Wachungaji wanaohamasisha uzinzi sio Nabii Tito peke yake, na Masanja Mkandamizaji yumo

Jamaa ana kanisa lake, watu sadaka kama zote yaani !! ili kuwadhibiti hawa wapigaji tupitishe sheria asiye na degree ya Theologia basi asiruhusiwe kuwarubuni watanzania kwa kuanzisha kanisa la kukusanya pesa!!
 
Kama kuna kanisa nilienda wanakwambia inua sadaka tuiombee sasa kama una jero au mia mbili huwezi kunyosha
 
Wewe mleta mada ndio chenga zaidi mkuu, nakuheshimu sana na huwa sipiti coments zako ila kumuita huyu comedi Mchungaji umekosea, wanapokosea wengine huwezi tumia hiyo kama uhalalishwaji wa kosa husika, wewe ni akili ingine jitofautishe.
 
Ndo maana mimi hata kama sina imani kubwa ntazidi kuwaapreciate wasabato...yaan lazima ukasomee uchungaji...sio kisa unajiona una misuti kibao unajilabel mchungaji...bora waweke sheria kama Rwanda tu vikanisa uchwara vifutiliwe mbali
Karibu san Seventh-day Adventist Church, hakika hutojutia.
 
Hivi kazi ya utumishi kwa Mungu inaambatana na mizaha, comedy! kweli? au ndo staili za upigaji kama zile za pastor yule wa kenya na huyu mwingine sijui anaitwa mgogo...
 
Karibu san Seventh-day Adventist Church, hakika hutojutia.
Tatizo lenu mnaogopa sana kufa.
Hamnywi soda mnaogopa kufa, hamnywi pombe mnaogopa mtakufa, hamli kitimoto mnaogopa mtakufa, ila wanandoa zenu hawaoani wakiwa bikira, wanashinda kutoa mimba Kama madhehebu na dini nyingine.
Ndio miyeyusho yenu, mko feki kichizi
 
wivu tu, Masanja amehamishi nini
 
Kuna yule Daniel Mgongo sijui nani kila uchwao yeye ni kuhubiri kukazana tu anajua watu wafanyane tu hakuna hata mahubiri ya kuhamasisha kondoo wao kujikwamua na umasikni. Ukiokoka unakuwa mwehu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…