Wadada mlioolewa na mnaotarajia kuolewa!

Wadada mlioolewa na mnaotarajia kuolewa!

mume wangu kama asiponiuzi nitampa good time sana
kwanza hatokaa ale chakula cha ovyoovyo cha beki tatu
hatokaa afue hata leso yenyewe
hatokaa alale njaa hata arudi saa kumi usiku atakuta chakula fresh tena cha moto namlisha
sitokaa nimnyime papuchi
akikuudhi ???[emoji4] [emoji4]
 
Haya mambo hayana fomula jamani ... Utamlisha chakula kitamu ulichopika mwenyewe, utamfulia na kumpasia nguo kisha kupanga kabatini, utamwandaa asubuhi awahi kazini ... Utajitahidi usafi kuanzia wa nyumba mpaka wako mwenyewe ... Utaneng'eneka huko kama hajawahi tokea kama yeye ... Ila ndio kwanza mtu hajali jitihada zako ... Wanawake tunafanya kutimiza wajibu ila hata hamjali jitihada zetu pyeeee mjistukiage na ninyi!
 
Kama hukufundishwa na mama yako sahau kubadirika.

Hivi naweza kupoteza mda kwenda kujifunza vitu vya kawaida sana hivi? Hapo mama yangu alikuwa na kazi gani hadi nifundishe na wanawake wengine??
 
umenifumbua macho mkuu,nitajitahidi nikiolewa nisijibweteke,lol...................................nimeipenda hii topic,wadada inawahusu sana huu ujumbe,i believe kila mtu akibeba majukumu yake vizuri nyumba itakua na Amani/peace and harmony,usiwe sababu mfanyakazi wako wa ndani awe ana simanzi,ndio maana wengine wamepindua nyumba za watu,ulimsema na kumsumbua,siku mumeo akimuonyesha kumpenda haachii nafasi ya kukukomoa,kama unaishi vyema na mdada wa nyumbani,atakuheshimu,atalea watoto wako vizuri,
USISAHAU NA CHAKULA.CHA USIKU.APO UKIBWETEKA NDIO IMEKULA KWAKO

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haya mambo hayana fomula jamani ... Utamlisha chakula kitamu ulichopika mwenyewe, utamfulia na kumpasia nguo kisha kupanga kabatini, utamwandaa asubuhi awahi kazini ... Utajitahidi usafi kuanzia wa nyumba mpaka wako mwenyewe ... Utaneng'eneka huko kama hajawahi tokea kama yeye ... Ila ndio kwanza mtu hajali jitihada zako ... Wanawake tunafanya kutimiza wajibu ila hata hamjali jitihada zetu pyeeee mjistukiage na ninyi!
Pole mama uwe mpole tu jaman

Si unajua tena kuzungusha kiuno mpaka uridhike mama inaghalim mno akili yote na nguvu zote bado akili inaumia utavaa nn kula kunywa na kukutoa out

Vumilia tu mamiii piga Kazi utapata tu ujira

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kila mtu aishi kwenye msitari wako.kama mtu anakupa stress hiyo nguvu ya kumpikia unatoa wapi?
Acha kabisa mwanaume akiwa smart kila idara michepuko noo... anajali familia.... Maendeleo yapoo@ aisee nitaparangana mpaka kieleweke****mitabia yao ndo huwa inatukatisha tamaa NA kutumaliza nguvu..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haya mambo hayana fomula jamani ... Utamlisha chakula kitamu ulichopika mwenyewe, utamfulia na kumpasia nguo kisha kupanga kabatini, utamwandaa asubuhi awahi kazini ... Utajitahidi usafi kuanzia wa nyumba mpaka wako mwenyewe ... Utaneng'eneka huko kama hajawahi tokea kama yeye ... Ila ndio kwanza mtu hajali jitihada zako ... Wanawake tunafanya kutimiza wajibu ila hata hamjali jitihada zetu pyeeee mjistukiage na ninyi!
Aisee umeongea kwa uchungu sana, tupo tunaojali jitihada zenu mbona, hebu jaribu kufungua macho ya rohoni kidogo ya nyama yatakuonyesha tall handsome n black/mweupe basi.
 
Acha kabisa mwanaume akiwa smart kila idara michepuko noo... anajali familia.... Maendeleo yapoo@ aisee nitaparangana mpaka kieleweke****mitabia yao ndo huwa inatukatisha tamaa NA kutumaliza nguvu..

Sent using Jamii Forums mobile app
Ila bibie ukumbuke hakuna aliye smart kila idara, kikubwa kinachofanya ndoa idumu ni kuheshimiana na kila mmoja kujua namna ya kuchukuliana na udhaifu wa mwenzake. Nb: Usisubiri kutendewa wema ndo urudishe wema, jaribu kusimama kwenye nafasi yako hata kama mwenzako hasimami kwenye nafasi yake.
 
Back
Top Bottom