Kaboom
JF-Expert Member
- Nov 6, 2011
- 10,828
- 15,001
Thats ma BebiAh mie sina wasiwasi nae bebi wangu...we shusha tu hizo files
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Thats ma BebiAh mie sina wasiwasi nae bebi wangu...we shusha tu hizo files
ndio
[emoji15] [emoji15] [emoji15] yupiUliyekuwa unamsubiria ndio huyu kapatikana. Ondoa matangazo njoo tufanye yetu
mimi nimetafuta hadi nimechooka hata sitaki tena natafutia tu watu
mnataka nipretend sio?Nilishakwambia badili Jina utapata upesi Sanaa
Amen mpendwa! Halafu huwa anakuuliziaga(Nojoke) nakwazikaga sana sijui anataka ajiongeze na kwako
mnataka nipretend sio?
naona upo live na shemeji sasangoja nikapate ubuyu
😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀mimi nimetafuta hadi nimechooka hata sitaki tena natafutia tu watu
shida kujitakia tupiga shule baby darling.....maisha yenyewe haya..shida za nini....
hapo nimeridhikanaona upo live na shemeji sasa
hahahahahaLooo! Haitakua mara ya kwanza kuchanganywa...
Mwanaume alie ni-deflower alinidanganya kua niko peke yangu kumbe kuna bi-mkubwa... Nikashangaa napita mtaani napewa msonyo wa maana mpaka tumbo likauma...
Shem wangu alikua ananikubali ndo akanipa mkanda mzima... Sioendagi ugomvi... Nikamfuata bi-mkubwa na kumuomba msamaha... Nikaachana na yule kaka na bi-mkubwa nae akamuacha yuke mkaka...
Mimi na bi-mkubwa tukawa mashosti.!
najue awe na phdHata mie sijabahatika kupata shoga yangu, ila kwa kuwa wewe ni mtaalamu wa kutafutia watu naomba unitafutie, ila nataka awe na...................................
hahahaahahah, hapana labda Phd ya ujuzi na maarifa kwenye masuala ya mahusiano lakini sio Phd ya kutumia maganda ya korosho sijui yatoe kemikali gani?! hahahahahahnajue awe na phd
Hallow mtoto mzurimimi nimetafuta hadi nimechooka hata sitaki tena natafutia tu watu