Wadada mliowahi kutafuta wachumba JF na kupata njooni hapa

Status
Not open for further replies.
Mhhhhhh kazi kweli kweli
 
mmh, kumbe kuna mambo humu jf nilikua sijui kwakweli, ila pia niliwahi tafuta kipindi Fulani wakaja wengi sn inbox mwisho wa cku sikupata wa kweli kwani sikua na haraka nilianza kuchunguza taratibu niakagundua hakuna hata mmoja wa kweli mpaka leo kimya.
 
Nimejifunza mengi leo shosti!!!
Yaani kabla ya kumkubalia mtu PM Ntamuanzishia thread kabisa na jina lake... Ili kama kuna wenzangu wanishambulie mapema kabla sijakosea njia aisee!
Hebu nianzishie huo Uzi![emoji39]
 
Kama mmpo wakinadada ambao hamjapata njooni kwangu nami nitawapumuzisha na tabu za utafutaji ninawaahidi mtafaidi mema ya cnhi kama mtakuja kwangu
 
Umeongea Ukweli sana, ushauri wako ni sahihi mno.
 
Mm natafuta kweli..mwezi ila tatizo humu watu waongo hata picha wanazoweka sizo unaweza date na mtu siku mnaonana...unakutana na kituko hijawah ona
 

na mi nataka 🙁 kumbe inawezekana
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…