Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tanzania hii hii mnatoka out asubuhi?
Dogo acha fujo basi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tanzania hii hii mnatoka out asubuhi?
comment tyr
Wanawake waivyo ni kuwatafuna bass
[emoji23][emoji23][emoji23]nilishangaa maana ilikuwa SAA 2 asubuhi.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Dogo acha fujo basi.
Kigoma time zone ni ya DRC[emoji23][emoji23][emoji23]nilishangaa maana ilikuwa SAA 2 asubuhi.
Nipo na mchizi wangu, kaja na wadada wawili tukawa tunatoka out, njiani gari ikazingua wale mademu kwa kuwa wanajua destination wakachukua bajaji wakatangulia.
Yaani gari ikipata hitilafu wanawake wanaona kama wanadhalilishwa shenzi sana [emoji34][emoji34][emoji34][emoji34], aisee nilimind sana nkamwambia jamaa turudi twende kijiwe kingine baada ya gari kutengemaa tuwaache wale wanawake wafanye yao, Sasa kama wameagiza vinywaji na vyakula wakizani tutalipa imekula kwao.
Uzi tayari karibuni tujadiliView attachment 1127822View attachment 1127824