Mkuu sasa mimi nalala na mwamba? Kuna kidada cha chuo nilikutana nacho mchana kabisa kila nikienda chooni nakuta kimenisachi.Sidhan kama comment ya Evelyn Salt ni mbaya,umeichukulia vibaya tu but she wasnt negative
Sawa nakuelewa ila hoja yangu mimi siyo jinsi ya kuzuia kuiba, hoja yangu ni kwanini wadada wanaona ni lazima wakuibie kama vile ni haki yao hata kama umeshampa hela ambayo ameona ni hadhi yake. Wakati tunachoma moto vibaka vijana wa kiume mtaani huku kila siku wakati vibaka wakubwa kabisa ni hawa wadada.Ndiyo maana nimekupa ushauri! Chukua hoteli hata ya 50,000k hadi 100,000k! Nenda kale mzigo wako pale Jamirex Mwenge au Rombo Green View pale Shekilango,hizo chloroform hawezi kukupaka,maana hawezi toka bila wao wakupigie simu kukuuliza,mgeni wako anatoka je tumuruhusu?? Sasa wewe unalala Guest House za huko Manzese,na bado una burungutu zakutosha,lazima watakuibia tu! Starehe gharama kaka! Maisha kwanza,jipende kaka, we live once,we must die!
Pole sana wengine washazoea ukute hizo ndo zinawaweka mjini! Pia unakuta ana tabia ya wiziYani mtu ushampa hela yake kabisa unamdhulumu nini?
Wewe inawezekana hujawahi kusikia mtu akilalamika mkewe kila akirudi kalewa anamsachi.Ukiwa na Demu ambaye humjui zaidi, umekutana nae juu juu, usijiamin Mzee.
Wanawake wa kujiaminisha ni wale ambao either majiran, co-workers, ndugu wa mbali, uliopewa reference, unaojua wanakaa wapi.
Hawa hawawez kukuibia coz wanajua utawapata wapi.
Hao wa kuokota , wanajua kabisa unamtumia kwa siku moja na kumuacha, na hata umpe bata vipi. akiona fursa hawez iacha.
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
NaloliAkugholyisye
AmfundileAkugholyisye
Hao wanaitwa madada jambazi.Yani kulala na mdada ni kama umelala na jambazi yani mda wowote kinanuka
Kuibiwa kunauma 😂😂 muache tu atoe sumu mwiliniSidhan kama comment ya Evelyn Salt ni mbaya,umeichukulia vibaya tu but she wasnt negative