Wachungaji/Maaskofu/Manabii 10 matajiri sana Tanzania

N
Naamini hamjaulewa huo sexual healing,
 
Nabii Shillar anamiliki
Maduka ya nguo, Shamba la nguruwe, migodi ya dhahabu
 
Ninaishi jirani na kakobe, hana nyumba yenye thamani ya bil 4, kwa uzoefu wangu haifiki 150M.
Usifanye mchezo na bil 4 kwa nyumba ya kuishi
Halafu sehemu yenyewe bongo.
Hata ulaya za B ni pamoja na thamani ya kiwanja.
Bongo Hakuna nyumba ya kuishi ya b.
 

Nataka niwambie habari ya Yesu Kristo watu wa Mungu[emoji1787][emoji1787]
 
Mchungaji wangu Dr. Kipilimba hayupo kwenye list au kuna figisu figisu zimefanyika?
 
Kama hajikusanyii sadaka, na vile VIFUKO vinavyotembezwa na watumishi wake kwenye SEMINA anazofanya huwa zinawekwa nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…