Wadada mliowahi kutafuta wachumba JF na kupata njooni hapa

Wadada mliowahi kutafuta wachumba JF na kupata njooni hapa

Status
Not open for further replies.
Haya bana..Ngoja na we siku nikukute unatunishiana misuri na mwanamke mwenzako humu kisa Men..
Looo! Haitakua mara ya kwanza kuchanganywa...
Mwanaume alie ni-deflower alinidanganya kua niko peke yangu kumbe kuna bi-mkubwa... Nikashangaa napita mtaani napewa msonyo wa maana mpaka tumbo likauma...
Shem wangu alikua ananikubali ndo akanipa mkanda mzima... Sioendagi ugomvi... Nikamfuata bi-mkubwa na kumuomba msamaha... Nikaachana na yule kaka na bi-mkubwa nae akamuacha yuke mkaka...
Mimi na bi-mkubwa tukawa mashosti.!
 
Looo! Haitakua mara ya kwanza kuchanganywa...
Mwanaume alie ni-deflower alinidanganya kua niko peke yangu kumbe kuna bi-mkubwa... Nikashangaa napita mtaani napewa msonyo wa maana mpaka tumbo likauma...
Shem wangu alikua ananikubali ndo akanipa mkanda mzima... Sioendagi ugomvi... Nikamfuata bi-mkubwa na kumuomba msamaha... Nikaachana na yule kaka na bi-mkubwa nae akamuacha yuke mkaka...
Mimi na bi-mkubwa tukawa mashosti.!
Teh teh..Nahisi huo ulikuwa msonyo wa kinaijeria..
Pole aisee..Sasa huyo mtu alikuwa wa kitaa..Mngekutana Jf yangeweza kutokea kama haya..Mpaka mnakuja kusameehana watu tushazijua hadi rangi za chupi zenu
 
Teh teh..Nahisi huo ulikuwa msonyo wa kinaijeria..
Pole aisee..Sasa huyo mtu alikuwa wa kitaa..Mngekutana Jf yangeweza kutokea kama haya..Mpaka mnakuja kusameehana watu tushazijua hadi rangi za chupi zenu
Nisingejibizana!!!
Huyo mwanamke angejiongelesha tu mpaka achoke...
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom