Wadada mlioolewa na mnaotarajia kuolewa!

Wadada mlioolewa na mnaotarajia kuolewa!

Hongera, hii ya chakula ni bora mtu asaidie kazi nyingine lakini chakula ufanye mwenyewe kwa kweli.


mdada wangu wa kazi ni mmasai imagn umpe masai akuungie mchuzi ahahha utatapika aisee !hafundishiki .. manyanya yamesimama dede tunguu anakata makubwa km ya pilau uwii chuzi kuleeee hahah wali km ugali !nimefundisha wee hapana najipikia mwenyewe kwakweli
 
mdada wangu wa kazi ni mmasai imagn umpe masai akuungie mchuzi ahahha utatapika aisee !hafundishiki .. manyanya yamesimama dede tunguu anakata makubwa km ya pilau uwii chuzi kuleeee hahah wali km ugali !nimefundisha wee hapana najipikia mwenyewe kwakweli

HAHA!, mbona nyanya kusimama dede! [emoji1]
Huwa naona ni bora mtu kutengeneza chakula chake mwenyewe kama anaweza, cos unajua kilipopitia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hawa wanawake zetu,tunaishi nao tu kwa shida,vitu vyote vya msingi vya kuimalisha ndoa hawajui,kama kupika mtihan,mahaba mtihan,ila umbea,kelele na kununa nuna hivi ndivyo wanavyoweza.mm nimemuachia mungu tu,maana nimesema nimechoka.

Sent using Jamii Forums mobile app
haahaahaa..pole sanaa!
halafu kumrekebisha mtu mzima mwenzio ni kazi kwelikweli
 
HAHA!, mbona nyanya kusimama dede! [emoji1]
Huwa naona ni bora mtu kutengeneza chakula chake mwenyewe kama anaweza, cos unajua kilipopitia.

Sent using Jamii Forums mobile app
mi kuna mmoja kwa ndugu yangu.alitika dodoma huko ...akaelekezwa kupika dagaa wa mwanza rosti na ugali..
alichofanya[emoji134] [emoji134] .
ugali alijitahid kupika..but mchuzi umejaa sufuria huo..majimaji.dagaa wanaelea juu..bado wa harufu ya shombo.vitunguu vikubwa vinaelea..vibichi..hoho karoti doh...
baba mwenye nyumba alibanwa na njaa iksbid ajikaze hivohivo ale...alitapika vibaya huo usiku[emoji23] [emoji23] ..

mdada wangu wa kazi ni mmasai imagn umpe masai akuungie mchuzi ahahha utatapika aisee !hafundishiki .. manyanya yamesimama dede tunguu anakata makubwa km ya pilau uwii chuzi kuleeee hahah wali km ugali !nimefundisha wee hapana najipikia mwenyewe kwakweli
 
mi kuna mmoja kwa ndugu yangu.alitika dodoma huko ...akaelekezwa kupika dagaa wa mwanza rosti na ugali..
alichofanya[emoji134] [emoji134] .
ugali alijitahid kupika..but mchuzi umejaa sufuria huo..majimaji.dagaa wanaelea juu..bado wa harufu ya shombo.vitunguu vikubwa vinaelea..vibichi..hoho karoti doh...
baba mwenye nyumba alibanwa na njaa iksbid ajikaze hivohivo ale...alitapika vibaya huo usiku[emoji23] [emoji23] ..



hahaha had nimehis kuvomit haha dagaa unaliwekea chuzi lol
 
kweli aisee..nyumba kubwa mikelele..nyumba ndogo kumetulia..kwanini asihamie kule
 
umenifumbua macho mkuu,nitajitahidi nikiolewa nisijibweteke,lol...................................nimeipenda hii topic,wadada inawahusu sana huu ujumbe,i believe kila mtu akibeba majukumu yake vizuri nyumba itakua na Amani/peace and harmony,usiwe sababu mfanyakazi wako wa ndani awe ana simanzi,ndio maana wengine wamepindua nyumba za watu,ulimsema na kumsumbua,siku mumeo akimuonyesha kumpenda haachii nafasi ya kukukomoa,kama unaishi vyema na mdada wa nyumbani,atakuheshimu,atalea watoto wako vizuri,
Kwa hiyo bado hujaolewa bibie..[emoji4] [emoji4]
 
mume wangu kama asiponiuzi nitampa good time sana
kwanza hatokaa ale chakula cha ovyoovyo cha beki tatu
hatokaa afue hata leso yenyewe
hatokaa alale njaa hata arudi saa kumi usiku atakuta chakula fresh tena cha moto namlisha
sitokaa nimnyime papuchi
Sorry mkuu,kwa avatar ni ww?
 
mdada wangu wa kazi ni mmasai imagn umpe masai akuungie mchuzi ahahha utatapika aisee !hafundishiki .. manyanya yamesimama dede tunguu anakata makubwa km ya pilau uwii chuzi kuleeee hahah wali km ugali !nimefundisha wee hapana najipikia mwenyewe kwakweli
niajiri mm nikupikie mkuu hutojuta
 
mume wangu kama asiponiuzi nitampa good time sana
kwanza hatokaa ale chakula cha ovyoovyo cha beki tatu
hatokaa afue hata leso yenyewe
hatokaa alale njaa hata arudi saa kumi usiku atakuta chakula fresh tena cha moto namlisha
sitokaa nimnyime papuchi
dah fursa hii...🙄🙄
 
Back
Top Bottom