Wadada kwanini mnajiweka cheap kiasi hiki?

Kama ungelikua hutaki kweli ungem block tu Facebook na what supp pia,otherwise umeamua kuja kuchangamsha kijiwe cha kahawa ili upate support ya wajinga wachache
 
Si unamwambia hupendi. Au Kama haelewi anakula block. Ila na sisi wanawake tubadilike hujatongozwa... Unajitongozesha kwa mwanaume.. Lohhhh
Yaweza ikawa jamaa alijiachia na kujitapa sasa dada akaamua kuja mzima mzima. Jamaa kuona dada haendani na vigezo ndiyo kamleta huku
 
binafsi aija pendezwa na hii tabia yako kwa sababu huja muonya na wala huja mkataza kama una tafuta kiki sema
 
Hizi tabia zipo kwa baadhi ya wanawake, sijui huwa wanafikiria nini? Ni kujidhalilisha tu na kukosa akili.
 
Kwanini unasema wanajiweka cheap? Sababu ya hizo picha? Au kitu gani?
 
Yaweza ikawa jamaa alijiachia na kujitapa sasa dada akaamua kuja mzima mzima. Jamaa kuona dada haendani na vigezo ndiyo kamleta huku
Kweli. Itakuwa hivyo. Ila huyu jamaa naye mambo ya private anayaleta huku. Utoto unamsumbua
 
Kweli umebugi,badala ya kukosana naye ndo unamtangaza vibaya hahahahha .
 
Mtoa mada ni mjnga sana ulishindwa nn kumwambia acha tabia za kike ww kuwa mwanaume.
 
Baadhi ya Wanaume wa siku hizi wambea jamani kuoneshwa paja ushakuja lalamika je angekuonyesha kitu yenyewe.
 
Kweli. Itakuwa hivyo. Ila huyu jamaa naye mambo ya private anayaleta huku. Utoto unamsumbua


Kweli kabisa, ndiyo maana nikamuuliza siku zote hizo mbona asikate mawasiliano. Siku hizi watu hawashughulishi akili zao. Na dharau ,sifa ,zinawapoteza wengi
 
Umesahau kwenye msafala wa kenge na mamba wapo? dunia ya sasa sio ya enzi hizo mwenzio yupo kibiashara kama walivyo makaka poa.
 
Mkuu lengo lako ni zuri sana ila umeonekana kichaa pale ulipoweka tu iyo picha nimekudharau sana ulitakiwa umwambie huko huko ili asije rudia tena lakini wewe umefanya ujinga kuliko hata Huyo mwanamke
Be a man.
Poor you
even yourself you have a poor mind
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…