Gwappo Mwakatobe
JF-Expert Member
- Nov 22, 2019
- 1,730
- 2,230
Sadaka hutolewa kwa wenye uhitaji wakiwemo waumini wa kawaida na maskini. Inawezekana kabisa mchungaji naye akawa na miradi ya kumsaidia na kuwasaidia waumini wake.
Pamoja na haki ya mchungaji kupata chochote toka kwa waumini, lakini ni vema asiwalemee. Ajipatie mapato yake, aanzishe miradi ya kumpatia chakula na fedha.
Mtume Paulo hakutaka kuwanyonya waumini, hakula chakula cha bure kwa yeyote, alitafuta mapato yake ikiwemo kushona mahema na kuwasaidia wengine. Hiyo inapendeza! 2 Wathesalonike 3:7-9
Pamoja na haki ya mchungaji kupata chochote toka kwa waumini, lakini ni vema asiwalemee. Ajipatie mapato yake, aanzishe miradi ya kumpatia chakula na fedha.
Mtume Paulo hakutaka kuwanyonya waumini, hakula chakula cha bure kwa yeyote, alitafuta mapato yake ikiwemo kushona mahema na kuwasaidia wengine. Hiyo inapendeza! 2 Wathesalonike 3:7-9