Wadada mliowahi kutafuta wachumba JF na kupata njooni hapa

Wadada mliowahi kutafuta wachumba JF na kupata njooni hapa

Status
Not open for further replies.
Mm natafuta kweli..mwezi ila tatizo humu watu waongo hata picha wanazoweka sizo unaweza date na mtu siku mnaonana...unakutana na kituko hijawah ona

unamwambia samahan sikuwa nimelenga janga kiasi hii 🙂
 
Daaaaaaaaaaaaa

Asante sana muanzisha thread, kupitia uzi wako nimepata mengi sana nisiyoyafahamu.

Toka asubuhi nimehangaika na huu uzi...kufatikia udaku wa sweetapple na venuss nikatamani kumjua huyo mwanaume namshukuru Miss Natafuta kavalia njuga ka ngoma yake kaleta thread Kampwelepele kaleta link

nimetumia muda mwingi kumfatilia huyu mwanaume anayegombaniwa, nimemfahamu he is luck aisee kugombaniwa hivi!!!!
 
All the best vennus

kaba sana aisee ujipatie ndoa na le doctor!!!
 
Miss kama una maswali mengi zaidi nifuate pm ila huku nisijefunguka na yasiyo takiwa coz napenda sana mtu anielewe na sio kulaumu bila kujua nini kipo nyuma ya pazia
Kwanini unakazania kuwaambia watu maisha yako binafsi???
mwanaume upo nae tulia nae,

Arabian queen kajitolea kukufunda na mimi najitolea bureee kukufunda ukaishi salama katika ndoa yako,
achana na walimwengu, watakupumbaza uanze kuwaza mara mbili mwisho wa siku hao hao watakucheka.
 
Tunajifunza mengi kupiga jf... Mungu ibariki jf... Anyway tumtakie Ndoa njema shem Mtarajiwa [HASHTAG]#vennus[/HASHTAG]
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom