Wadada mliowahi kutafuta wachumba JF na kupata njooni hapa

Status
Not open for further replies.
Mbona umenitamanisha bibie??????
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mbona benchmark!! Kumbe uliapply!! Hivi alikujibu? Maana mie hata pm yangu hakujibu kabisaaaaa.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] league kumbe iliendelea, wadada bwana kwanini kujidhalilisha hivyo!!

Huyo mnaegombania kakaa tu anawachora mnavyofanya vitu vya kijinga, hata kama ni njaa ya kuolewa au kuwa mahusiano sio kiivyo!!!
 

Chonde chonde, mbona kama shughuli ilikwishapoa? Tafadhali usilianzishe tena, maana watu wamemwaga hadharani hata vile vya uvunguni
 
Hivi imekuwaje wakala kifungo?
Sasa mimi kosa langu nini jamani!!!
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Haha haaaaa nilipoona mwanzoni nilijua ni ka style kapya tu ka avatar. Kumbe ni ban live.. Mod's kawataki mchezo. Week ya nenda kwa usalama hii. Wanafanya reshaping ya behavior.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…