Wadada, niulizeni kitu chochote kuhusiana na huduma za salon, hair & nails

Wadada, niulizeni kitu chochote kuhusiana na huduma za salon, hair & nails

Mimi naomba ushauri wa muda wa kuretouch:

Natumia dawa ya MEGA GROWTH je natakiwa kuretouch baada ya muda gani?
 
Heaven on Earth ukuje huku hii sredi iwe sticky humu ili ndo iwe forum yetu ya urembo!
mamods si wametuchunia ombi letu!?
Tena hii mikitu ya urembo ni muhimu kweli itakua vema likawa na jukwaa lake kama jukwaa la misosi. Kuna mambo mengi kweli ya kujifunza na pengine tunatumia gharama kubwa bila mafanikio kumbe inawezekana tukashea maujuzi humu na mabo yakawa safii Fixed Point kuja huku unapitwa
 
Last edited by a moderator:
1.nywele zangu ni dreads ni nguuuuuumu hiiizo eheheh?,
nafanyaje ziwe soft na zikue fastaa?naweza kufanya steaming?
(kinaturale lakini madawa nehiiiiii)
2.vipi kuhusu ngozi,nina oliy face nafanyaje,situmii mafuta yoyote! jouneGwalu njoo ulipe bills huku!
Pole sana mpenzi…hongera kwa kufuga dread rocks.
Hizo zinakuwa ngumu kwa kuwa hauzi retouch na hauzifanyii hair treatment.
Ushauri wangu kwako jitahidi hata kwa mwezi mara mbili make sure unazipatia hiyo huduma na utafurahia mrejesho wake.

Na kuhusu oil face ningekushauri utafute salon mzuri na inayotowa huduma mzuri ya facial,waambie wakuonyeshe facial product zao kisha chagua kit ambayo itamaliza matatizo yako,patananao bei kisha wakufanyie.
 
Mimi naomba ushauri wa muda wa kuretouch:

Natumia dawa ya MEGA GROWTH je natakiwa kuretouch baada ya muda gani?
Kila baada ya miezi mitatu…lakini kumbuka kufanya nomal steaming japo kwa mwezi mara mbili
 
nywele zangu ni nene na nzito
halafu ni ngumu kushika dawa,
niweke dawa gani ziwe zinashika haraka?....maana kila dawa ninayoweka naungua ngozi kabla hazijashika vizuri

kipilipili hicho ww nyoa tu
 
Mimi nasokota dreads..my dreadslocks zinakua vizuri ila sijapata shampoo nzuri ya kuzisafisha,,help me please:.
 
Pole sana mpenzi…hongera kwa kufuga dread rocks.
Hizo zinakuwa ngumu kwa kuwa hauzi retouch na hauzifanyii hair treatment.
Ushauri wangu kwako jitahidi hata kwa mwezi mara mbili make sure unazipatia hiyo huduma na utafurahia mrejesho wake.

Na kuhusu oil face ningekushauri utafute salon mzuri na inayotowa huduma mzuri ya facial,waambie wakuonyeshe facial product zao kisha chagua kit ambayo itamaliza matatizo yako,patananao bei kisha wakufanyie.
upande wa uso mekupata dear!
kwenye nyele(ehehhe tamka hivo hivo kazi na dawa mwaya!)
natakiwa kufanya hair treatment gani ?
unaposema kuretouch unamaanisha kurepair sio?
narepair mara mbili kwa mwezi!
 
Pia kuna vitu kama-
Sikin waxing
Detoxfication
Body scrub
Facial
Face mask
Body massage
Pedicure & manicure
Hand Gel colors & aqrilic extension nails
Kope na kutinda nyusi

Hivi vyote hapo juu tunaviita Beauty clinic…so kama unachochote kutoka kwenye package hiyo usisite kuniuliza pia.
 
upande wa uso mekupata dear!
kwenye nyele(ehehhe tamka hivo hivo kazi na dawa mwaya!)
natakiwa kufanya hair treatment gani ?
unaposema kuretouch unamaanisha kurepair sio?
narepair mara mbili kwa mwezi!
Yes namaanisha kurepair, kama unarepair kwa mwezi mara mbili basi ni vizuri sana! ila zipe steaming pia kisha zitafutie hair spray mzuri sana na yenye harufu mzuri
 
DSCF1649.jpg
Wapenzi, nawaacheni na nawatakia usiku mwema na mulale salama…na mimi sasa natoka ofisini naingia barabarani naelekea home.
Maswali au maoni ambayo sijajibu nahaidi nitayajibu kesho…na nazidi kukaribisha maswali zaidi. Alamsik
 
Yes namaanisha kurepair, kama unarepair kwa mwezi mara mbili basi ni vizuri sana! ila zipe steaming pia kisha zitafutie hair spray mzuri sana na yenye harufu mzuri
nifanye steaming ya nini?
nitumie spray ipi nzuri?
NAKUAMINIA UJUE!
 
Umewahi kuweka hair treatment yoyote before? kama bado unaweza kuanza na Dr miracle hair treatment kwa mwezi mara 2 au 3…lakini itakuwa vizuri kama utaanzia salon yoyote ilimradi iwe na huduma mzuri na siyo bora huduma

sijawahi kuweka hair treatment yoyote zaidi natumia mafuta ya kawaida tu, nashukuru kwa ushauri wacha ninunue hiyo dr. miracle.
 
Back
Top Bottom