miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,811
- 49,053
ni ngumu kuna uncle wangu huwa anasema na kusisitiza fanya kile mwenzio anapenda ilimradi tu asikudhalilishe basi... me ndefu siwezi pamoja na kuwa na miguu kama mikono .. na surualiunajua hapa kila mtu na ndoa na mume/mke wake !mie nguo ndefu hazinipendez jaman ! na mume ndo kbsss hatak kuvaa nguo ndefu ! nachukiza sana yaan ! mie ni mwendo wa gaun fupi tu kwakwel ! mume ndo alinikuta nazo hizo sasa ww jiran uanze kuninyooshea kidole itakuwa kazi kidg kukuelewa !
Hio Carina yako iko juu kama Prado hadi unaona ndani kwenye gari lingine?Niko kwenye queue hapa makongo kuelekea mwenge, kuna ka Toyota carina Ti nimeazima kwa jamaa yangu ili namimi leo niepuke hamza kanoon. Suddenly I notice this one thing, wadada wengi wanaopush their own ndingas aisee sio kwa vimini hivi walivyotupia... kama kuna mdada kapita anaendesha raum, yaan hadi abiria wa kwenye basi ambalo liko naye parallel woote wametoa macho wakimshangaa. Statistically speaking, katka gari takribani saba nlizopishana nazo asubuhi hii, ni wawili tu walikua wamevaa nadhifu. So I keep asking myself, huko ofisini how do they enter?? Unless they're all bosses, basi hizo ofisi huko zina majaribu makubwa sana aisee.
On my way to Palm beach
Sent using Jamii Forums mobile app
ni ngumu kuna uncle wangu huwa anasema na kusisitiza fanya kile mwenzio anapenda ilimradi tu asikudhalilishe basi... me ndefu siwezi pamoja na kuwa na miguu kama mikono .. na suruali
navaa .........vaa umvutie mumeo wengine wacha waseme inahusu .. akome kuchungulia kwenye magari ya watu ile ni kama nyumba inayotembea ha hahahahuvai trauza ? yes kila mtu na ladha anayopenda ! mie ni bora nikavaa gaun fupii kuliko nivae dera nilichomekee kwenye CHUPI ! hua nahis ni biashara tayar kwann dera uchomekee kwenye chupi jaman !khaa hapana !au uvae dera usivae ngup ya ndani full mirindimo aisee hapana bora nivae nguo fupi tu
anatuzuga huyu anamgari mkubwa anajificha ficha ili asiwindwe na njia ni ile ya makongo ohoooHio Carina yako iko juu kama Prado hadi unaona ndani kwenye gari lingine?
tet tete tete tete! ndo mvae masket marefu jamen
navaa .........vaa umvutie mumeo wengine wacha waseme inahusu .. akome kuchungulia kwenye magari ya watu ile ni kama nyumba inayotembea ha hahaha
hapo sawa anataka akitaka kunitoa luch awaze ule mnguo aliovaa nitatembea nae aje? wanasema hivyo huku wanatoka na wavaa vinguo vifupihahahaha najivalia mwaay kwa raha zoote !
Na wewe huwa unavaa hizo fupi? Naomba lift...anatuzuga huyu anamgari mkubwa anajificha ficha ili asiwindwe na njia ni ile ya makongo ohooo
huvai trauza ? yes kila mtu na ladha anayopenda ! mie ni bora nikavaa gaun fupii kuliko nivae dera nilichomekee kwenye CHUPI ! hua nahis ni biashara tayar kwann dera uchomekee kwenye chupi jaman !khaa hapana !au uvae dera usivae ngup ya ndani full mirindimo aisee hapana bora nivae nguo fupi tu
Kwenda na wakati ni kwenye kutafuta hela lakini sio mavazi hasa ya kuuweka mwili ambao mumeo ameulipia kwa ajili ya starehe yake.
mi nikifika kwenye gari nafungua zipi napandisha nguo niwe huru na sidiria nafungua sababu siku nziima nimejibana pale ndiyo sehemu ya kupumua .. kwa hiyo jiandae kabisaNa wewe huwa unavaa hizo fupi? Naomba lift...
hapo sawa anataka akitaka kunitoa luch awaze ule mnguo aliovaa nitatembea nae aje? wanasema hivyo huku wanatoka na wavaa vinguo vifupi
Akikupa lift waweza msomea Math 7-7Mbona ni jambo la kawaida hilo!! Ukipewa lift unaweza kutamani msifike.
Haha!, halafu kila mtu anajua wamechomeka dera kwenye nini hata watu wao wa karibu.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji2] [emoji2] [emoji2]Hahah vyote tu mkuu. Naona bado uko kwenye ligi ileee, mi mzinguaji tu mkuu ila si kwamba kweli nina nia ya kuteka boma.
Sent using Jamii Forums mobile app
jaman sipend hyo tabia mm !yaan huwa nachefukwa tu automatic!we dera ukiona refu nenda kapunguze kwa fundi bas !khaa