tejateja
JF-Expert Member
- Feb 26, 2015
- 1,620
- 971
Here I'm.mimi nimetafuta hadi nimechooka hata sitaki tena natafutia tu watu
Take me
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Here I'm.mimi nimetafuta hadi nimechooka hata sitaki tena natafutia tu watu
poa poa kamanda...linda huyo toto..kako innocent.... kasiumie please.....Pamoja Chief..Tushirikiane kumlinda
ahahaaa huyo ndo mumeo? tufungue mafile yake hapa
Looo! Haitakua mara ya kwanza kuchanganywa...Haya bana..Ngoja na we siku nikukute unatunishiana misuri na mwanamke mwenzako humu kisa Men..
Poa poa mkuu..poa poa kamanda...linda huyo toto..kako innocent.... kasiumie please.....
Teh teh..Nahisi huo ulikuwa msonyo wa kinaijeria..Looo! Haitakua mara ya kwanza kuchanganywa...
Mwanaume alie ni-deflower alinidanganya kua niko peke yangu kumbe kuna bi-mkubwa... Nikashangaa napita mtaani napewa msonyo wa maana mpaka tumbo likauma...
Shem wangu alikua ananikubali ndo akanipa mkanda mzima... Sioendagi ugomvi... Nikamfuata bi-mkubwa na kumuomba msamaha... Nikaachana na yule kaka na bi-mkubwa nae akamuacha yuke mkaka...
Mimi na bi-mkubwa tukawa mashosti.!
poa poa kamanda...linda huyo toto..kako innocent.... kasiumie please.....
Heri ya mwaka mpya!
Heri ya mwaka mpya!
Nisingejibizana!!!Teh teh..Nahisi huo ulikuwa msonyo wa kinaijeria..
Pole aisee..Sasa huyo mtu alikuwa wa kitaa..Mngekutana Jf yangeweza kutokea kama haya..Mpaka mnakuja kusameehana watu tushazijua hadi rangi za chupi zenu
Hilo ndo jibu tosha..Wengi wangelijua hili ingekuwa poaNisingejibizana!!!
Huyo mwanamke angejiongelesha tu mpaka achoke...
wacha waongee bnaNisingejibizana!!!
Huyo mwanamke angejiongelesha tu mpaka achoke...
Umeamua kuyaweka wazi mapenzi yetu ?Wewe [emoji172] [emoji172] [emoji172] [emoji172]
Ushindwe kwa Jina la Yesu!