Wachungaji mnaosema tukiwapa sadaka tutabarikiwa kuwa wateja wa kwenye ma Mall, mnajiona mko sawa?

Wachungaji mnaosema tukiwapa sadaka tutabarikiwa kuwa wateja wa kwenye ma Mall, mnajiona mko sawa?

It’s easy to be judgmental when you think you’re perfect or better than someone else. It’s impossible to look down on others when you remember where God brought you from.

Many of us walked away from God at some point. Many of us decided to do our own thing instead of obeying His word at some point. We can’t write someone off when they make a mistake because Jesus never did that to us.

Let’s learn to extend the same grace to others that God has extended to us.

“Some of you were once like that. But you were cleansed; you were made holy; you were made right with God by calling on the name of the Lord Jesus Christ and by the Spirit of our God.” 1 Corinthians 6:11
2021 ni Mwaka wa upako hallelujah!?!!

Umenisurprise,I'm so excited to see this spiritual msg from you
 
Kuna siku tulikua kanisani, unajua mahibiri ya walokole ni mpaka mchungaji achoke kuongea. Imefika saa saba mahubiri yanaendelea na mke wa mchungaji anakunywa Coca-Cola kupoza koo.
nyinyi inauma njaa mwenzenu anakanda koo
 
Silijui kanisa kutoka nilipopata kipa imara, lakini Mungu kaniinua sana,ili kufanikiwa si lazima utoe sadaka kwa matapeli au makanisani,sadaka haimuinui mtu,sadaka kazi yake ni kusaidia kutoa huduma za kanisa kama vile kulipa mishahara,kulipia anakara mbalimbali lakini hawa akina Fekero huzifanya sadaka za wajinga ndio mtaji wao wa maisha ya kifahari na wapambe wao, na si akina Mwingira tu bali hawa matapeli wamejaa duniani kote,wanatumia ujinga au shida za waumini kujitajirisha,dini ishakuwa biashara,wakati mwingine naona wenzetu Waislamu angalau wanamuogopa Mungu kuliko sisi Wakristo ambao kila kukichwa huwadanganya binadamu kwa kumtumia Mungu.Ni sisi wakristu ambao sasa tumeanza hata kuhalalisha ndo za jinsia moja,si ajabu Waislamu wanatuita makafiri kutokana na tabia zetu za hovyo.
Fact
 
Nafuu angetumia kale kawimbo "toa ndugu * 2 ulicho nacho bwana anakuona mpaka rohoni mwako " .watu wakitafakari bakuli linajaa. Kawimbo kananiacha hoi sana! Ila pamoja na bwana kuniona rohoni anatakiwa anipe mimi, yeye pesa ni zake hahitaji!
 
Kama ni msomaji mzuri wa Biblia utaona kwamba Walawi walikuwa hawafanyi kazi nyingine yeyote ile isipokuwa ya kumtumikia Mungu madhabahuni na walikuwa na sehemu yao maalum ya sadaka kwakuwa walikuwa hawazalishi.

Hivyo si ajabu kwa Mchungaji sasa kukumbushia haki yake ya Kibiblia kwani kazi yake ni madhabahuni pa Bwana.

Sasa unataka Mchungaji akafungue hoteli kubwa halafu muanze kusema kuwa anazungusha sadaka??

Acheni ukaidi toeni mbarikiwe.

Naam kama unauza genge toa Mungu atakubariki utafungua supermarket.
watu inabidi waelekezwe kuwa hawatoi sadaka ili wabarikiwe, maana wakiwa na mtazamo huo itakuwa kama michezo ya betting, lakini wafundishwe kutoa kwa moyo wa kupenda na katika kutoa huko Mungu atawabariki,, lakini wakienda na mtazamo kuwa tunatoa ili tubarikiwe wasipoona baraka hata imani yao itakuwa mashakani juu ya Mungu
 
Mchungaji anasema toa upate baraka, utanyeshewa baraka za kukuinua, hutakua mtu wa magengeni tena, hutakua mtu wa kununua mitumba tena utanunua nguo kwenye ma shoping mall na mahitaji yako yatatoka supermarket.

Hizi hela tulizonazo tungeamua kuwa watu wa manunuzi ya supermarket na shopping malls tusingebaki na hela ya kuwapa nyinyi. Vitu nya magengeni ni fresh zaidi kuliko vya supermarket.

Muwe mnafikiria kabla ya kutoa kakuli zenu. Wenye magenge pia wana familia za kulisha na watoto wa kusomesha.
Kwanza unasalije kwenye kanisa mtu anaongea ujinga huo..yaan mi na elimu yangu mtu aanze nihubiria ujinga..ntatoka nje kwa speed ya ajabu...nakumbuka miaka kadhaa demu wangu alinipeleka kanisa moja linaitwa ECG..makongo kule..kanisa la washua..mademu wa mjin kama wote..parking imeshehen mandinga ya hatar..yule mchungaj akawa anaongea mambo siyaelew..kujisifia kwingiii..mara kafanya biashara hii mara ile..uongo uongo ujanja ujanja mwiingiii..utoto wa mjin mwiing.aisee.nilitoka nje nkaenda msubir demu kwenye gar amalize tuondoke..
 
Sadaka ni matoleo ya hiari ambayo mwanadamu hutoa kwa kile anachoamini kuwa ni Mungu kwake,na mwanadamu kwa kufanya hivyo hukiri kuwa bila huyo Mungu anayetoa kwake yeye hawezi.Kwa maana hiyo kila mwanadamu hutoa sadaka kama hatoi kanisani au mskitini kuna mahali anatoa na huko ndiko moyo wake ulipo.
 
Kitambo nyuma nami nilikuwa mmoja wa wenye hii misimamo ila kwa sasa wacha niendelee kuwapa hizo sadaka maana nikikumbuka jinsi familia yangu na mimi mwenyewe tulivyoteseka kwa miaka karibia 9 na watoto wangu WOTE kuingizwa kwenye UCHAWI na mmoja wao kuanza kupata UCHIZI, sina mabishano kwenye jambo la imani la mtu,,,, halafu sasa ajabu ni kuwa aliyefanya akifanya yote haya ni mama yangu wa kambo akishirikiana na ndugu damu na mimi ,,,,

Nachoamini IMANI ni FUMBO wala mtu yeyote asijione ye ndo msafi saaana, kwa wale ambao wameshapelekwa mputa mputa na ndugu wachawi watakuwa wanajua,,, halafu kwenye UMASKINI ndo kuna shuhuda nyingi za hawa MITUME na MANABII wetu ambao wengine ni FEKI KWELI, maana huku KUROGANA NDO KWENYEWE,... ukifanikiwa kidogo umetengeneza maadui kuanzia ndugu wa damu mpaka majirani..... Siye tutaendelea kutuma shuhuda zetu kwa akina Mwamposa na Kuhani Musa maana tuliyotendewa Mungu ndo anayejua......
 
Kitambo nyuma nami nilikuwa mmoja wa wenye hii misimamo ila kwa sasa wacha niendelee kuwapa hizo sadaka maana nikikumbuka jinsi familia yangu na mimi mwenyewe tulivyoteseka kwa miaka karibia 9 na watoto wangu WOTE kuingizwa kwenye UCHAWI na mmoja wao kuanza kupata UCHIZI, sina mabishano kwenye jambo la imani la mtu,,,, halafu sasa ajabu ni kuwa aliyefanya akifanya yote haya ni mama yangu wa kambo akishirikiana na ndugu damu na mimi ,,,,

Nachoamini IMANI ni FUMBO wala mtu yeyote asijione ye ndo msafi saaana, kwa wale ambao wameshapelekwa mputa mputa na ndugu wachawi watakuwa wanajua,,, halafu kwenye UMASKINI ndo kuna shuhuda nyingi za hawa MITUME na MANABII wetu ambao wengine ni FEKI KWELI, maana huku KUROGANA NDO KWENYEWE,... ukifanikiwa kidogo umetengeneza maadui kuanzia ndugu wa damu mpaka majirani..... Siye tutaendelea kutuma shuhuda zetu kwa akina Mwamposa na Kuhani Musa maana tuliyotendewa Mungu ndo anayejua......
Ulijuaje ni mamaako wa kambo?
 
aliyeunda iman ya kikristo kuna tatizo kwenye nguzo zake. zinaruhusu mianya ya kuingiza ujinga na kutojitambua hasa katika nchi zenye shida nyingi za kibinadam zinazohitaji majibu ya kibinadam kama umaskin, magonjwa na saikolojia. mi mkristo lakin naona hata katika uongoz wa kisiasa wenye iman za kikristo ndo wamefanya mambo ya ovyo sana na ya kikatili dhid ya watu wao wanaoongoza! hofu ya Mungu inakuwa too low! atakayekwazika anisamehe, labda nimeponzwa na record.
 
Back
Top Bottom