Niko kwenye queue hapa makongo kuelekea mwenge, kuna ka Toyota carina Ti nimeazima kwa jamaa yangu ili namimi leo niepuke hamza kanoon. Suddenly I notice this one thing, wadada wengi wanaopush their own ndingas aisee sio kwa vimini hivi walivyotupia... kama kuna mdada kapita anaendesha raum, yaan hadi abiria wa kwenye basi ambalo liko naye parallel woote wametoa macho wakimshangaa. Statistically speaking, katka gari takribani saba nlizopishana nazo asubuhi hii, ni wawili tu walikua wamevaa nadhifu. So I keep asking myself, huko ofisini how do they enter?? Unless they're all bosses, basi hizo ofisi huko zina majaribu makubwa sana aisee.
On my way to Palm beach
Sent using
Jamii Forums mobile app