Morgan Fisherman
JF-Expert Member
- Dec 10, 2017
- 1,819
- 2,134
niko hapa ht usihangaikeNa mie naombeni maujanja wa kupata bebiiii humu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
niko hapa ht usihangaikeNa mie naombeni maujanja wa kupata bebiiii humu
Sema kweli?niko hapa ht usihangaike
Ghafla bin vuu alikata mawasiliano?Me nilishampta jamaa mmoja humu jamani japo alinizidi umri lakini nilimpenda sana kutoka moyoni na nilikubaliana na yake mazuri hata mabaya pia na tulidumu kwa mda wa wiki tatu (3) alivyonikatia mawasiliano kama upepo unavyokuja na kupotea chap. Sitaki kuamini mpaka kesho ila ninaamini nitampta tu alie sahihi.
ndio we sogea pm tu nkupe the taste of a true gentleman.Sema kweli?
mbona umilock pm hyoSema kweli?
MmmmhNa mie naombeni maujanja wa kupata bebiiii humu
Nipigie.Nakuangalia tu
Nikuoe kabisaaa, uchumba umetosha sasa, usijenishitaki kwa MakondaNipigie.
Nikuoe kabisaNipigie.
Nitafute basimimi nimetafuta hadi nimechooka hata sitaki tena natafutia tu watu
Mmmmhndiyo ila tulibwagana for just one month only.ha haaa
Polee. Mlifanikiwa kuonana au ndo mlikutana na kuachana kwenye mtandao?
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Tofauti ipo. Wa JF ni maghost!
hhahahahahaNikuoe kabisa
kwakweeeelii na matunzo ya mtoto uanze kuleta ujue nipo kwenye foleni ya makondaNikuoe kabisaaa, uchumba umetosha sasa, usijenishitaki kwa Makonda
Tayariiiiii, umeona sms ya M-pesa?kwakweeeelii na matunzo ya mtoto uanze kuleta ujue nipo kwenye foleni ya makonda
Nilivyokua nakupenda hii sentesi imenichoma sanaNdio..... Tena bila kuweka bango[emoji56]