Wachungaji/Maaskofu/Manabii 10 matajiri sana Tanzania

Wachungaji/Maaskofu/Manabii 10 matajiri sana Tanzania

N
hahahahaha hizo ni taasisi za ukwepaji Kodi mkuu,

Anyway mkuu hiyo Avatar Yako ya Marvin Gaye nimeikubali na wewe ni shabiki kindaki ndaki wa nyimbo zake kama Mimi?

Inner city blues
What going on
Sexual healing
Let's get it on
Little darling
NK nazikubali Sana na Kila siku lazima niplay Kwa Saabufa mojawapo!
😁😁😁😁🔥🔥
Naamini hamjaulewa huo sexual healing,
 
Nabii Shillar anamiliki
Maduka ya nguo, Shamba la nguruwe, migodi ya dhahabu
 
Ninaishi jirani na kakobe, hana nyumba yenye thamani ya bil 4, kwa uzoefu wangu haifiki 150M.
Usifanye mchezo na bil 4 kwa nyumba ya kuishi
Halafu sehemu yenyewe bongo.
Hata ulaya za B ni pamoja na thamani ya kiwanja.
Bongo Hakuna nyumba ya kuishi ya b.
 
1. Josephat mwingira
Utajiri wake unakadiriwa kufikia ts 20 bilions
Anamiliki
Mashamba zaidi ya hekari 20000 huko katavi
Kiwanda cha maji kibaha
Mashule
Na bank
Nyumba yake inakadiriwa kuwa na thamani ya tsh 2.5bilion

2.geo darvie
Anamiliki magari ya kifahari
Nyumba ya thamani ya 1.8 bilion
Anamashamba makubwa na vitalu vya uwindaji arusha utajiri wake unakadiriwa kufika 15bilion

3.askofu Kakobe
Anapesa nyingi alizoziweka kwenye akaunti zake nje ya nchi
Anajumba la kifahari zaidi ya 4bilion anamagari ya kisasa na ardhi ya kutosha tu huko kwao
Anakadiriwa kuwa na utajiriwa 10bilion

4. Dr vernon fernandes
Huyu inakadiriwa kuwa na utajiri
Wa bilion 8 pamoja nakumiliki magari na kampuni yake ya decoda

5. Athony lusekelo
Utajiri wa bilion 6

6.josephat gwajima
Utajiri wa bilion 5.7

7.boniface mwamposya
Utajiriwa bilion 5

8 sylvester gamanywa
Utajiri wa bilion 5

9. Mtume mtalemwa
Bilion 3

10. Mchungaji Mwakasege
Utajiri wa bilioni 2.7

Source gazeti la sanifu

Nataka niwambie habari ya Yesu Kristo watu wa Mungu[emoji1787][emoji1787]
 
Mchungaji wangu Dr. Kipilimba hayupo kwenye list au kuna figisu figisu zimefanyika?
 
Hapa nimegundua tajiri namba moja ni mwakasege kwasababu yeye ni mwalimu anawafundisha umati wa watu uchumi halafu wanarudi makanisani kwao . yeye hajamiliki kanisa kwahiyo hajikusanyii sadaka za watu. Hawa wengine wote ni chumba ulete makanisa na sadaka zote ni Mali yao ndio maana wafuasi wao wengi wansfilisika kwa kuuza Mali zao na kuwwapelekea wao
Kama hajikusanyii sadaka, na vile VIFUKO vinavyotembezwa na watumishi wake kwenye SEMINA anazofanya huwa zinawekwa nini?
 
Back
Top Bottom