Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wasaidie [emoji38] [emoji38] [emoji38]Watu wenyewe wanajua ndoa ni kwenda ku.******* tu na majivuno ya barabarani.
Hata akizaa mtoto kulea hawezi.
Sent using Jamii Forums mobile app
miakaiwili haitoshi??Lifestyle ya mtu kuibadilisha kazi. Inahitaji muda .
hongera kwa mama...Mama yangu alikuwa anatuambiaga ninavyoongea hivi kuwafundisha kila siku ndio kitchen party yenyewe. .
Kumbe ww ni wife material kiasi hchoUwez kufundwa kwa siku moja ukawa fundi.
Mtoto wa kike anafundwa kila siku, Mimi binafsi Siwez lala mpaka saa 2 ni maisha niliyozoeshwa tangu mdogo saa 12 mtoto wa kike unapaswa kuamka kuweka mazingira sawa ya nyumban.
Binti wa form four anafuliwa nguo unategemea kesho akawe mama bora au Mwalim bora kwa familia yake kivipi?
Wamama tusilee watoto Kama vidonda wanaenda kutia aibu huko waendako.
Eti enheeKumbe ww ni wife material kiasi hcho
10yrs sasa sijawahi kuwa na msichana wa kazi.mie kwenye shughuli za nyumban kwangu nnajipa 100% kwa haya mie hayanisumbui !kwanza sitak kbs kula msos wa dada ! ni jana tu nimechelewa kurud hom nimekuta kashapika ! kupika kwangu ni hobby nalala saa7 kila siku saa 12 ;00 nipo on !
asante kwa jumbe
10yrs sasa sijawahi kuwa na msichana wa kazi.
Kweli sihitaji, ila ukiwa na mtoto mdogo dada ni muhimu.duh hongera ! ila wewe ni sawa bwana !safiiiii
Ata wenzio walianza hivyo hivyomume wangu kama asiponiuzi nitampa good time sana
kwanza hatokaa ale chakula cha ovyoovyo cha beki tatu
hatokaa afue hata leso yenyewe
hatokaa alale njaa hata arudi saa kumi usiku atakuta chakula fresh tena cha moto namlisha
sitokaa nimnyime papuchi
Somo hili!
Vizuri kukumbushana, naona kama vile mtu unajielewa vizuri utapenda kutunza familia yako 'Personally' na sio kuagiza watu wengine kama housegirl akutunzie.
mie kwenye shughuli za nyumban kwangu nnajipa 100% kwa haya mie hayanisumbui !kwanza sitak kbs kula msos wa dada ! ni jana tu nimechelewa kurud hom nimekuta kashapika ! kupika kwangu ni hobby nalala saa7 kila siku saa 12 ;00 nipo on !
asante kwa jumbe