Jasmoni Tegga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2020
- 12,624
- 24,751
Umeambiwa wewe kama hutaki kubarikiwa endelea kuwa mchoyo kwa Mungu, sisi wenzio tunatoa kama kawaida na tunabarikiwa sana tu.Watu wameanza kuwastukia !
Mtaanza kukusanya sadaka kwa nguvu kubwa sana maana ni kama vile mlikuwa mnakula na vipofu sasa mkajisahau mkawashika mikono!
Kumbe shida yako ni sadaka kuwa nyingi!??? Yaani unamwonea husda hata Mola!??? Ulitaka apate elfu 10 tu, siyo!???Kimsingi inapaswa watu wakishatoa zile sadaka zao za kawaida za ibada kwa kila kila Jumapili makusanyo yanayopatikana yaendeshe shughuli za kanisa mbalimbali.
Lakini chakushangaza uwazi wa hizo sadaka hautolewi, halafu mbali na hizo sadaka bado michango chungu nzima hadi kuchosha!
Na kwa kule kutokuwa na uwazi ndiyo wengi huchukulia huenda ni nyingi sana Ndiyo maana hazitangazwi ili zisijestua watu.
Umeambiwa wewe kama hutaki kubarikiwa endelea kuwa mchoyo kwa Mungu, sisi wenzio tunatoa kama kawaida na tunabarikiwa sana tu.
Nilishafunga ndoa na sadaka nilitoa. Nimekwambia sina tatizo na kutoa sadaka ambayo nimeiandaa mwenyeweSiku ya ndoa yako utaenda tu kwa mtumishi, sadaka utatoa tena kwa hiari.
Kumbe shida yako ni sadaka kuwa nyingi!??? Yaani unamwonea husda hata Mola!??? Ulitaka apate elfu 10 tu, siyo!???
Kati ya Mwamposa na Mtume Paulo, aliyefanya kazi kubwa ya kitume ni nani? tuanzie hapo kwanza.Hivi mfano Mwamposa akienda shamba kulima au afungue.genge atauza saangapi na ibada ataifanya saangapi,,!
Kanisani natoa sadaka tu. Misaada mingine napeleka kwa wajane, wagonjwa, watoto na wengine wenye mahitaji.Mimi natoa na nitaendelea kwa kadiri ya neema za Mungu zinavyozidi kuachiliwa kwangu sababu faida ya kumtolea Mungu nimeiona katika uhalisia wa maisha!
Imeandikwa : kheri kutoa kuliko kupokea!
Kheri = Baraka
Yani kuna Baraka (neema ya uwezesho wa kufanikiwa kiroho na kimwili) kwenye aspects mbalimbali.
Lakini bado hao mabwana kuna mahali wanatakiwa wajirekebishe.
Wanajifanya hawajui ule mstari wa Matendo ya Mitume 20 35 = "heri kutoa kuliko kupokea" 🙏✝️Mchungaji anasema toa upate baraka, utanyeshewa baraka za kukuinua, hutakua mtu wa magengeni tena, hutakua mtu wa kununua mitumba tena utanunua nguo kwenye ma shoping mall na mahitaji yako yatatoka supermarket.
Hizi hela tulizonazo tungeamua kuwa watu wa manunuzi ya supermarket na shopping malls tusingebaki na hela ya kuwapa nyinyi. Vitu nya magengeni ni fresh zaidi kuliko vya supermarket.
Muwe mnafikiria kabla ya kutoa kakuli zenu. Wenye magenge pia wana familia za kulisha na watoto wa kusomesha.
Huyo muhasibu ni mwaminifu. Mwingine angepata fursa ya kujichotea pesa kiulaini maana zinatoka tu bila record yoyote .Kuna Mchungaji fulani alimuweka mhasibu , akamwambia Naomba nisaidie maswala ya kihasibu Hapa kanisani .
Sasa yule Mhasibu ni Mweledi.
Basi Mchungaji kila akitaka hela anakwambia Mhasibu nataka kiasi fulani cha fedha, Mhasibu anamwambia sawa lakini naomba niandikie kwenye karatasi au form ili niweze kutunza kumbukumbu kwa usahihi.
Yule Mchungaji akawa hataki jambo hilo hatimae akamuondosha pale kanisani.
Anamwambia kanisa nilianzishe mwenyewe, halafu nikitaka hela unipangie utaratibu? Akamtoa kabisa.
Hivyo ndivyo mambo yanavyofanyika!
Taarifa za nini unataka kuhakiki nini?Kwani hiyo biashara udai Kodi. Kutoa Mapepo ndiyo taarifa muhimu kuliko zote katika Imani maana Mapepo ndiyo yanyoharibu dira y amwandamuKwa hiyo wewe umeona kutoa mapepo ndiyo ishu?
Hujajibu hoja ya msingi!
Utolewaji wa taarifa umuhimu wake ni zaidi ya unavyoweza kufikiri juu ya hilo swala lako la faida.
Watu wameanza kuwastukia [emoji108][emoji108]
Wenye magenge pia wana familia za kulisha na watoto wa kusomesha.
Mungu gani huyo unamuamini ambaye hatendi miujiza ?.Mungu tunayefundishwa siku zote amekuwa akitenda miujiza hata Kama siyo kwako basi kwa jirani yako Sasa unahudguria toka January Hadi desemba hakuna jipya Sasa hapo inakwenda kufanya nini maana pamezidiwa Hadi na waganga wa kienyeji. Nakufundidha kila mahali pakuabudia panataka sadaka ili kuendesha maisha ya watumishi na kutanua huduma .Nakukumbusha kuwa matangazo ya TV nayo ni pesa ndiyo maana umewajua hao Wachungaji Sasa wewe unaangalia migogoro ya kanisa Jana kwamba Kuna makanisa na misikiti haina migogoro nakujulisha kuwa kila sehemu ya kufanyiwa ibada migogoro ya kimaslai pia ipo ndiyo maana Kuna mpaka walinzi kwenye mageti.Nakukumbusha migogoro kwenye Nyumba za Ibada hatakuja kukoma maana wenye uchu wa madaraka kwa sehemu ambazo hawana sifa wapo wengi Sana ikiwemo wewe.Nakukumbusha kuwa kila kwenye Mungu Kuna miujiza Kama kanisa lako unalosali hakuna miujiza hama maana siyo maeneo yaliyobarikiwa.
Taarifa za nini unataka kuhakiki nini?Kwani hiyo biashara udai Kodi. Kutoa Mapepo ndiyo taarifa muhimu kuliko zote katika Imani maana Mapepo ndiyo yanyoharibu dira y amwandamu
Imani na ulimwengu wa roho Ni mpevu zaidi kuliko upeo wako wa kufikiri. Kanisani kwenyewe unatoa jero au Mia halafu unapiga kelele.Wewe hata hujiulizi ulipata wapi Akili ya kutafuta pesa Ila unajiuliza kwanini unatoa sadakaMi ndiyo wamenichoshaaa sitaki hata kuwasikia, wana mbinu nyingi za kupata hela.
Wanauza magazeti kanisani
Vitabu
Maji wanakwambia ya upako ila ukienda na yakwako wanakwambia hayata pata upako kwasavabu wabaya wameyaona toka unatoka nayo nyumbani, kwahiyo ni vyema ununue ya kwao
Wanauza mafutaa yani wanabiasharaa murua sana tusipo amkaaa tutazidi Kuwa masikini...
Alafu wanaoshikwa sana ni wanawake, akina mama wenzangu mnakwama wapi??
Yesu alivyokuwa anaponya vilema na vipofu aliwadai sadaka au aliwauzia mafuta
Makanisa mengi sasa hivi ni viwanda vya biashara machache mnoo, ndiyo yapo kwaajili ya ibada
Taarifa za nini unataka kuhakiki nini?Kwani hiyo biashara udai Kodi. Kutoa Mapepo ndiyo taarifa muhimu kuliko zote katika Imani maana Mapepo ndiyo yanyoharibu dira y amwandamu
1. Almost all people, Waislamu included, wanaamini fika kwamba alikuwepo hapa duniani Nabii historically kwa jina la Yesu bin Mariam Mnazareti. That in itself should send mind-opening shock waves kwa mtu yeyote anayefikiria kwa umakini. Just in itself hii evidence of testimony inatosha kuleta valid conviction.
2. Kisa cha mayai! Please, explain to me nini kiliyaprotect lisivunjike even one, given gari lote lilikuwa nyang'nyang'a, trei la mayai limeshift position yake ya awali very significantly. Take time to think through it, don't just crush over. Kuhusu Tsunami, na matukio mengine mengi tu ambayo ni superhuman, those are additional evidences in support of the fact that God exists and He is in control.
3. Your definition of ^imani,^ I am afraid, is very rudimentary & superficial. Faith is clearly based on evidence. We don't simply believe in nothing; we believe in substance. Jesus told incredulous Thomas: ^Touch and feel My body!^
4. God is never interested in blind faith, but rather active, reasonable faith. He wants us to come close to Him and reason together with Him. A classic example for this is when He confronted Adam in the Garden. They kept talking and exchanged views; and it did not happen just once or twice or three times. It was regular & habitual.
5. God wants us to investigate the evidences for our beliefs, otherwise it would have been literally unthinkable and even pointless for Him to deliver the Scriptures to us. If you read the Scriptures with open-mindedness & under His divine guidance, you cannot but affirm how much He has sufficiently answered all life's troubling questions and mysteries.
Dah! Kumbe ww tayari hongera sana. Msalimie shem jmn heshima kwakoooNilishafunga ndoa na sadaka nilitoa. Nimekwambia sina tatizo na kutoa sadaka ambayo nimeiandaa mwenyewe
Sadaka inaendelea hata kama hakuna mahitaji ya moja kwa moja. Matumizi yake ni endeleeni/endelevu. Halafu unataka uwazi gani kutoka kwangu mm tangu lini nimeshika dollars zako Mr Akilinjema!??? ^Tuulizeni maswali yenye busara, tafadhali jmn^~Prof. JIkiwa nyingi maana yake achukue bank afanye atumie kwa haja iliyopo , kwanini tena unawachangisha watu kutoka mifukoni au mikobani mwao?
Kungekuwa na uwazi watu wakijiridhisha kweli bank hela imetumika ipasavyo wangekuwa wanatoa kiroho safi tu.
Kwanini mnaficha taarifa za fedha?
Sadaka inaendelea hata kama hakuna mahitaji ya moja kwa moja. Matumizi yake ni endeleeni/endelevu. Halafu unataka uwazi gani kutoka kwangu mm tangu lini nimeshika dollars zako Mr Akilinjema!??? ^Tuulizeni maswali yenye busara, tafadhali jmn^~Prof. J