Wadada mliowahi kutafuta wachumba JF na kupata njooni hapa

Status
Not open for further replies.
Hhmm!!huyo alopigwa ban ya maisha sababu ilikua ipi??jana weng tulipewa ban bila ya kuzijua sababu,maybe kwasababu ya kuleta stry ktk nyuzi za watu si unajua[emoji28][emoji23].io ban ya siku moja tu nmeona siku nzima imekua chungu


Teh umeshika adabu yako!
 

cc: mahondaw
 
Acha kupotosha wenzako wee dada . . , watu wana afya zao, wanataka mboo . . , wewe unasema wasizitafute . . ?!

Wewe ni lesbian . . ?
 
Mm natafuta mke
Awe tu kuanzia miaka 18 hadi 100 huko
Awe tu mwanamke siangalii anafananaje
Mbona hawaji PM yangu jamani?
 
Mwarabu gani fundi hivi . . ?! [emoji23] [emoji106] Umesema vizuri sana Queen . .

Umeshaolewa weye . . ?
 
Mzigua . . ,

Naomba ni ku pm . .
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…