casta mvungi
JF-Expert Member
- Apr 4, 2017
- 210
- 191
KhaaaaPls Nipo hewani
Njoo chemba na sisi tuwowane hapa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KhaaaaPls Nipo hewani
Njoo chemba na sisi tuwowane hapa
haha...mkuu pole...hata awe 97 u radhi kumweka ndani?..Mm natafuta mke
Awe tu kuanzia miaka 18 hadi 100 huko
Awe tu mwanamke siangalii anafananaje
Mbona hawaji PM yangu jamani?
Yes.. mlima. Ili hatimae tufike kileleni....pamoja.😛😛[emoji15] [emoji15] [emoji15] mlima
Yaani hakika ningekua sijawahiwa . . , ningekuoa lazima . . [emoji23] [emoji106]Hahahaa eti ee,[emoji23][emoji23]sijaolewa vp unataka kuleta mahari
Nikupe mdogo wangu labda . .Hahahaa eti ee,[emoji23][emoji23]sijaolewa vp unataka kuleta mahari
hivi ile milupo ya jamaa imeishia wapi?Ha haha ila kweli muwe mnaomba pesa
Hata sijuihivi ile milupo ya jamaa imeishia wapi?
yaani kuna mambo humu acha tu ninyamaze maana niliyoambiwa ni makubwa au ni wanaume waklikuwa wanatuchora niniHata sijui
Ha ha ha hamna walikuwa wanajaribu waabahatikayaani kuna mambo humu acha tu ninyamaze maana niliyoambiwa ni makubwa au ni wanaume waklikuwa wanatuchora nini
mdogo angu nilipitwa hiii, ngoja nije watsap[emoji28] [emoji28] [emoji28]NDIO!
Nilimpata wakati niko na majonzi ya Usaliti kutoka kwa jamaa mmoja humuhumu jukwaani
Hata sasa mwaka umepita
Yeye ni rafiki kwangu
Mpenzi
SexPartner
Mwalimu
Kiongozi
Mshauri
Amenizidi sana umri lakini...(KidondaTamuNziNdioHufia)Nampenda Sana thou sijui yeye kama anafeel the same
Mungu akiruhusu nitamfanya Baba wa mtoto wangu wa kwanza
uwe unanitag nawee ona nilikosa mpambano ukiwa hot, hahahaha wanawake sisi kazi ipohaya haya mama mkwe wangu Evelyn Salt Kumekucha huku jogoo ameshawika Chimwagaaa......
hahahah dah hivi ni kweli wanaume ni wachache kiasi hicho?yaani inabidi tuwe na group letu wanawake wa jf kila mtu amtaje mpenzi wake .utakuta ni huyo huyo mmoja
hahahah we nae kambea khaanaweza nisijue we weka tu hiyo link
Em lala ukuehahahah we nae kambea khaa
nilishakua kitamboEm lala ukue
Kwani hulali tena?nilishakua kitambo
heheheheiya pambe tu mie,mapenzi mubasharaMISS CHAGGA & MISS NATAFUTA nyie ndio nmekua vinara ila huyo huyo mwanaume rafiki enu anaeona hafai hiyo hapo juu yote ni misamaha akiomba tena ilikua juzi tu ila leo anamuona kicheche, mume wa mtu hayo yote hakuyajua..... Naomba tena naomba muachane kaka wa watu kama kumdharirisha ameshamdharirisha vya kutosha amuache mimi nimempokea na mapungufu yake yote
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] khaaa jamani wanawake sisi [emoji119] [emoji119]Achana na watu shost...we fata kile roho yako inapenda
Dawa ya moto ni moto yy kakulipua na kamdhalilisha bwana akoo na wee lete message zake zote za misamaha yake hapa..eboo!
Halafu uko vizuri upstairs nimekupenda buree..