100 others
JF-Expert Member
- Aug 5, 2017
- 4,766
- 16,191
Ungenifyonza mie hivyo ungekubali.Introvert uchwaraa ktk uboraa wakoo, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tutoleee ashuoo hapaa, mxxxxiiiiiieeeeew.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ungenifyonza mie hivyo ungekubali.Introvert uchwaraa ktk uboraa wakoo, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tutoleee ashuoo hapaa, mxxxxiiiiiieeeeew.
Hahaha brother unafikiri kuwa introvert lazima huwe Domo zegeUongo umeanzia hapa ;
Unaishia hapa;
Hii sura mbona ina force scrub.
Tunajisikia vizuri kwa sababu kufahamiana kunaanzia hapoHabari zenu members wote was jamiiforum pia poleni na mahangaiko
Mimi nina swali hasa kwa wadada kuhusu wanavyojisikia wanapo tongozwa na mkaka ambaye humjui Wala yeye hakujui Ila ndio hivyo mkaka ameamua kuja mpaka ulipo na kukuambia amevutiwa na wewe baada ya maongezi machache kutambulishana
Nimeuliza hivi kwa sababu Mimi ni introvert pia kwenye social circle yangu almost Hamna jinsia ya kike kiufupi sijawahi kua na rafiki wa kike kwenye maisha yangu ,rafiki wangu wote wengi ni wa kiume ndivyo nilivo naona uzito Sana kua na rafiki wa kike ni kitu ambacho sijazoea
Njia yangu kubwa ya kupata mademu natumia Sana cold approach
Kiukweli naona nafuu zaidi kutongoza mdada hapohapo kuliko kuanzia kwenye urafiki mpaka baadae kuja kufunguka mpaka Leo sijajielewa Nina shida gani Tena napenda kutongoza wanawake wa mbali kuliko karibu kiufupi wanawake wa maeneo ya karibu hata iweje si mtongozo ng'o
Shida inakuja nimekuja kugundua wanawake wengi wanashutka na kushangaa Sana pale mkaka hakujui Wala hakufahamu hata kidogo halafu umtongoze Tena kwa confidence wanakuwa na wasiwasi mpaka wengine wanakataa au anakupa namba halafu hajibu message
Ndio leo nimeona labda niwaulize nyie wenyewe wadada maana sitaki kuanza kuweka lawama kwa warembo kumbe Mimi mwenyewe njia ninayo tumia labda sio maana mdada anaonyesha ushilikiano wakati na mtongoza shida inakuja mda mwingine hawaoneshi ushilikiano baada ya kukupa namba Tena Cha kushangazwa hata mizinga sijawahi pigwa yangu nimeanza kutongoza😂 Sijui Kuna nini?
View attachment 3078176
View attachment 3078177
Mara eeeeh!! Sijawahi kua nadem.. Mara oooh Natumia cold approach kuwapata..Introvert uchwaraa ktk uboraa wakoo, 😂😂😂😂
Tutoleee ashuoo hapaa, mxxxxiiiiiieeeeew.
😂Kama sio tall na dark handsome unajisikiaje?Tunajisikia raha sana, hasa awe anakutongoza mida ya usiku huku anakuchezea chezea wowowo, kwa sisi maharage ya mbea unajikuta unanyanduliwa hapo hapo.
Na usiombe anayekutongoza awe mkaka fulani hivi TALL, DARK, and HANDSOME...
Akii tumbo la uzazi linanicheza.... ni rahaaa
😂😂😂 Umewahi kua na demu au hujawahi ..?Hahaha brother unafikiri kuwa introvert lazima huwe Domo zege
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] em semaa kweliii??Ungenifyonza mie hivyo ungekubali.
Bro ungejuta.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] em semaa kweliii??
Ana gundu na nuksi hapo mtaani kwao, ndo maana anapigwa cha mbavuu anaishia kutongoza wa mbalii.Mara eeeeh!! Sijawahi kua nadem.. Mara oooh Natumia cold approach kuwapata..
Huyu ni Extrovert mzoefu.
Usiniambieee? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Bro ungejuta.
Baada ya kupewa namba umeonesha jitihada zipi ili mtu aendelee kuwa "in touch" 😊Hahaha mbona Sasa mnakua hamuoneshi ushirikiano baada ya kutoa namba mnakuwa Kama mnatoa namba kwa kuturidhisha tu
😂😂😂😂 Sister unataka introvert awe na Domo zege na aibu Fulani hiviIntrovert uchwaraa ktk uboraa wakoo, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tutoleee ashuoo hapaa, mxxxxiiiiiieeeeew.
😂😂Oy unadhani ndio nakataliwa Kila Mara sometimes mkeka unatiki na bunye unapewa Ila ndio hivyo sometimes tunakula za uso kama hivyo😂😂😂 Umewahi kua na demu au hujawahi ..?
Pesaaa jamani pesaaa sabuni ya rohoBaada ya kupewa namba umeonesha jitihada zipi ili mtu aendelee kuwa "in touch" 😊
😂😂😂 .. Mimi nikichukua namba ya mtoto lazima angatwe, kwa namna yeyote ...😂😂Oy unadhani ndio nakataliwa Kila Mara sometimes mkeka unatiki na bunye unapewa Ila ndio hivyo sometimes tunakula za uso kama hivyo
Asante mremboTunajisikia vizuri kwa sababu kufahamiana kunaanzia hapo
Tokaaa, wee sio introvert, ni anti social uliyechangamkaaa.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Sister unataka introvert awe na Domo zege na aibu Fulani hivi
Mimi ni introvert kiasili Ila nikiwa sehemu ambayo sijulikani nakuwa na confidence ya hatari ambayo Kama unaishi na Mimi karibu au unanijua unaeza kukataa kwamba sio mimi
Si amini mbona baada ya hapo sometimes mnakuwa hamjibu textmbona fresh tu tena raha kutongozwa na mtu usiemjua wallah