Villky_J
JF-Expert Member
- Mar 14, 2017
- 492
- 609
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Like like like
yani Nina dukuduku la moyo na wanawake fulani humu mungu tu awarehemu......
mavi yao Pumbav kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Like like like
yani Nina dukuduku la moyo na wanawake fulani humu mungu tu awarehemu......
mavi yao Pumbav kabisa
Mm natafuta kweli..mwezi ila tatizo humu watu waongo hata picha wanazoweka sizo unaweza date na mtu siku mnaonana...unakutana na kituko hijawah ona
Heeee! Jitahidi,.Hapa kazi tuumimi nimetafuta hadi nimechooka hata sitaki tena natafutia tu watu
Kwanini unakazania kuwaambia watu maisha yako binafsi???Miss kama una maswali mengi zaidi nifuate pm ila huku nisijefunguka na yasiyo takiwa coz napenda sana mtu anielewe na sio kulaumu bila kujua nini kipo nyuma ya pazia
Ukienda kumfunda huko pm tengeneza group unialike.Nashkuru,wakipita[emoji124]wataona tu na watajifunza jambo.
Haaaa hongera mkuuaaah mie kitaaaaambo. b4 jf lakin.
Hahaaa!, giiiirl! [emoji23] [emoji23] [emoji23]Heaven Sent Nalendwa hivi mshajibu swali?
Nilikualika tukapande mlima wote...Mm bado natafuta sijampata naemuhitaji
[emoji15] [emoji15] [emoji15]Heaven Sent Nalendwa hivi mshajibu swali?
Alafu wakisha komenti NDIO nini kinafuata!Wakuu kumekuwa na ongezeko kubwa la wadada wanatafuta wachumba humu JF, kama umewai kupata mwenza kupitia JF ..comment neno "ndio"
[emoji15] [emoji15] [emoji15] mlimaNilikualika tukapande mlima wote...
Njoo kwangu wwmimi nimetafuta hadi nimechooka hata sitaki tena natafutia tu watu
Anapend helaOne Month only?? Tatizo lilikuwa nin??