Wadada.....duhhh!!!

Wadada.....duhhh!!!

their dress their choice
mbona wanaume wanavaa suti na wanawavua wanaume wenzao suti na kufanya nao mapenzi kinyume na maumbile? nani shetani Kati ya hao wawili
 
their dress their choice
mbona wanaume wanavaa suti na wanawavua wanaume wenzao suti na kufanya nao mapenzi kinyume na maumbile? nani shetani Kati ya hao wawili
[emoji85] [emoji85] [emoji85] Tobaaaa! Yameanza sasa[emoji615] [emoji615] [emoji615] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
their dress their choice
mbona wanaume wanavaa suti na wanawavua wanaume wenzao suti na kufanya nao mapenzi kinyume na maumbile? nani shetani Kati ya hao wawili
Mkuu kama umetoka nje ya mada kidogo? Nways its just a humorous talk kusogeza masaa nothing serious. Sikufika huko mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama wewe ni mwanaume na umeoa ukishindwa kuamua mavazi ya mkeo basi usishangae siku moja mkeo akavaa chupi peke yake kwenda sokoni.

Hawa watu hawahitaji demokrasia kwa 100%.

Kumtawala mkeo changanya demokrasia na dictatorship.

Upande wa mavazi wanawake wengi hawana akili (sio wote).


Amini usiamini, ukihitimu shule ndio utaanza masomo.
 
Kama wewe ni mwanaume na umeoa ukishindwa kuamua mavazi ya mkeo basi usishangae siku moja mkeo akavaa chupi peke yake kwenda sokoni.

Hawa watu hawahitaji demokrasia kwa 100%.

Kumtawala mkeo changanya demokrasia na dictatorship.

Upande wa mavazi wanawake wengi hawana akili (sio wote).


Amini usiamini, ukihitimu shule ndio utaanza masomo.
Hahahah, sawa mkuu.
Ila swala la ku ulamba kyupi na kwenda market hiyo itakua ngumu aisee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom