Wachungaji mnaosema tukiwapa sadaka tutabarikiwa kuwa wateja wa kwenye ma Mall, mnajiona mko sawa?

Wachungaji mnaosema tukiwapa sadaka tutabarikiwa kuwa wateja wa kwenye ma Mall, mnajiona mko sawa?

1. Hakuna kitu chenye utata kuhusu Mungu

2. Uwepo wa dini mbalimbali is never counter-argument dhidi ya existence ya Mungu, bali ni proof of His existence

3. Mungu hayuko kimya. As a matter of fact, He communicate with us every moment, variously.

4. If you want to know, you will know.

5. Kisa hicho kilichoelezewa ni very unique and has not human explanation, unless kama hujawahi kukisikia.
Hakuna ambaye Hajakubali uwepo wa Mungu , tatizo linakuja kila mtu anafikri msimamo wake ni sahihi eg wasabato na madhebu mengine ya kikristo, Wakatoliki na mashahidi wa Jehova , Islam na ukristo etc , katika utofaut huo why Mungu haweki mambo clear ?? At the same time anasema yeye ni mmoja na Imani moja lakn hali ilivyo totaly different Imani tofauti tofaut .... Nataka kujua ndo mana nauliza , kisa cha mayai kutoharibika bado ni 50/50 inaweza kuwa totally God's intervention or not , kipind Yesu yupo duniani kuna watu waliangukiwa na ukuta watu wakafikr ni adhabu ya Mungu lakn Yesu akaweka mambo Sawa kuwa is just normal circumstances na yeyte Yule laweza mpata madam tupo Duniani , mabaya yanapowatokea watu tusiwe wepesi wa kuhukumu et Kwa sababu ya maovu Yao ndo yamewapata , hata wewe waweza kuwa unakesha unaomba na bado Kesho ukatoka nje ukapigwa na radi , tuseme ni adhabu ya Mungu??
Sometyme nashawishika Kuwa 75% dini ya mfumo wa madhehebu ni miradi ya watu lakn Mungu anatenda kazi kwenye mioyo ya watu ila mifumo ya kidini na taratibu zake ni usanii mtupu still npo kwenye research
 
Yule masikini aliyetoa centi mbili Yesu alisema alitoa kuliko wote. Unatoa ulicho nacho na kiheshimiwe. Usiheshimu waliotoa vikubwa.
Sasa mbona unawakataza mamantile na wauza-magenge kama unalijua hilo!???
 
Hakuna ambaye Hajakubali uwepo wa Mungu , tatizo linakuja kila mtu anafikri msimamo wake ni sahihi eg wasabato na madhebu mengine ya kikristo, Wakatoliki na mashahidi wa Jehova , Islam na ukristo etc , katika utofaut huo why Mungu haweki mambo clear ?? At the same time anasema yeye ni mmoja na Imani moja lakn hali ilivyo totaly different Imani tofauti tofaut .... Nataka kujua ndo mana nauliza , kisa cha mayai kutoharibika bado ni 50/50 inaweza kuwa totally God's intervention or not , kipind Yesu yupo duniani kuna watu waliangukiwa na ukuta watu wakafikr ni adhabu ya Mungu lakn Yesu akaweka mambo Sawa kuwa is just normal circumstances na yeyte Yule laweza mpata madam tupo Duniani , mabaya yanapowatokea watu tusiwe wepesi wa kuhukumu et Kwa sababu ya maovu Yao ndo yamewapata , hata wewe waweza kuwa unakesha unaomba na bado Kesho ukatoka nje ukapigwa na radi , tuseme ni adhabu ya Mungu??
Sometyme nashawishika Kuwa 75% dini ya mfumo wa madhehebu ni miradi ya watu lakn Mungu anatenda kazi kwenye mioyo ya watu ila mifumo ya kidini na taratibu zake ni usanii mtupu still npo kwenye research
Hiyo research hata hujaanza, tayari ushatoka na conclusion!??? Kupingana kwa dini ama imani hakuondoi ukweli. Ukweli uko palepale. Soma vitabu mbalimbali vya kidini, linganisha mambo, chunguza, utapata jibu mwenyewe ukitaka Mungu akujulishe. Usiwaangalie wanadamu sana kiasi ambacho unaweza kupoteza mtazamo mzuri wa Mungu. Focus kwa Mungu na wala hutajuta.
 
Mkuu Mimi sipingi kabisa utaratibu wa kutoa sadaka maana najua Ni mfumo ambao umebeba lugha ambayo Mungu pekee anaweza kuielewa lakini kile tunachohubiriwa kwamba tutoe ili tubarikiwe huwa naona si Sahihi baraka za Mungu kwetu hazitokani na sadaka tunazotoa

Ayubu 41:11 inaonyesha na kuonya juu ya mfumo wa kutoa kwa kutegemea kupokea kingi kuwa si mfumo wa Mungu Ni biashara ambayo mtu afanyaye hivyo hajui kuwa Kila alichonacho kinatoka kwa Mungu.
Ukitoa unabarikiwa tuuu
 
Kwani Masheikh wanaishije? tusijustify wizi...sadaka atoe mtu kama anacho tu...siyo kulaghai waumini...na kuwatisha kwa vifungu vya bible,huu ni utapeli.
Usimlinganishe nchi na shehek
 
Tatizo ni kutumia sadaka kutoka kwa watu masikini kwenye mambo ya kifahari kama kumiliki magari mengi ya kifahari , na aina mbalimbali za anasa wakati angeweza kuwa na gari moja au mawili na likatosha ktk kazi zake za uchungangaji. Hela nyingine zingetumika kusaidia jamii kama kufungua hospitals, vituo Vya kulelea yatima nk.
Mpendwa kwenye msafara wa mamba na kenge wamo, sababu ya hao wachache haiwezi haribu kila kitu , hata kipindi cha YESU mbeba mkoba wa pesa au KIJUMBE jina la huku bongo alikuwa mwizi,. lakini YESU hakumfukuza
 
Kwahiyo Shida zao ndio Mwingira(Mla wake za watu) ,Gwajima(Mcheza pono),Lusekelo (Mlevi wa Konyagi) ,Mwamposa(Tapeli ) ndio watazitatua?
Mungu ndiye anazitatua , hayo ya kwao mie simo kama wanakula wake za watu niwao, YESU alisema kila pando asilolipanda litang'olewa, halafu uzuri hawakufusti nyumbani, watu wanawafuata wenyewe!
 
Unajua maana ya sadaka? Yaani nitoe sadaka nimpe gwajima akanunue Hummer na helicopter? Nitoe sadaka nimpe lusekelo akanunua VX V8?
Ndiyo maana nasema kwasababu hawalazimishi wewe kaaa nyumbani na familia yako basi maana hakuna aliyemuoma Mungu au ukampelekea Mungu akazipokea mwenyewe, {IMANI no nini?}
 
Halafu hili fungu la kumi kwa nini linasisitizwa sana wakati ilikuwa nadhiri ya Yakobo na Mungu wake? Halafu ukifuatilia nyaraka za Mtume Paulo utagundua alikuwa anafanya kazi ili asiwaelemee waumini wake.
Hivi mfano Mwamposa akienda shamba kulima au afungue.genge atauza saangapi na ibada ataifanya saangapi,,!
 
Ndiyo maana nasema kwasababu hawalazimishi wewe kaaa nyumbani na familia yako basi maana hakuna aliyemuoma Mungu au ukampelekea Mungu akazipokea mwenyewe, {IMANI no nini?}

Sadaka ni kusaidia Masikini(wasiojiweza) , Wajane ,Yatima etc na sio kumpa Gwajima akanunue Hummer au Lusekelo akalewee!!
 
Hizi zote ni general statements zenye msingi wake katika imani...lakini sio facts.

1. Huwez kuniambia kuwa wakrsto wanaoamni yesu ni mungu na waislam wanaoaminj yesu ni nabii tu....kwamba katika mazingira haya mungu hakuwa na wajibu wa kuweka sawa position yake.


2. Kisa cha mayai hakika upekee wowote. Sunami ilipopiga thiland mwaka wa 2003/4 ulivunja majengo mengi....lakin kuna misikiti ilibakia salama....je hapa mungu aliingilka kati au lah....na kama ndio...ni mungu yupi....mungu yesu au mungu baba au mungu ng'ombe wa wahindu......by the way kwann mungu aliumba dunia ikiwa na visanga vya kiasili kama sunami?


3. Iman ni kuamini mambo bila ushahidi halisi au dhidi ya ushahidi halisi....kwahyo basi kila mtu anayo haki ya kuamini atakavyo...ili mradi asilazimishe hyo iman kwamba ni facts. No way.!


4. Uwepo au kutokuwapo kwa Mungu ni swala pana.....lakin wengi wanaogopa sana kulijadili kwa sababu tayari wanahofu ya kukufuru. But you know what.....mungu anawajibu wa kuweka mambo sawa....very clear.....sio kwa kutegemea wanathiolojia au wanafalsafa wafafanue mambo yake.
1. Hakuna kitu chenye utata kuhusu Mungu

2. Uwepo wa dini mbalimbali is never a counter-argument dhidi ya existence ya Mungu, bali ni proof of His very existence

3. Mungu hayuko kimya. As a matter of fact, He communicates with us every moment, variously.

4. If you want to know, you will know.

5. Kisa hicho kilichoelezewa ni very unique and has no human explanation, unless kama hujawahi kukisikia.
 
Hao wachungaji wengi ni wapigaji, ebu chukulia watu kama Kina Gwajima wanacheza hadi porno, angalia mwingira anazaa hadi na wake za watu, angalia Lusekelo anapiga hadi NYAGI na kutukana majirani, Mwamposa anawauzia watu maji kwa bei ya juu yaani ulanguzi na wizi, sasa wachungaji matapeli kama hao ndio wataongea mambo ya maana?
Ila ukiambiwa na mganga apake uume wake dawa halafu akuingizie na utoe laki tano ndiyo unaamini Ila ukiambiwa na Mchungaji toa sadaka ili kanisa nitanue huduma na utabarikiwa unapiga mayoe. Enyi kizazi kisicho na Imani na kilichopotoka kwanini huwazi kwa upana.
 
Ajabu sana! Wakiwa na afya wanajisahaulisha kwamba Mungu hayupo, zikianza kuvuma tufani wanakimbilia madhabahuni! Sisi binadamu ni viumbe vya ajabu sana kuwahi kutokea katika Sayari hii. Mungu atusamehe tu kwakweli.
Ukweli mchungu ,binaadamu jeuri akiwa mzima .Siku moja haikai mbili haikai anaenda kuponea kwa kina Mwamposa .Nani apendi kuishi ,maisha nmeya judge Sana .Lakini Kuna usemi "you never know".kila mtu aangalie panapo mfaa
 
Ila ukiambiwa na mganga apake uume wake dawa halafu akuingizie na utoe laki tano ndiyo unaamini Ila ukiambiwa na Mchungaji toa sadaka ili kanisa nitanue huduma na utabarikiwa unapiga mayoe. Enyi kizazi kisicho na Imani na kilichopotoka kwanini huwazi kwa upana.

Mimi siamini ushirikina wala manabii wako feki ,mimi naamini Mungu wa yakobo,Mungu wa Isaka,Mungu wa Muumba mbingu na ardhi....Dini ya ukweli ni kusaidia yatima,wajane na wasiojiweza.

Tangu umchangie Gwajima au Mwamposa au Mwingira ametanua huduma gani? Maeneo yote anayonunua ni yake na si ya kanisa ,ukitaka kuamini angalia Kakobe mgogoro wake na wachungaji wenzake kuhusu FGBF.
 
Bora sadaka tuwape watoto yatima,tukiwapelekea sabuni,sukari,madaftari,kalamu n.k baraka unaziona waziwazi
 
Mimi siamini ushirikina wala manabii wako feki ,mimi naamini Mungu wa yakobo,Mungu wa Isaka,Mungu wa Muumba mbingu na ardhi....Dini ya ukweli ni kusaidia yatima,wajane na wasiojiweza.

Tangu umchangie Gwajima au Mwamposa au Mwingira ametanua huduma gani? Maeneo yote anayonunua ni yake na si ya kanisa ,ukitaka kuamini angalia Kakobe mgogoro wake na wachungaji wenzake kuhusu FGBF.
Mungu gani huyo unamuamini ambaye hatendi miujiza ?.Mungu tunayefundishwa siku zote amekuwa akitenda miujiza hata Kama siyo kwako basi kwa jirani yako Sasa unahudguria toka January Hadi desemba hakuna jipya Sasa hapo inakwenda kufanya nini maana pamezidiwa Hadi na waganga wa kienyeji. Nakufundidha kila mahali pakuabudia panataka sadaka ili kuendesha maisha ya watumishi na kutanua huduma .Nakukumbusha kuwa matangazo ya TV nayo ni pesa ndiyo maana umewajua hao Wachungaji Sasa wewe unaangalia migogoro ya kanisa Jana kwamba Kuna makanisa na misikiti haina migogoro nakujulisha kuwa kila sehemu ya kufanyiwa ibada migogoro ya kimaslai pia ipo ndiyo maana Kuna mpaka walinzi kwenye mageti.Nakukumbusha migogoro kwenye Nyumba za Ibada hatakuja kukoma maana wenye uchu wa madaraka kwa sehemu ambazo hawana sifa wapo wengi Sana ikiwemo wewe.Nakukumbusha kuwa kila kwenye Mungu Kuna miujiza Kama kanisa lako unalosali hakuna miujiza hama maana siyo maeneo yaliyobarikiwa.
 
Account za Banks za hayo makanisa zina majina gani?

Je zinafunguliwa kama akaunti za taasisi Yani kanisa au kwa majina binafsi ya wachungaji waanzilishi wa hayo makanisa na wake zao na watoto wao?

Ukweli ni upi?

Je wahasibu wa hayo makanisa wanachaguliwa na waumini wa kanisa au wanawekwa na mchungaji mwanzilishi ?

Je Mhasibu anapoondolewa huwa anaondolewa na nani na baraza la uongozi la kanisa au anatimuliwa na mchungaji mwanzilishi?

Je taarifa za sadaka huwa zinatolewa kwa waamini wote wa kanisa?

Je huwa kunafungwa hesabu za kanisa ?
 
Back
Top Bottom