Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tabia hujenga mazoea,kama wizi ungekuwa mzuri basi kila mtu angefanya hivyo ila watu wanachagua kufanya kazi ili wazihudumie familia zao,watoto wao.Mtu kama huyo unamkamata kisha kuna mtu anatokea ana wa plz mumsamehe kirahisi kabisa, kiukweli lazima achakae kidogo kwa ugumu huu wa maisha..
Omba vyote ila sio tamaa.Tamaa mbaya sana .Tamaa inaweza kukufanya ufanye vitu ambavyo hukuwahi tegemea kuvifanya na hii yote inatokea kwasababu ya (kuonekana).Uonekane una kitu ,uonekane sio mshamba ila ukweli ni kwamba mioyoni mwa wengi kuna giza nene .Wadada ni wezi sana siki hizi hela hawana alafu tamaa ndio maana wanaishia pabaya
Mbaya sana ila ndo walikofikia huko,hata sisi wanatuibia sana tukishalewa tukawang'oaItakuwa mbaya sana maana hakuna rangi ataacha ona.Huwezi kumtia mtu hasara alafu akuchekee
We achaga tuTena nyinyi ndio wahanga wakuu,poleni sana
Bora hata angepiga iPhone pale MakumbushoWadada ni wezi sana siki hizi hela hawana alafu tamaa ndio maana wanaishia pabaya
Hivi kumbe bado kuna wanaume mnaohaingika kupata zawadi kwa wapenzi wenu siku ya valentine?big up sana mkuu,Valentine day inakuja afu anaona mambo hayaendi, ni sawa tuu na wanaume tunavoangaika muda huu kupata zawadi kwa ajili ya wapenzi wetu siku hy ya valentine.