazi na bado kutokana na ulafi wenu mnaendelea kula sadaka na wala sadaka hizo hamuwapelekei wahitaji .Mnajilimbikizia mali ili muwe matajiri na mnawaacha wanyonge wakitangatanga.

Nawashauri ikiwa mtu unataka kubarikiwa na Mungu hapa duniani regardless wewe ni dini gani au hauna dini basi sadaka zako hakikisha unaenda kuwasaidia masikini, mayatima, walioharibikiwa na safari, wagonjwa,wakimbizi, wajane na wahitaji wengine ila usiende kuwapa hao mbwa wanaobweka madhabahuni, wanaojilimbikizia mali,walafi....!!

Ww mtu unamiliki zaidi ya Bilioni na ushee na bado unaendelea kufakamia sadaka za masikini!! Mungu gani anaekubali huo udhalimu?
Mwenye akili azingatie ushauri wako huu .
 
Mwenye akili azingatie ushauri wako huu .
Yaani hao waumini wao jinsi walivyotekwa akili!! Yaani mtu anatoka chanika ndani ndani huko gari la kugombania mpk Kawe...ana ki elfu kumi chake mfukoni anaenda kumpelekea mwamposa anaetoka na msafara wa V8 kutoka masak akiwa na imani kuwa sadaka yake akimpa mwamposa ndio atabarikiwa.

Anasahau kuwa hapo alipotoka gmboto kuna vituo kibao vya watoto yatima, kuna wagonjwa wasiojiweza mahospitalini, kuna wajane wasio na kitu n.k ila hawakumbuki hao ila akili yake ni kuwa kila wiki akampe elfu kumi tajiri mwamposa.


Wajinga ndio waliwao.
 
Yaani hao waumini wao jinsi walivyotekwa akili!! Yaani mtu anatoka chanika ndani ndani huko gari la kugombania mpk Kawe...ana ki elfu kumi chake mfukoni anaenda kumpelekea mwamposa anaetoka na msafara wa V8 kutoka masak akiwa na imani kuwa sadaka yake akimpa mwamposa ndio atabarikiwa.

Anasahau kuwa hapo alipotoka gmboto kuna vituo kibao vya watoto yatima, kuna wagonjwa wasiojiweza mahospitalini, kuna wajane wasio na kitu n.k ila hawakumbuki hao ila akili yake ni kuwa kila wiki akampe elfu kumi tajiri mwamposa.


Wajinga ndio waliwao.
Inasikitisha sana , tatizo wenye akili wachache nafurahi kuona watu wanaanza kuzinduka kutoka kwenye ujinga.
 
Inasikitisha sana , tatizo wenye akili wachache nafurahi kuona watu wanaanza kuzinduka kutoka kwenye ujinga.
Kuzinduka ni ngumu sana maana ujinga huu haukuanza leo.
Miaka 1400 iliyopita Quran ilishauzungumzia ujinga huu ajabu mpaka leo bado unaendelea.

Quran 9:34

Enyi mlio amini! Hakika wengi katika makuhani na wamonaki wanakula mali za watu kwa batili na wanazuilia Njia ya Mwenyezi Mungu, Na wana kusanya dhahabu na fedha, wala hawazitumii katika Njia ya Mwenyezi Mungu, wabashirie habari ya adhabu iliyo chungu.

Katika uislamu sadaka inatoka kwa tajiri inaenda kwa masikini, mayatima, wajane, walemavu, wagonjwa, walioharibikiwa na safari, wenye madeni ambayo hawawezi kuyalipa.

Hii sadaka ya kutoka kwa masikini kwenda kwa matajiri hawa wenzetu sijui wameitolea wapi, maana hata Yesu alimwambia yule mfarisayo auze mali zake zote awape masikini kisha ndio amfate.
Hata Yesu mwenyewe alikua anajitenga mbali sana na kupokea mali za sadaka.
 
We popoma mlafi mla sadaka za maskini,wajane,vilema na yatima !!! Hivi unadhani Mungu hawajui ninyi ??

Mnawadanganya waumini sadaka wawape ninyi mbwa badala ya kuwaambia wakawape yatima,masikini, wasafiri wenye shida,wakimbizi na wajane . Mna mikono na miguu ya kufanya kazi na bado kutokana na ulafi wenu mnaendelea kula sadaka na wala sadaka hizo hamuwapelekei wahitaji .Mnajilimbikizia mali ili muwe matajiri na mnawaacha wanyonge wakitangatanga.

Nawashauri ikiwa mtu unataka kubarikiwa na Mungu hapa duniani regardless wewe ni dini gani au hauna dini basi sadaka zako hakikisha unaenda kuwasaidia masikini, mayatima, walioharibikiwa na safari, wagonjwa,wakimbizi, wajane na wahitaji wengine ila usiende kuwapa hao mbwa wanaobweka madhabahuni, wanaojilimbikizia mali,walafi....!!

Ww mtu unamiliki zaidi ya Bilioni na ushee na bado unaendelea kufakamia sadaka za masikini!! Mungu gani anaekubali huo udhalimu?
Wewe kondoo zako nyasi..mchungaji anakula kondo kamwe hali nyasi..huo wivu tu..sadaka ni agizo la Mungu..la kutoa zaka na sadaka ili huduma ya injili ienee duniani kote..iwafikie hata wenye mapepo kama wewe upate kuponywa na kuokolewa kutoka kwenye mikono ya shetani.

Njoo uje upate maombezi ufunguliwe.

#MaendeleoHayanaChama
 
Yaani hao waumini wao jinsi walivyotekwa akili!! Yaani mtu anatoka chanika ndani ndani huko gari la kugombania mpk Kawe...ana ki elfu kumi chake mfukoni anaenda kumpelekea mwamposa anaetoka na msafara wa V8 kutoka masak akiwa na imani kuwa sadaka yake akimpa mwamposa ndio atabarikiwa.

Anasahau kuwa hapo alipotoka gmboto kuna vituo kibao vya watoto yatima, kuna wagonjwa wasiojiweza mahospitalini, kuna wajane wasio na kitu n.k ila hawakumbuki hao ila akili yake ni kuwa kila wiki akampe elfu kumi tajiri mwamposa.


Wajinga ndio waliwao.
Sadaka ni imani..mtu anapotoa sadaka kanisani lengo ni imani na injili isonge mbele..bila hela huwezi sambaza injili ya bwana wetu Yesu kristo.

Kwahiyo acheni wivu..kama mnataka hela na ninyi anzisheni makanisa yenu kuna mtu kawakataza...absurd.

#MaendeleoHayanaChama
 
Huyo namba mbili alimuuliza mtoto wake unataka kufanya nn akachagua kuwa director sasa hivi hata sijui yuko wapi.
 
Back
Top Bottom