Wadada mliowahi kutafuta wachumba JF na kupata njooni hapa

Wadada mliowahi kutafuta wachumba JF na kupata njooni hapa

Status
Not open for further replies.
Shoga angu huu ubuyu mzitoo embu njoo Pm tuyajenge
We Ebu Acha Movie Iendelee Hapa. Movie Inaonyeshwa Kwa Projector Kama Movie Za Yesu Kijijini Alafu Wewe Unataka Wakupe Uangalie Mwenyewe Ktk Laptop. We Dada Wewe!
[emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35]
 
NDIO!
Nilimpata wakati niko na majonzi ya Usaliti kutoka kwa jamaa mmoja humuhumu jukwaani
Hata sasa mwaka umepita
Yeye ni rafiki kwangu
Mpenzi
SexPartner
Mwalimu
Kiongozi
Mshauri
Amenizidi sana umri lakini...(KidondaTamuNziNdioHufia)Nampenda Sana thou sijui yeye kama anafeel the same
Mungu akiruhusu nitamfanya Baba wa mtoto wangu wa kwanza
Kumbe wapo eehh
 
Wadada mnatuaibisha bhana,hata kama pana uhaba wa wanaume not to that extent.
Kwanza ogopa limwanaume zoazoa afu mnagombana lenyewe lipo kimyaaaa linapanga sheria nani afuatie.
Mwanaume wa kweli haonyeshi utupu wake hovyo hovyo.
Hv wanawake kuishi peke yetu hatuwezi?

Binafsi siwapi first priorty wanaume kabisaa,maana ninejijengea kujiamini nimeandaa na kujipanga vzr kiasi kwa maisha hivyo nikiona mdada anagombea mbo.... namshangaa mno,mbo.... ni nini bhana angalia mustakabali wa misha yako baada ya hapo utaamua nani awe nani sio kupangiwa,kuiba wala kugonbea.

Wanawake tubadilike,kumbukeni heshima unajipa mwenyewe na kamwe haikutafuti.
Nendeni kwenye mabaraza ya usuluhishi wa ndoa mjifunze,wamtu wanajuta kuingia kwenye ndoa.

Nani asiye jua kwmb yapo mababa tena yaliyomo kwenye ndo takatifu kabisa na bado anamvika pete mdada kwa shangwe na nderemo. Nia yake apate K kwa urahisi huku kamfunga na mwisho wa siku anambwaga kama toilet paper chooni.

Umefika wakati wa mabadiliko MIPANGO YAKO MAISHA YAKO sio mwanaume,kwanza kuolewa ni utumwa tu bora kuwa hgirl unalishwa,unauguzwa na unalipwa.
Kikweli sijapenda hayo malumbano.
Nna mengi ya kusema acha muda huu niishie hapa.
Ukweli mtupu huu... Nimeupenda Ujumbe wako, hongera sana [emoji116]
[HASHTAG]#Casta[/HASHTAG] mvungi
 
Mie Mbona Sijapatwa Maana Kinadada Mnapata Tu. Naombeni Na Mimi Mnipate Kinadada Kama Mnavyowapata Mabroo!!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] . Ila Sio Miss Kutafutana Stay Away Please!!!
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Kwanini miss kutafutana unamtimua?
 
Mimi ni mkristo na ili ndoa iitwe ni lazima ifungwe kanisani na pia mtu wameishi wote na watoto juu why asiwe mke wake.... Pia sipendi kumuongelea huyo aliekua mke wake sina tatizo hata kidogo na heshima yake nitampa
Aisee we lijamaa uliesababisha huu mtifuano...utulie na huyu binti Venus mana sio kwa kukukingia kifua kwa level hii...na amejitoa muhanga kweli kweli...yani huyu ameshafika kwenye coma stage..sasa ukamzingue tutasikia habari yake...
Aisee we mdada nimekupenda bure jinsi ulivyokuwa unapangua hzi hoja...mana ungesema ukae kimya mjadala ungeendelea kama kawaida na ndo ungechafuliwa vya kutosha..ila ulisimama kidete na inaonekana wengi walikuelewaa...BIG UP
Nimependa unavyoweza jenga hoja..it seems like your well informed about the past relationship za huyo mlengwa wako...ila kwa hili UWE MAKINI SANA HAKUNA MWANADAMU ATAWEZA KUSEMA YEYE NI CHANZO CHA TATIZO KWENYE MAHUSIANO KILA MTU HUMTUPIA MWENZIE LAWAMA. SO BE PREPARED MANA HUYO ticha inaonekana NI PLAYBOY MZURI LABDA KAMA AAMUE KUTULIA.
Ila yote yawezekana labda wee ndo ulipangiwa kuwa nae kimaisha..ila usisahau KUMWOMBA MUNGU AZIDI KUMBADILI KITABIA NA AWATANGULIE KATIKA MIPANGO YENU YA MBELENI.
CC Venus
 
ume tililika vizur mpaka nikataman niwe huyo jamaaa ila hyo verse ya mwsho why umesema mtoto wa kwanza na sio wa milele lakn ww bint!!! yan mhusika sijuia ataumiaje kama mpita njia nimeumia hivii
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]
 
Uchelewi Kukuta Alipotezwa Na Miss Kutafutana Na Akajitoa Jf. Au Unakuta Miss Kutafutana Na Mr Kutafutana Ni Jitu 1[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
What's wrong with you woman? Ifikie time unatakiwa uonyeshe kuwa ur matured enough na sio hii shit unayoindekekeza na kuishi maisha ya kutaka kufurahisha watu while wenzio wanaenjoy maisha yao..... Sipendi sana kubishana na wewe coz tayari nimeshakujua wewe ni nani na ni mwanamke wa aina gani and ur free kuandika kila unachofeel kuandika but ukweli utabaki pale pale na hata wewe mwenyewe unalijua hilo ila unapenda tu kujitoa ufahamu with no reasons.... Kwa mwanamke yoyote anaejielewa alipaswa akae chini na kutafakari kwanini huyu mtu aliniacha na kwanini alienda kwa mtu mwingine? I think hii ndio ilikua nafasi ya wewe kujitafakari na sio kuja huku na kuanza kuandika as if nilikuja nikamchukua huyo mtu mikononi mwako ila kaa ukijua alinifuata mwenyewe na he ofcoz he told me everything kuhusu yeye na hata kuhusu relation yako na wewe aliniambia na bahati mbaya ulikua hujui how serious the man is ila uliishi nae kimazoea tu...... Sikutaka kabisa kuandika haya ila umenishawishi baada ya kuona u tried a lot kufuatilia maisha yangu huku umejisahau huyo mwanaume sikumfuata ila alinifuata yeye mwenyewe na nyie sio wana ndoa so hata kama hakuona future yenu ulitegemea angeendelea kapoteza mda wake?...... Nikushauri kitu kimoja sio kila relation lazima iishie kwenye ndoa na hapa duniani Mungu kila mtu kampangia mwenza wake na ikitokea mtu mkaachana jua huyo hakua wako na sio kuanza kutafuta nani ni mchawi otherwise utazidi kujiumiza kwa kutafuta attention zisizokua na kichwa wala miguu na utazidi kujiumiza tu....... I don know why unakuja huku na kuanza kuandika vitu ambavyo havina maana yoyote au sababu unaijua I'd yangu? Please naomba tuheshimiane mimi sio mtu wa hivyo as you think nna values zangu try to be a woman umri wako na hayo unayoyafanya hayaendani hata kidogo....... Kaa chini jitafakari lkn haya unayoyafanya unazidi kujionyesha kuwa wewe ni mtu wa aina gani mwanamke anaejiamini wala hawezi tapatapa hivi as you do...... I have nothing to fear ninachokiangalia what my man ananiambia na sio kuangalia mtu mwingine anasema nini sina cha kunirekebisha mawazo juu yake na sifikirii kufanya hivyo hata kidogo coz najua ni kiasi gani amekua ni faraja kubwa kwangu na nnaheshimu uwepo wake, always nitasimama upande wake na si kumsikiliza mtu mwingine.
My take :wanawake ifikie time tuwe tunaheshinu wale wanaoamua kutuonyesha hisia zao na kutupenda kwa dhati ila tatizo letu mtu akikupenda unajiona wewe ndio kila kitu na kufamfanyia kila aina ya ujinga ukiamini hawezi kukuacha ila baadae mambo yakibadirika unaanza mtafuta mchawi ila siku atakapokutana na anaeijua thamani ya mwanamke usitarajie kama atarudi kwako kila binadamu anapenda amani ya moyo hakuna anaependa maisha ya stress...... So please mamie leave me alone chukua hatua jitafakari ila kuja huku kutafuta attention ya watu haitakusaidia na haitabadiri ukweli
Duh! Za uso! Left hook, right hook, upper cut! Show ya bwerere kama kawa!
 
MISS CHAGGA & MISS NATAFUTA nyie ndio nmekua vinara ila huyo huyo mwanaume rafiki enu anaeona hafai hiyo hapo juu yote ni misamaha akiomba tena ilikua juzi tu ila leo anamuona kicheche, mume wa mtu hayo yote hakuyajua..... Naomba tena naomba muachane kaka wa watu kama kumdharirisha ameshamdharirisha vya kutosha amuache mimi nimempokea na mapungufu yake yote
Binti nisikize mie mtu mzima. Kama huyu mtu kaombwa msamaha kiasi hiki na bado kakataa kusamehe, tarajia hayahaya. What goes around comes around. Utakuja kuingia kwenye takwimu zake. Sijui kama utakuwa na ujasiri wa kumwomba msamaha wa kiasi hiki, lakini najua kusoma trends; kama utaomba atakataa, na muda huohuo atakuwa anatetewa na mwanamke mwingine kwenye forum fulani. Za kuambiwa changanya na zako, it's all up to you.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom