hakika! unakuta dada anafua masweta ya shule km anagombana sweta mwez tu limetanukaaa haha !mie nakaa sana online lakin sikumbuk km nimewah unguza msos aisee !niko makini na najijua ! mambo mswano
Hongera, hii ya chakula ni bora mtu asaidie kazi nyingine lakini chakula ufanye mwenyewe kwa kweli.
congratration10yrs sasa sijawahi kuwa na msichana wa kazi.
mdada wangu wa kazi ni mmasai imagn umpe masai akuungie mchuzi ahahha utatapika aisee !hafundishiki .. manyanya yamesimama dede tunguu anakata makubwa km ya pilau uwii chuzi kuleeee hahah wali km ugali !nimefundisha wee hapana najipikia mwenyewe kwakweli
haahaahaa..pole sanaa!Hawa wanawake zetu,tunaishi nao tu kwa shida,vitu vyote vya msingi vya kuimalisha ndoa hawajui,kama kupika mtihan,mahaba mtihan,ila umbea,kelele na kununa nuna hivi ndivyo wanavyoweza.mm nimemuachia mungu tu,maana nimesema nimechoka.
Sent using Jamii Forums mobile app
mi kuna mmoja kwa ndugu yangu.alitika dodoma huko ...akaelekezwa kupika dagaa wa mwanza rosti na ugali..HAHA!, mbona nyanya kusimama dede! [emoji1]
Huwa naona ni bora mtu kutengeneza chakula chake mwenyewe kama anaweza, cos unajua kilipopitia.
Sent using Jamii Forums mobile app
mdada wangu wa kazi ni mmasai imagn umpe masai akuungie mchuzi ahahha utatapika aisee !hafundishiki .. manyanya yamesimama dede tunguu anakata makubwa km ya pilau uwii chuzi kuleeee hahah wali km ugali !nimefundisha wee hapana najipikia mwenyewe kwakweli
mi kuna mmoja kwa ndugu yangu.alitika dodoma huko ...akaelekezwa kupika dagaa wa mwanza rosti na ugali..
alichofanya[emoji134] [emoji134] .
ugali alijitahid kupika..but mchuzi umejaa sufuria huo..majimaji.dagaa wanaelea juu..bado wa harufu ya shombo.vitunguu vikubwa vinaelea..vibichi..hoho karoti doh...
baba mwenye nyumba alibanwa na njaa iksbid ajikaze hivohivo ale...alitapika vibaya huo usiku[emoji23] [emoji23] ..
yaani..hilo chuzi dagaa kuwaona mpaka uzame chini..hahaha had nimehis kuvomit haha dagaa unaliwekea chuzi lol
Kwa hiyo bado hujaolewa bibie..[emoji4] [emoji4]umenifumbua macho mkuu,nitajitahidi nikiolewa nisijibweteke,lol...................................nimeipenda hii topic,wadada inawahusu sana huu ujumbe,i believe kila mtu akibeba majukumu yake vizuri nyumba itakua na Amani/peace and harmony,usiwe sababu mfanyakazi wako wa ndani awe ana simanzi,ndio maana wengine wamepindua nyumba za watu,ulimsema na kumsumbua,siku mumeo akimuonyesha kumpenda haachii nafasi ya kukukomoa,kama unaishi vyema na mdada wa nyumbani,atakuheshimu,atalea watoto wako vizuri,
Sorry mkuu,kwa avatar ni ww?mume wangu kama asiponiuzi nitampa good time sana
kwanza hatokaa ale chakula cha ovyoovyo cha beki tatu
hatokaa afue hata leso yenyewe
hatokaa alale njaa hata arudi saa kumi usiku atakuta chakula fresh tena cha moto namlisha
sitokaa nimnyime papuchi
niajiri mm nikupikie mkuu hutojutamdada wangu wa kazi ni mmasai imagn umpe masai akuungie mchuzi ahahha utatapika aisee !hafundishiki .. manyanya yamesimama dede tunguu anakata makubwa km ya pilau uwii chuzi kuleeee hahah wali km ugali !nimefundisha wee hapana najipikia mwenyewe kwakweli
dah fursa hii...🙄🙄mume wangu kama asiponiuzi nitampa good time sana
kwanza hatokaa ale chakula cha ovyoovyo cha beki tatu
hatokaa afue hata leso yenyewe
hatokaa alale njaa hata arudi saa kumi usiku atakuta chakula fresh tena cha moto namlisha
sitokaa nimnyime papuchi
niajiri mm nikupikie mkuu hutojuta
hamna dada siwezi kufanya hvyo nitaheshim kaz yanguhuhu naajiri dume ? uje umpe mimba mdada wa kazi inahu ? teh akuu !uanze kukaa kifua wazi nan anataka ?utamfanya mume afariki bureee