Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😅😅😅Rudi memkwa
We komaa na maisha pambana, itafika kipindi demu anakutega we hujui mpaka anakutamkia anataka umng'oe. Ukifikiria sex au mademu hutowapata ila unapoanza kuwa busy ndo wanaanza kukusumbua.Mko poa
Nisiwachoshe Ipo hivi juzi hapa jumuiya ilikuwa kwangu tulisali vizuri tu sasa baada ya kumaliza ambaye anachukua msalaba ni mtu wa iabu huyu dada tumuite Bupe.
Aliniomba nimpelekee msalaba jioni kwao ana kaa na wazazi wake kwao wako na mapesa nje yapo magar 5 kuna nissani duals 2, kuna forester, kuna noah, ili moja silijui jina.
Nilimuomba namba maana wao ukienda piga hodi pale hawafungui wana kuzoom tu kwenye camera wana gorofa, akanipa mm nikampotezea nikasema siendi kwao mimi wiki nzima napita kwao kimya .
Jumamos ikafika nikadamka mapema sana nikawahi pale kwao mimi ndio nilikuwa wa kwaza nikafika pale nika pleas oh namba kumbe sikusev akawa analalamika oh just help kutafakari neno pleas na kusoma neno mara ya pili, nikamtoa hofu usijali gafla akaja mdada mwingine akaaa mbele yeyu akasema nitasoma somo mara ya pili ikawa imeisha.
Nikiwa pale tunasali nikawa najifanya nipo bise tumemaliza kusali ndio anza niambia una jua baba kaondoka na mam wapo moshi nikawa na msikiliza mwisho nikamuomba andika namb hapa nitakupigia tuongee vzr bado na usingizi .
Siku iliisha sikumcheki nikaja kumcheki akajibu vyema tu ila maringo mengi sana mpaka moto unakata ukimpigia simu apokei anapokea kwakuchelewa kisingizio nadrive sasa nimeamua kumpotezea kabisa naona ananiletea ujinga ni mkaguzi masaki tupo jiran tu na napofanya mimi kazi ila mwanamke wa maringo mengi hapana
Sawa brooWe komaa na maisha pambana, itafika kipindi demu anakutega we hujui mpaka anakutamkia anataka umng'oe. Ukifikiria sex au mademu hutowapata ila unapoanza kuwa busy ndo wanaanza kukusumbua.
Ndo maana navotaka kumtokea mdada hua Kwanza najiuliza je uyu type yangu ??Hivi akikuambia nilipie faini ya trafiki utalipa kweli?
Au aseme yupo gereji kapungukiwa elfu 50 ... inahitajika..utapokea simu au ndo utam block moja Kwa moja?
😂😂[emoji23][emoji23][emoji23]
Dada matako yako mazuri sana.Una kiherehere mno
Mko poa
Nisiwachoshe Ipo hivi juzi hapa jumuiya ilikuwa kwangu tulisali vizuri tu sasa baada ya kumaliza ambaye anachukua msalaba ni mtu wa iabu huyu dada tumuite Bupe.
Aliniomba nimpelekee msalaba jioni kwao ana kaa na wazazi wake kwao wako na mapesa nje yapo magar 5 kuna nissani duals 2, kuna forester, kuna noah, ili moja silijui jina.
Nilimuomba namba maana wao ukienda piga hodi pale hawafungui wana kuzoom tu kwenye camera wana gorofa, akanipa mm nikampotezea nikasema siendi kwao mimi wiki nzima napita kwao kimya .
Jumamos ikafika nikadamka mapema sana nikawahi pale kwao mimi ndio nilikuwa wa kwaza nikafika pale nika pleas oh namba kumbe sikusev akawa analalamika oh just help kutafakari neno pleas na kusoma neno mara ya pili, nikamtoa hofu usijali gafla akaja mdada mwingine akaaa mbele yeyu akasema nitasoma somo mara ya pili ikawa imeisha.
Nikiwa pale tunasali nikawa najifanya nipo bise tumemaliza kusali ndio anza niambia una jua baba kaondoka na mam wapo moshi nikawa na msikiliza mwisho nikamuomba andika namb hapa nitakupigia tuongee vzr bado na usingizi .
Siku iliisha sikumcheki nikaja kumcheki akajibu vyema tu ila maringo mengi sana mpaka moto unakata ukimpigia simu apokei anapokea kwakuchelewa kisingizio nadrive sasa nimeamua kumpotezea kabisa naona ananiletea ujinga ni mkaguzi masaki tupo jiran tu na napofanya mimi kazi ila mwanamke wa maringo mengi hapana
Heee mwee !! Wonders shall never end [emoji848][emoji848]Kwanza we jamaa hata uandishi wako unaonekana ni mshamba sana limbukeni wa kutupwa, ndio maana mdogo wangu anakuchezea hakili [emoji23]